Tetesi: Familia ya Ruge ni kati ya familia za kuigwa katika mirathi

Tetesi: Familia ya Ruge ni kati ya familia za kuigwa katika mirathi

According to taarifa zinasombaa mtandaoni, asset ya maana Ruge aliyoacha imeuzwa kwa Bil 2 za kitanzania.

Lakini jambo zuri kuliko yote, wanufaika wa mgao hao ni watoto 6 wa Marehemu tu. Kazi kwa mama zao kuwasimamia watoto wafaidi urithi wa baba yao kama WANA AKILI TIMAMU. Maana baba kajua kuwatunza wanae kutoka kaburini, sio kama wanaume wanazaa kama panya na kutunza watoto hawatunzi tena wakiwa hai na vijisababu kibao ati amejibebesha mimba.
Maana sehemu ya pesa hiyo ikiingizwa UTT au government bonds watoto wanasoma mpaka chuo kikuu bila shida.

MY TAKE: Kuna Wimbi kubwa kwa ndugu wa mume kuwa na nongwa kweli na mali za marehemu, wengi huwa hawajahusika hata kuzitafuta. Mke na watoto unajikuta umebaki unahangaika kama vile hukuachiwa chochote.

Hii familia ni ya kupongezwa na Mungu awabariki kwa mioyo yao isiyo na tamaa. Kazi kwao wasimamia mirathi.

Na wewe mwanaume kama upo hai na unashindwa kutunza wanao/mwanao kwa uwezo wako uliobarikiwa, jua wewe ni mbwa koko tu maana dunia imeendelea hakuna mama mwenye uwezo wa kumzuia baba kutunza mwanae baba akiwa na nia.

Joke: wale ambao mnazaa na watu wakifa wanawaachia magonjwa, msururu wa watoto wa nje na madeni juu poleni 😄 🤣 😂 😆 THE LORD IS YOUR SHEPHERD
Wewe umepata nini?
 
Ila hamna akili wala nn zaidi ngoja balaa lianze , watoto 6 kila mmoja na mama ake hamna bond hapo ,ngoja balaa utaona ..

Pesa zote alikuwa anachangiwa acheni utani.... Familia ilizidiwa gharama mtu kafa anajiona.
Hamna balaa lolote beneficiaries ni watoto..... wahaya wametisha kwenye hili
Halafu alikufa sababu mwili ulikua umegoma tayari kuendelea kufight
 
Hayo mambo ya kugombania mirathi yana wenyewe!

Picha ingeanzia kwenye kumpata msimamizi.

According to taarifa zinasombaa mtandaoni, asset ya maana Ruge aliyoacha imeuzwa kwa Bil 2 za kitanzania.

Lakini jambo zuri kuliko yote, wanufaika wa mgao hao ni watoto 6 wa Marehemu tu. Kazi kwa mama zao kuwasimamia watoto wafaidi urithi wa baba yao kama WANA AKILI TIMAMU. Maana baba kajua kuwatunza wanae kutoka kaburini, sio kama wanaume wanazaa kama panya na kutunza watoto hawatunzi tena wakiwa hai na vijisababu kibao ati amejibebesha mimba.
Maana sehemu ya pesa hiyo ikiingizwa UTT au government bonds watoto wanasoma mpaka chuo kikuu bila shida.

MY TAKE: Kuna Wimbi kubwa kwa ndugu wa mume kuwa na nongwa kweli na mali za marehemu, wengi huwa hawajahusika hata kuzitafuta. Mke na watoto unajikuta umebaki unahangaika kama vile hukuachiwa chochote.

Hii familia ni ya kupongezwa na Mungu awabariki kwa mioyo yao isiyo na tamaa. Kazi kwao wasimamia mirathi.

Na wewe mwanaume kama upo hai na unashindwa kutunza wanao/mwanao kwa uwezo wako uliobarikiwa, jua wewe ni mbwa koko tu maana dunia imeendelea hakuna mama mwenye uwezo wa kumzuia baba kutunza mwanae baba akiwa na nia.

Joke: wale ambao mnazaa na watu wakifa wanawaachia magonjwa, msururu wa watoto wa nje na madeni juu poleni 😄 🤣 😂 😆 THE LORD IS YOUR SHEPHERD
 
Hamna balaa lolote beneficiaries ni watoto..... wahaya wametisha kwenye hili
Halafu alikufa sababu mwili ulikua umegoma tayari kuendelea kufight
Hawakuwa na pesa bhana , professor J kachomoa ..Familia ilikuwa inachangisha mtu kashakufa kwa vile walikuwa na madeni.

Hamna cha maana hapo ngoja kesi zake uone... watoto wenyewe ndio yule Dj 😂😂
 
According to taarifa zinasombaa mtandaoni, asset ya maana Ruge aliyoacha imeuzwa kwa Bil 2 za kitanzania.

Lakini jambo zuri kuliko yote, wanufaika wa mgao hao ni watoto 6 wa Marehemu tu. Kazi kwa mama zao kuwasimamia watoto wafaidi urithi wa baba yao kama WANA AKILI TIMAMU. Maana baba kajua kuwatunza wanae kutoka kaburini, sio kama wanaume wanazaa kama panya na kutunza watoto hawatunzi tena wakiwa hai na vijisababu kibao ati amejibebesha mimba.
Maana sehemu ya pesa hiyo ikiingizwa UTT au government bonds watoto wanasoma mpaka chuo kikuu bila shida.

MY TAKE: Kuna Wimbi kubwa kwa ndugu wa mume kuwa na nongwa kweli na mali za marehemu, wengi huwa hawajahusika hata kuzitafuta. Mke na watoto unajikuta umebaki unahangaika kama vile hukuachiwa chochote.

Hii familia ni ya kupongezwa na Mungu awabariki kwa mioyo yao isiyo na tamaa. Kazi kwao wasimamia mirathi.

Na wewe mwanaume kama upo hai na unashindwa kutunza wanao/mwanao kwa uwezo wako uliobarikiwa, jua wewe ni mbwa koko tu maana dunia imeendelea hakuna mama mwenye uwezo wa kumzuia baba kutunza mwanae baba akiwa na nia.

Joke: wale ambao mnazaa na watu wakifa wanawaachia magonjwa, msururu wa watoto wa nje na madeni juu poleni [emoji1] [emoji1787] [emoji23] [emoji38] THE LORD IS YOUR SHEPHERD
Wenye tamaa ya Mali uwa ni ule ukanda, sisi Wahaya atunaga njaa izo kugombania Mali za ndugu hata kwenye mashamba utaratibu unajulikana uwa ni kwa watoto wako na ndugu na familia ni kusimamia kugawana kwa haki watoto wa Mareham sio vingine
 
Halafu si Mr Urisi shabani ndio alisema🤣🤣🤣 watoto hawatunzwiii ila shebyyy nyieeee.....na yule mke wa Tommy Jones nae kapata sio?
Nakwambia... kama vile ana hela ya kulipia ada feza wale watoto.
Yah mke wa RDJ kapata kwa niaba ya mwanae...
Inshort wamama washindwe wao tu
 
Hawakuwa na pesa bhana , professor J kachomoa ..Familia ilikuwa inachangisha mtu kashakufa kwa vile walikuwa na madeni.

Hamna cha maana hapo ngoja kesi zake uone... watoto wenyewe ndio yule Dj 😂😂
Muda utaongea ila kama ni chokochoko zingeshasambaa maana Mrs Ulisi huwa anawindwa sana for negativity.....
Kifo ni fumbo, kina Mufuruki $ millionaire mbona alivuta
Ila J kaponea chupu chupu sana na kiukweli bado ni mdhaifu
 
Wazazi wake na Ruge sio maskini.

Ruge kazaliwa marekani miaka ya 70s.

Imagine miaka ya 1970 baba na mama tayari wanaishi marekani.

Ruge baba yake professor udsm na mama yake Ruge pia ni PHD holder anafundisha udsm.

Familia ya Ruge sio familia ya kina kajamba nani. Ya kugombania urithi
Wana utu brother..tunajua familia zina matajiri lakini mirathi Mpk wanashikiana mapanga ati
 
Mimi ruge kanifurahisha kugoma kwake kuoa baada ya kugundua kazaa watoto wengi na wamama tofauti tofauti.

Hii imepunguza sana migogoro kwenye mirathi yake.

Angekuwa amemuoa mwanamke mmojawapo..mirathi ingekuwa na usumbufu mwingi sana. Wanawake wana tamaa sana hasa wakiwa na cheti cha ndoa.

Bilionea msuya ni mfano hai ya wake wa ndoa walivyo na tamaa
Sahihi kabisaaaa
 
Wana utu brother..tunajua familia zina matajiri lakini mirathi Mpk wanashikiana mapanga ati

Ruge hakuwai kuoa ndio sababu umeona hivyo hakuna mgogoro. Maana watoto wote na ndugu za ruge wana haki sawa

Mirathi za matajiri zinakuaga zina shida kukiwa na mke.

Hata Ruge angekuwa ameoa ana Mke. Mirathi yake isingekuwa nyepesi.

Mke halali huwa ana nguvu sana kwenye sheria ya ndoa.. ndugu wanakuwa hawana mamlaka yoyote ndio ugomvi unatokea
 
Itapungua sababu kuna hela ya real estate agent na kodi ya serikali... but still bado ni nyingi ikitumika vizuri.

Mgao utapungua pia. Baba mzazi na mama mzazi pia huwa wanaingia kwenye mirathi.

Sheria ya mirathi inawatambua wazazi pia kama warithi halali. Wanaingia kwenye mgao wa mirathi.

Warithi halali huwa ni

1. Mke wa marehemu.
2. Watoto halali wa marehemu
3. Wazazi halali wa marehemu
 
Back
Top Bottom