Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
hiyo sio shida. tungeweza kujenga tu bandari na wawekezaji weningine wangekuja bongo kuwekeza kwenye bandari kavu kama tungekuwa tunaruhusiwa. shida ni pale DP WORLD wanaposema hatutaruhusiwa kuendeleza bandari nyingine wakati wa uhai wa mkataba wao. that means, wanataka wadominate dsm port na mizigo yao iende kigali kwa kutumia reli zetu. pia, tusiweze kujenga dry port zingine zitakazoshindana na kigali ambako wapo. wafanye wao tu.
kwani kama wao wanao uwezo kufanya shughuli za bandari, si waache mlango wazi ili watu wengine waje kujenga na kuwekeza bandari zingine ili ushindani uwepo? sisi watz tunataka wawekezaji wowote wale, na watatumia infrastructure zetu kusafirisha mizigo toka bandarini. dp world wanataka wao tu ndio wamonopolize. wajenge tu, wachina waje wajenge, wajapani waje, waarabu wengine waje kuwe na bandari nyingi reli na barabara zetu zinao uwezo kusafirisha mizigo hata ya bandari tatu zikijengwa bongo. dsm, bagamoyo na tanga.
kwani kama wao wanao uwezo kufanya shughuli za bandari, si waache mlango wazi ili watu wengine waje kujenga na kuwekeza bandari zingine ili ushindani uwepo? sisi watz tunataka wawekezaji wowote wale, na watatumia infrastructure zetu kusafirisha mizigo toka bandarini. dp world wanataka wao tu ndio wamonopolize. wajenge tu, wachina waje wajenge, wajapani waje, waarabu wengine waje kuwe na bandari nyingi reli na barabara zetu zinao uwezo kusafirisha mizigo hata ya bandari tatu zikijengwa bongo. dsm, bagamoyo na tanga.