Be blessedHawa walishakubaliana na shetani mkuu, binafsi nikiona kuna mtu kaanzisha mada kuhusu kuwalalamikia hawa viumbe lazima nimsapoti tu
FACTSUKWELi ni kuwa Mwanaume ukiingia kwenye trap aliyokataza mleta uzi ujue hio ndio itakuwa KADI YA MWALIKO wa umasikini, sonona katika maisha yako...
Na utaingia kwenye trap endapo utajisikia vibaya(get offended) wakikuita bahili, mbinafsi,,mchoyo,,huna huruma,,huna utu,,huna upendo,,sio mwanaume wa kweli,,n.k... Ukisikia hizi kauli unaambiwa na Mwanamke zitafakari sana,, asilimia kubwa huwa ni kwa ajili ya Manipulation...
Ukiona unafanya jambo kwa demu ili kuepuka usiitwe hayo majina basi jua tayari umeingia 18 zao..
Silazimishi mtu kuelewa ila Mazingira yatakuelewesha zaidi.
Be a Man, Stay Taliban.
Haki sawa ni mpango wa ibilisi ulioasisiwa pale Beijing kuwapumbaza Ke kuwa na viburi kwa Me zao ili Me wanaotaka kuoa waogope kuoa tokana na Me waliokwisha kuoa kutalikiana na kuachana na ndoa mazima.Sahihi kabisa hasa hiki kizazi cha millenia, feminism imetawala kila kona!! Idadi ya watu wanaofunga ndoa ktk nchi za ulaya na marekani inazidi kuporomoka kila kukicha . Vijana wanahofia haki zilizopitiliza wanazopewa wanawake. Divorce settlements imewaacha wanaume wengi kuwa maskini.
Hata hiyo kilo 1 alimsaidia saaaana sababu wakati wa burudani wote wawili wananeemeka na utamu, sasa malipo ya nini ikiwa wote wanapata raha [emoji848][emoji2]Umenikumbusha ile tetesi ya yule jamaa anajita Moooooooo wa timu aliyeihama msemaji, kwamba alimufilimba hamiiii mobeeeti kwa laki moja tu
Nombeesaah i love youHuyo atakua ni mchepuko tu,acheni kuchepuka mkidhan mnapendwa kumbe inapendwa pesa yako tu
Huyo haitwi Ke bali ni Superior FeministKuna single maza mmoja kakomalia mada
Rebecca mwingine kwenye ID nyingine [emoji1]jamaa ananifanyia ubabe sana na nilimsaidia kirafiki kabisa. na hawa watu ambao wanashambulia sana hapa ni watu ambao wanataka kila mwanamke ndomana utasikia anasema nilimpa huyu mara yule na bahati mbaya ni kwamba watu kama hawa mara zote wanaangukia kwenye mikono ya makahaba na wadangaji...
Mkiambiwa ukweli ni uchonganishi@moderators futa huu uzi ni uchonganishi mkubwa
[emoji23]Kuna single maza mmoja kakomalia mada
You said it allUKWELi ni kuwa Mwanaume ukiingia kwenye trap aliyokataza mleta uzi ujue hio ndio itakuwa KADI YA MWALIKO wa umasikini, sonona katika maisha yako...
Na utaingia kwenye trap endapo utajisikia vibaya(get offended) wakikuita bahili, mbinafsi,,mchoyo,,huna huruma,,huna utu,,huna upendo,,sio mwanaume wa kweli,,n.k... Ukisikia hizi kauli unaambiwa na Mwanamke zitafakari sana,, asilimia kubwa huwa ni kwa ajili ya Manipulation...
Ukiona unafanya jambo kwa demu ili kuepuka usiitwe hayo majina basi jua tayari umeingia 18 zao..
Silazimishi mtu kuelewa ila Mazingira yatakuelewesha zaidi.
Be a Man, Stay Taliban.
"Kwenye msafara wa mamba kenge hawakosekani."Wapendwa hamjambo nimesoma comments za watu kwa kweli inasikitisha sana.mimi ni mwanamke mpaka nimefika umri huu sijui kuomba pesa kwa BF nikiwa ba shida Sana ndugu wapo nakimbilia huko pili nafanya kazi kwa Nini nimtegemee mtu naishi within my budget.kama tunatoka out tunakubaliana ni pesa ngapi tuna spend then tuna changa tuna enjoy.HEKIMA,BUSARA , MAARIFA hakuna katika jamii.UPENDO hakuna.SIO WANAWAKE WOTE AND AM PROUD TO BE A WOMAN.
Acha Me atokwe na uvulana, akishafikia hatua ya uanaume ataoa tu maana maisha ni zaidi ya kuoa.sasa hapo jamaa ndo amepotea sababu Bora angeowa mmoja alafu aone kama atatedwa tena kubadilisha sana ni mbaya zaidi. magojwa anapoteza muda pia pesa na pia ataishi kama mbwa hana familia sababu tu ya kosa la kujichanganya kwa malaya..
Materialistic Woman [emoji736][emoji106]Sio sawa coz kila mtu ana ufahamu wake Ni kweli hatujui kushukuru wala kujishusha tuwaombee Mungu awabadilishe hakuna jinsi,mbona Mimi nimesaidia (me) Tena pesa nyingi lakini akaenda kuoa mwingine siwezi kuwachukia wote hapana kila mtu anatabia yake naomba uwe TU mpole na kuwasamehe.
Pendaeli 24Huu uzi umenikumbusha kisa changu na mwanamke mmoja hivi kati ya 2008 mpaka 2012.
Ni mwanamke wangu wa kwanza kwenye mahusiano, nililazimika kukaa nae geto kipindi hicho kwa sababu ya shida zake binafsi na nyumbani kwao. Alikuwa amefukuzwa kwao.
Kipindi hiko 2008 ndiyo na miezi kama 5 hivi tokea nipange na kujitegemea hata sikua nimefika mbali kiivile.ndio nilikua naanza maisha hapo hapo na mke juu, na alikua mwanamke wangu wa kwanza.
Nilikua na maisha magumu kwa kiasi kikubwa sana, yule binti aliumwa wa kulala kitandani kama mwaka na nusu hivi, maisha yangu na yule msichana yalikua magumu sana siku pata msaada popote pale iwe nje ama ndani, nilikomaa naye mpaka akapona na mimi nilirudi nyuma kiuchumi kwa kiasi kikubwa .
Ilibidi nimtafutie biashara eneo fulani lenye pilikapilika sana, haikupita miezi mitatu akaniambia amenivumilia sana anaona bora aondoke amepata bwana mwingine mimi ni maskini sana.
Alisahau mimi nilimvumilia mwaka na nusu wa kuugua kwake hata sex ilikuwa no.
Mwishowe akaondoka na vyombo ingawa nilinunua tukiwa nae lakini alibeba vyote akaondoka huku namungalia kwa machozi, kibaya zaidi huko aliko enda olewa na huyo bwana alikuja kumchukua mlangoni kwangu kabisaa.
Ingawa niliumia sana,nilirudi nyuma sana, lakini nilipoona yale maumivu.
Mwanamke huwa inapofika wakati wa kufanya lile linalo mfaa kwa wakati huo huwa haifikirii jana wala kesho, hana huruma hata kama wewe ni nani, hajali machozi ya mtu.
Kwa namna hio wanaume wengi kwa namna moja ama nyingine wameumizwa sana tena sio mara moja au mbili wala tatu, ndio maana kilio na malalamiko yamekua mengi mno.
Mwanamke ni mtu mzuri sana akiwa mama, na binti yako, akitoka hapo haki ya Mungu ishi nao kwa tahadhari sana.
Ikiwa mwanamke anathubutu kutaka hadi password ya card yako ya bank nini kinweza kuja kutokea??