Fanya mambo yako achana na kusaidia wanawake. Wanawake ni wabinafsi sana na hawana shukrani

UKWELi ni kuwa Mwanaume ukiingia kwenye trap aliyokataza mleta uzi ujue hio ndio itakuwa KADI YA MWALIKO wa umasikini, sonona katika maisha yako...

Na utaingia kwenye trap endapo utajisikia vibaya(get offended) wakikuita bahili, mbinafsi,,mchoyo,,huna huruma,,huna utu,,huna upendo,,sio mwanaume wa kweli,,n.k... Ukisikia hizi kauli unaambiwa na Mwanamke zitafakari sana,, asilimia kubwa huwa ni kwa ajili ya Manipulation...

Ukiona unafanya jambo kwa demu ili kuepuka usiitwe hayo majina basi jua tayari umeingia 18 zao..

Silazimishi mtu kuelewa ila Mazingira yatakuelewesha zaidi.

Be a Man, Stay Taliban.
 
FACTS
 
Haki sawa ni mpango wa ibilisi ulioasisiwa pale Beijing kuwapumbaza Ke kuwa na viburi kwa Me zao ili Me wanaotaka kuoa waogope kuoa tokana na Me waliokwisha kuoa kutalikiana na kuachana na ndoa mazima.
 
Umenikumbusha ile tetesi ya yule jamaa anajita Moooooooo wa timu aliyeihama msemaji, kwamba alimufilimba hamiiii mobeeeti kwa laki moja tu
Hata hiyo kilo 1 alimsaidia saaaana sababu wakati wa burudani wote wawili wananeemeka na utamu, sasa malipo ya nini ikiwa wote wanapata raha [emoji848][emoji2]
 
Rebecca mwingine kwenye ID nyingine [emoji1]
 
You said it all
 
"Kwenye msafara wa mamba kenge hawakosekani."

"Avumaye baharini ni Papa kumbe kuna wengine wapo"

Jiandae kusumbuliwa na wahuni wa JF huko PM.
 
sasa hapo jamaa ndo amepotea sababu Bora angeowa mmoja alafu aone kama atatedwa tena kubadilisha sana ni mbaya zaidi. magojwa anapoteza muda pia pesa na pia ataishi kama mbwa hana familia sababu tu ya kosa la kujichanganya kwa malaya..
Acha Me atokwe na uvulana, akishafikia hatua ya uanaume ataoa tu maana maisha ni zaidi ya kuoa.
 
Materialistic Woman [emoji736][emoji106]
 
Pendaeli 24
 
Ikiwa mwanamke anathubutu kutaka hadi password ya card yako ya bank nini kinweza kuja kutokea??

Usiendekeze huo Ujinga,,, ukatae haraka iwezekanavyo..

Huyo anataka kukupanda kichwani,,,siku mkipishana maelewano ataficha ATM na kukutia umasikini..na pia hata msipopishana anaweza kukutia Umasikini....

Be a Man, Stay Taliban.
 
Mkuu umenena vyema sana maana nimejifunza hili mimi binafsi from experience sio kwa kuambiwa na nikaanza kuwa serious kuanzia hapo na mafanikio yanaonekana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…