Fatma Karume atoa ya moyoni kuhusu aliekuwa Mume wake

Kwa inavyonekana aunt alikuwa analeta ujuaji mpaka ktk ndoa πŸ˜†πŸ˜†

Jamaa akaona ngoja ampe maelekezo how men act
 
kwa bahati naifahamu familia ya Karume na naifahamu familia ya mumewe ila kiukweli yule jamaa alimvumilia sana Fatma. Na hao watoto sio wa nje ni wa mke mwengine wa jamaa ambae alimuoa ili kuepuka balaa la huyu kichaa Fatma
Ni wasi kbsa Fatma. Ni wale wanawake pasua kichwa
 
kwa bahati naifahamu familia ya Karume na naifahamu familia ya mumewe ila kiukweli yule jamaa alimvumilia sana Fatma. Na hao watoto sio wa nje ni wa mke mwengine wa jamaa ambae alimuoa ili kuepuka balaa la huyu kichaa Fatma
Strongly Agree..
 
Unajua sababu ya mumewe kurudi alfajiri na kuzalisha nje ya ndoa Kama mbuzi?
Huenda alichoka kuishi na mwanamke jeuri na mwanaharakati hadi ndani ya ndoa.
Hiyo kauli ya shangazi ni one side story. Tungesikia na kwa mumewe.
That is True..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…