SMART GHOST
JF-Expert Member
- Feb 3, 2020
- 2,657
- 10,356
Hapo umefanya assumptions.Mama yake anawakilishwa na mawakili, Mahakamani huko nafasi ya Feisal kuongea ni mdogo sana kuliko wakili wake
Hivyo maagizo yote ya mapendekezo ya mwenendo wa kesi kuna uwezekano yaliwasilishwa kupitia makwakili baada ya kupokea maagizo kutoka kwa boss wao ambaye wana share common goals na familia yake na ndio maana mzazi alikuwa wazi kusema yale maneno
Utajuaje na huo mwaka haujaisha,umekua mfalme juha?Umebaki mwaka 1. Aondoke bure, Kuna timu italeta ofa kubwa kweli mezani?
Nimetumia analysis ya kawaida tu kwa kupima muda wake wa mkataba uliobaki na yaliyotokea. Ila upo sahihi, sijui. Anaweza tokea.Utajuaje na huo mwaka haujaisha,umekua mfalme juha?
we hukujua kuwa fei alikuwa akitetewa na mawakili nguli wa simba? fatma kaja mwishoni uamuzi ulikuwa umeshapita[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ujue kwenye sheria hawa wanasheria wanakuwa wanabobea katika kusimamia kesi za aina fulani,mfano kuna ambao wanaziweza kesi za mashamba,wengine kesi za kisiasa,wengine za Jinai n.k
Nilipoona mwanasheria wa Fei ni Fatma karume nikasema tu hapa yaleyale hela imeshaenda maana sidhani kama Fatuma ana uwezo wa kuchambua vifungu vya kimichezo vya FIFA kiuweledi kabisa,sidhani maana simjui kiundani ,tatizo limeanzia hapo
kuna watu wanaitafuta furaha ionekane kamati imekosea na fei ndio mwenye haki!Hakuna kitu kama hicho, wakina Shafii Dauda wanafungiwa kila kitu kilikuwa open
TFF ndio chombo kinachohitajika kufanya hayo yote kuweka kila kitu bayana, hizi habari za kusema wahusika hivi wahusika vile inaongeza mashaka kuwa maamuzi yaliyotolewa hayakuwa fair.
wamuachie wakati anahudumiwa na mawakili wA simba, walituchezea kwenye kesi ya morrison hawakukoma wamerudia kwa fei lazima hii tabia ikomeshwe isijirudie wanataka mchezAji ghAli kwa bei kiduchuYanga timu yangu pendwa, muachieni kijana aende zake pale nafsi yake inapomtuma, fei amekosea dhahri lakini kukosea kwake isiwe kigezo cha kumkomoa kijana huyu na kumuharibia maisha na kumuumiza kisaikolojia, fanyeni wema huo, aende zake huku mkimpa onyo.
Utafanya nini ndicho ulichobakisha kucheka na kuijadili mikataba Yanga.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unachekeshaaa sanaaa wee??
unajitoa ufahamu. sasa watu hukumu waliipataje? detail kamuombe fei jumatatu utupie gazetiniMchanganuo wa hukumu mbona unawekwa wazi
Hata kesi ya mbowe mbona watu tulikuwa tunajua kila nukta inayoendelea, hata jaji akikohoa tunajua
Sio assumption ni fact regarding source iliyoleta taarifa ni trustableHapo umefanya assumptions.
Mwisho wa siku, hili suala linafanyika kisheria. Iwapo kuna upande wowote utaona hautendewi haki, zipo taratibu za kufuatwa ili haki itendeke.
Ndio maana kuna rufaa na CAS. Wanasheria wa Feisal wanayajua haya, ndio maana huwaoni kulalamika mitandaoni.
How?kuna watu wanaitafuta furaha ionekane kamati imekosea na fei ndio mwenye haki!
Mi nasema nikiwa na mifano sisemi tu kwakua mimi nataka kuona jambo likifanyika hivyo (wishfully thinking)unajitoa ufahamu. sasa watu hukumu waliipataje? detail kamuombe fei jumatatu utupie gazetini
Kaulize wahusikaWanamuuza Tsh ngapi boss?
usichotaka kujua ni kwamba kati ya azam na simba wanamtaka fei lakini kwa njia ya figisu, wanapima udhaifu wa yanga, yanga haiwezi kukubali hivyo unabyowazaGeuka mzazi, mkataba uweke pembeni, huyu ni kijana, ujana maji ya moto.
giza lipi?hukumu huwa haitangazwi hovyo hupewa wahusika,na kamati imesema hukumu ndio hiyo na mwrnendo wa shauri ambao ndio hutoa sababu kwani uamuzi huo umetolewa hivyo watapewa wahusika jumatatu,sasa hapa kuna giza gani?Sio assumption ni fact regarding source iliyoleta taarifa ni trustable
Hayo maswala ya kisheria wala sina shida nayo, hata ikitokea Feisal kashindwa kisheria ni sawa
Ila nacho hoji mimi kivipi swala hili liwekwe gizani?
barua ya yanga ya kupotelewa mchezaji wao unajua ina maana gani?Ingekuwa mimi ningevumilia msimu uishe mshahara wakiweka nachukua
we jamaa hili neno mchanganuo umelipata wapi? umeambiwa detail na vifungu ni jumatatu, na ukumbuke sio kesi mpya hii ni review ya kesi awaliKesi ina conclusion ambayo haifahamiki imetumika kanuni gani kuhukumu yani kiufupi haina mchanganuo
Kwenye circumstances ya Morrison hapo watu waliweza ku question chochote ambacho hakikuwa clear ili ku prove kuwa kweli haki imetendeka
Kwanini swala la Feisal mchanganuo wa maamuzi yake ufanyike gizani?
yaani tff hii ya karia iwe upande wa yanga, acha utani bwana!Hoja yangu mimi ni kwanini hiyo hukumu isiwekwe open kila mfatilia soka ajue?
Kuna madudu ambayo TFF imefanya na haitaki watu wayaone kwasababu wataonekana hawajafanya haki?
Mbona kesi za kina Morrison kila kitu kilikuwa wazi?
we jamaa hili neno mchanganuo umelipata wapi? umeambiwa detail na vifungu ni jumatatu, na ukumbuke sio kesi mpya hii ni review ya kesi awali
Hayo Hayakuhusu. Haha.Kaulize wahusika