Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Hii ni adhabu kwa Yanga au Fei?Na pale Yanga anasugua benchi hadi 2024 mkataba utakapoisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni adhabu kwa Yanga au Fei?Na pale Yanga anasugua benchi hadi 2024 mkataba utakapoisha
Umebaki mwaka 1. Aondoke bure, Kuna timu italeta ofa kubwa kweli mezani?Sasa tumuhurumie vip? Hiyo timu inayomtaka si ilete maombi mezan?
Kuna mechi Yanga hawakucheza kisa fei yupo bench?. Ukijibu hapo Utakua umenielewaHii ni adhabu kwa Yanga au Fei?
Mkuu naomba nikuulize swali, hivi kesi zote duniani huwa zinarushwa live kwenye vyombo vya habari ili watu wasikie? Kesi ya Morrison na Yanga ilipotolewa hukumu ilirushwa live? Vipi na CAS nao huwa wanaposikiliza kesi na kutoa hukumu huwa wanakuwa live kwenye vyombo vya habari?Sababu za undani zitatolewa kwa wahusika ma shauri hilo
Yale yale kufanya mambo gizani kuwaficha watu wasiweze kukosoa endapo kuna ukiukwaji wa sheria umefanyika
Hapana. Ila Swali langu limebase kwenye kumlipa mchezaji ambaye hata mazoezini haji. Au hatolipwa?Kuna mechi Yanga hawakucheza kisa fei yupo bench?. Ukijibu hapo Utakua umenielewa
Kwani ni kesi ya Jamhuri dhidi ya Yanga au ni Fei dhidi ya Yanga? Wanaostahili watapewa nakala za hukumu yao wakitaka wataweka public ila sio jukum la mtoa haki kuweka publicUonevu tu. Waweke hoja zilizobishaniwa na rejea za vifungu kila mtu aone.
Bajeti yake ilishatengwa tayari. Hakuna ambacho Yanga wanapoteza.Hapana. Ila Swali langu limebase kwenye kumlipa mchezaji ambaye hata mazoezini haji.
Hilo litafuata baadae kwa kuchukuliwa sheria ila kwasasa Yanga inaendelea kutekeleza yaliyomo kwenye mkataba wake ili akose sababu.Hapana. Ila Swali langu limebase kwenye kumlipa mchezaji ambaye hata mazoezini haji.
Sio kuruka live, mimi nimehoji kwanini swala la kutoa mchanganuo wa maamuzi yaliyopelekea ku-dismiss hiyo review yafanyike gizani? yani ihusishe pande mbili zilizohusika bila wana habari na wananchi kufahamishwaMkuu naomba nikuulize swali, hivi kesi zote duniani huwa zinarushwa live kwenye vyombo vya habari ili watu wasikie? Kesi ya Morrison na Yanga ilipotolewa hukumu ilirushwa live? Vipi na CAS nao huwa wanaposikiliza kesi na kutoa hukumu huwa wanakuwa live kwenye vyombo vya gavari?
Kwa Fei, wanua kipaji chake, akitoka hapo aende kucheza KMKMHii ni adhabu kwa Yanga au Fei?
Unaweza lipia bili ya umeme uliokatika/haupo sababu ulishatenga bajeti?Bajeti yake ilishatengwa tayari. Hakuna ambacho Yanga wanapoteza.
Na kwa Yanga?Kwa Fei, wanua kipaji chake, akitoka hapo aende kucheza KMKM
Kinachofanyika ni kuweka rekodi sawa kwenye documents. Waliokuwepo washajua maamuzi yote.Sio kuruka live, mimi nimehoji kwanini swala la kutoa mchanganuo wa maamuzi lifanyike gizani yani lihusishe pande mbili zilizohusika bila wana habari na wananchi kufahamishwa
Swala la Manara lilitolewa uamuzi public na kila mtu alisikia, why hili la Fei waliweke confidential?
BTW swala la kuruka live lipo nchi nyingi sana, na juzi nilikuwa naangalia case ya Kodak Black. Kesi ya Young Thug na Gunna zote zilikuwa live na clip ninazo, so what's your point?