Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Faini yenye faida kwa timu anayochezea?Faini inaweza kuwa ya kawaida, ila mchezaji kukaa nje bila kucheza ni zaidi ya faini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Faini yenye faida kwa timu anayochezea?Faini inaweza kuwa ya kawaida, ila mchezaji kukaa nje bila kucheza ni zaidi ya faini.
Hakuna kitu kama hicho, wakina Shafii Dauda wanafungiwa kila kitu kilikuwa openHii sio kesi ya Jamhuri dhidi ya Yanga, Kuna kesi na shauri na wenye shauri lao watapewa nakala ya maamuzi ya shauri lao, wakitaka wataweka public wasipotaka huna mamlaka ya kuambiwa wewe au umma vipengele walivyotumia. Yanga na Fei ndio wanaopewa nakala zao na usiwe bendera fata upepo. Sio kila kesi lazima iwe public, Kuna mapitio mengine yanabaki siri kwa wenye mashauri hayo.
Mahakama gani umewahi kuona inaweka mwenendo wa kesi gazetini zaidi ya hukumu? Mbona mnajitoa ufahamu kama watoto?Sababu za undani zitatolewa kwa wahusika ma shauri hilo
Yale yale kufanya mambo gizani kuwaficha watu wasiweze kukosoa endapo kuna ukiukwaji wa sheria umefanyika
Unapigwa na TFF sababu wao ndio wenye mpira wao na Yanga ni mwanachama wao.Faini yenye faida kwa timu anayochezea?
Anajiharibia mwenyewe sio kuharibiwaYanga timu yangu pendwa, muachieni kijana aende zake pale nafsi yake inapomtuma, fei amekosea dhahri lakini kukosea kwake isiwe kigezo cha kumkomoa kijana huyu na kumuharibia maisha na kumuumiza kisaikolojia, fanyeni wema huo, aende zake huku mkimpa onyo.
Biashara haina huruma mkuu ukifanya biashara kwa kuoneana huruma utakufa masikini, unamkumbuka singano wa simba jinsi alivyowasumbua na kesi yake ya madai???Yanga timu yangu pendwa, muachieni kijana aende zake pale nafsi yake inapomtuma, fei amekosea dhahri lakini kukosea kwake isiwe kigezo cha kumkomoa kijana huyu na kumuharibia maisha na kumuumiza kisaikolojia, fanyeni wema huo, aende zake huku mkimpa onyo.
Mkuu huyu jamaa anaandika mashudu mpaka unajiuliza kichwani kwake kuna nnMahakama gani umewahi kuona inaweka mwenendo wa kesi gazetini zaidi ya hukumu? Mbona mnajitoa ufahamu kama watoto?
Mchanganuo wa hukumu mbona unawekwa waziMahakama gani umewahi kuona inaweka mwenendo wa kesi gazetini zaidi ya hukumu? Mbona mnajitoa ufahamu kama watoto?
Kuna watu Wana viwango vya chini vya uelewa mpaka unashangaa wanatembeaje barabarani bila kugongwa na magari.Mkuu huyu jamaa anaandika mashudu mpaka unajiuliza kichwani kwake kuna nn
Mahakama ipi uliona inaweka mwenendo wa kesi ya Mbowe zaidi ya Martine Maranja Masese ambaye ni mwanachama wa CHADEMA? Wewe ukajua Jaji ndo alikuwa anaandika mitandaoni?Mchanganuo wa hukumu mbona unawekwa wazi
Hata kesi ya mbowe mbona watu tulikuwa tunajua kila nukta inayoendelea, hata jaji akikohoa tunajua
Wewe na Uyanga wako jikite kwenye hoja achana na mipasho ya kimhemko haikusaidii chochote zaidi inakushushia credibilityKuna watu Wana viwango vya chini vya uelewa mpaka unashangaa wanatembeaje barabarani bila kugongwa na magari.
Huyu ni kijana mdogo, ni mwenetu amekosea, tumpe onyo, kama wazazi tuache aendezake!Anajiharibia mwenyewe sio kuharibiwa
Huyu dogo alikuwa sahihi kabisa kujiita Fei Toto!Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Mira wa Miguu Tanzania (TFF) imekutana leo tarehe 2 Machi, 2023 kwa ajili ya kusikiliza pamoja na mambo mengine shauri la mapitio (Review) ya uamuzi wake wa tarehe 9 Januari 2023 kati ya Feisal Salumu na Klabu ya Young Africans kama yalivyowasilishwa na muombaji Feisal Salum dhidi ya Klabu ya Young Africans.
Baada ya kusikiliza hoja za mawakili wa pande zote mbili Kamati imeona kuwa shauri hilo la mapitio (Review) halina msingi wa kisheria kushawishi
Kamati kubadili maamuzi yake yaliyotolewa awali hivyo imetupilia mbali shauri hilo.
Sababu kwa undani za uamuzi huo zitatolewa kwa pande zote mbili zinazohusika katika shauri hilo siku ya Jumatatu 6 Machi, 2023.
View attachment 2535208
Aondoke kisheria, sio kihuni. Ana/alikuwa na mkataba wa kisheria na Dar Young Africans, angetumia sheria kutengua mkataba wake na Yanga. Kijana anajiumiza na kujimaliza mwenyewe kisoka, soka ni career fupi sana, asipokuwa makini atajutia mda anaopoteza.Yanga timu yangu pendwa, muachieni kijana aende zake pale nafsi yake inapomtuma, fei amekosea dhahri lakini kukosea kwake isiwe kigezo cha kumkomoa kijana huyu na kumuharibia maisha na kumuumiza kisaikolojia, fanyeni wema huo, aende zake huku mkimpa onyo.
OKey, embu tusubiri kama itatoka faini iwapo hatorudi na itakuwa kiasi gani na iwapo italipwa na kama haitolipwa ni nn kitatokea. Uwezekano wa Yanga kumwachia Fei bado upo, sioni "WIN" kwa Yanga iwapo hakuna dau kubwa la fei hata akirudi kambini akakaa tu.Unapigwa na TFF sababu wao ndio wenye mpira wao na Yanga ni mwanachama wao.
Kwanza tushukuru tu Tz sio kama ulaya ila mbele ,wasingeishia hapo ,wangetrace ile mil 110 imetoka kwa Fei au kwa timu nyingine.
Tunajua nyuma hili sakata yupo Azam na Yusuph, sema kibongo bongo hili hatuto lifuatilia.
Nani kasema jaji ndio anayepaswa kufanya hilo?Mahakama ipi uliona inaweka mwenendo wa kesi ya Mbowe zaidi ya Martine Maranja Masese ambaye ni mwanachama wa CHADEMA? Wewe ukajua Jaji ndo alikuwa anaandika mitandaoni?
Yanga hawakusitisha kumlipa mshahara wake.Mshahara anapokea?
Geuka mzazi, mkataba uweke pembeni, huyu ni kijana, ujana maji ya moto.Aondoke kisheria, sio kihuni. Ana/alikuwa na mkataba wa kisheria na Dar Young Africans, angetumia sheria kutengua mkataba wake na Yanga. Kijana anajiumiza na kujimaliza mwenyewe kisoka, soka ni career fupi sana, asipokuwa makini atajutia mda anaopoteza.