Fei Toto agonga mwamba TFF, bado ni mali ya Yanga

Fei Toto agonga mwamba TFF, bado ni mali ya Yanga

Umebaki mwaka 1. Aondoke bure, Kuna timu italeta ofa kubwa kweli mezani?
Unajua Yanga wameandika barua TFF kwamba hawamuoni Fei,ile barua ina maana kubwa sana kwani Feisal mpaka sasa bado mkatataba wake umebakia mwaka na nusu, sema wanasheria wake Fei wanamdanganya.Ile barua bado TFF hawajapanga siku ya kuisikiliza,kwani Fei atapewa adhabu na kurudi kuitumikia Yanga kwa sehemu ya mkataba uliobakia (mwaka na nusu).

Katafuteni Intv aliyo ifanya Rage YouTube ndio mtaelewa, iliyo barua ya pili ni mtego mwengine wa kisheria wa Fei na yy kishajaa.
 
Unajua Yanga wameandika barua TFF kwamba hawamuoni Fei,ile barua ina maana kubwa sana kwani Feisal mpaka sasa bado mkatabakia mwaka na nusu, sema wanasheria wake Fei wanamdanganya.Ile barua bado TFF hawajapanga siku ya kuisikiliza,kwani Fei atapewa adhabu na kurudi kuitumikia Yanga kwa sehemu ya mkataba uliobakia (mwaka na nusu).

Katafuteni Intv aliyo ifanya Rage YouTube ndio mtaelewa, iliyo barua ya pili ni mtego mwengine wa kisheria wa Fei na yy kishajaa.
Asiporudi? Ni rungu gani kubwa linaweza mkuta kutoka TFF au Yanga?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ujue kwenye sheria hawa wanasheria wanakuwa wanabobea katika kusimamia kesi za aina fulani,mfano kuna ambao wanaziweza kesi za mashamba,wengine kesi za kisiasa,wengine za Jinai n.k

Nilipoona mwanasheria wa Fei ni Fatma karume nikasema tu hapa yaleyale hela imeshaenda maana sidhani kama Fatuma ana uwezo wa kuchambua vifungu vya kimichezo vya FIFA kiuweledi kabisa,sidhani maana simjui kiundani ,tatizo limeanzia hapo
Wakati wenzio wanasoma sheria wewe ulikuwa unawinda ndege na Mzee wako mashambani.

Nani kakwambia kuna WAnasheria wa kesi za mashamba?


Anyway issue inaenda CAS ndio utajua Kati ya WAnasheria wa YAnga na Fatma Nani ni Bora !
 
Yanga wanalipa kutokana.na masharti ya mkataba. Hawafanyi Kama fadhila. Fei yupo yanga bado na huo mfano wako wa umeme kukatika hauingii hapo. Fei hajaondoka Yanga.
Fei yupo wapi? Mshahara wa mwezi huu uliopita aliupokea?
 
Asiporudi? Ni rungu gani kubwa linaweza mkuta kutoka TFF au Yanga?
Kupigwa faini au hata kufungiwa na kurudi kuitumikia club yake kwa sehemu ya mkataba uliobakia (mwaka na nusu).Mpaka sasa Yanga hawajui Fei yupo wapi.
 
Sio kuruka live, mimi nimehoji kwanini swala la kutoa mchanganuo wa maamuzi yaliyopelekea kundismmiss hiyo review yafaanyike gizani? yani lihusishe pande mbili zilizohusika bila wana habari na wananchi kufahamishwa

Swala la Manara lilitolewa uamuzi public na kila mtu alisikia, why hili la Fei waliweke confidential?

BTW swala la kuruka live lipo nchi nyingi sana, na juzi nilikuwa naangalia case ya Kodak Black. Kesi ya Young Thug na Gunna zote zilikuwa live na clip ninazo, so what's your point?
Hii sio kesi ya Jamhuri dhidi ya Yanga, Kuna kesi na shauri na wenye shauri lao watapewa nakala ya maamuzi ya shauri lao, wakitaka wataweka public wasipotaka huna mamlaka ya kuambiwa wewe au umma vipengele walivyotumia. Yanga na Fei ndio wanaopewa nakala zao na usiwe bendera fata upepo. Sio kila kesi lazima iwe public, Kuna mapitio mengine yanabaki siri kwa wenye mashauri hayo.
 
Nimependa alichozungumza yule jamaa yake jaydee sijui anaitwa edward kumwembe,ushauri wake mzuri japo mimi simtambui kama mchumbuzi
Kasemaje? Edo niliacha kumfuatilia baada ya kuona kaacha kuwa mwanahabari kaamua kuwa shabiki wa Arsenal....nilimfuata kama mwanahabari kwenye kurasa zake.
 
Anapewa mil 4,anakula ugali na chumvi then alikuwa na uwezo wa kulipa 110m Yanga bila kufuata utaratibu na kwenda Dubai kutrain na trainer mkubwa anao watrain wachezaji wanaocheza ligi kubwa ulaya.

Hamna logic kabisa, bi mkubwa alizani ana mtetea mwanae kumbe kamwaribia.
Dogo mpira ndio umeishia hapo. Akaungane na Kamanda wa connection visiwani
 
Kupigwa faini au hata kufungiwa na kurudi kuitumikia club yake mwa sehemu ya mkataba uliobakia (mwaka na nusu).Mpaka sasa Yanga hawajui Fei yupo wapi.
Faini inaweza kuwa zaidi ya kile alichokiweka kwenye akaunti alipotaka kuvunja mkataba? Najaribu kutafuta "WIN" ya yanga.
 
Faini inaweza kuwa zaidi ya kile alichokiweka kwenye akaunti alipotaka kuvunja mkataba? Najaribu kutafuta "WIN" ya yanga.
Faini inaweza kuwa ya kawaida, ila mchezaji kukaa nje bila kucheza ni zaidi ya faini.
 
Back
Top Bottom