Feminist huoana, wife material huolewa. Je, unaoa/kuolewa au mnaoana?

Kiswahili 👉nakupiga +unanipiga =tumepigana
Umeoa +amekuoa =mmeoana
Is that so?
 
Kiswahili 👉nakupiga +unanipiga =tumepigana
Umeoa +amekuoa =mmeoana
Is that so?

Seems like I overrated you Chief.
Unaelewa maana ya neno kuoana?
Tuanzie hapo kwanza, achilia nadharia zako na hisia zako kuhusu kuoa, kuolewa na kuoana, neno kuoana unaelewa maana yake?
 
Au wengine wanaishi Maigizo , at the bottom Mwanamke ndo Steering wheel wa KILA kitu .

Mwamba akisimama yeye kama yeye inakuwa tatizo . Mvutano hutokea hapo ambao hauna mfano .
Anasimama vipi na hana njia ya kipato, hana ajira, ana degree yake tu? Mkewe ana ajira, ana vikoba, hapo bado bosi hajamuelewa akamuweka mjini.

Unakuta mke ana ukwasi mume hana kitu anajikaza tu barabarani na pete yake ya ndoa kila siku akiomba mambo yakae sawa au mke wake asichoke akamkosea heshima na kumuabisha.

Vijana wanapitia nyakati ngumu sana, wengine wanaposema USIOE ni kuwaelewa tu.
 
Bora anayemtengeneza mume wake kuliko mwizi wa mume wa mtu.
 
Seems like I overrated you Chief.
Unaelewa maana ya neno kuoana?
Tuanzie hapo kwanza, achilia nadharia zako na hisia zako kuhusu kuoa, kuolewa na kuoana, neno kuoana unaelewa maana yake?
Nimejieleza vizuri kwamba naamini katika ndoa ambayo mwanaume anamuoa mwanamke! Na mwanamke huyo (kwa hiari yake) anaamua Kuolewa na Mwanaume.
The ship must have a captain so in marriage husband is that captain
 
In that scenario kwa nini aliamua kuoa?
 
Reactions: Tsh
Hakunaga feminist mzuri wengi wao umbo baya, sura mbaya na kitandani ni magogo.
 
Nimejieleza vizuri kwamba naamini katika ndoa ambayo mwanaume anamuoa mwanamke! Na mwanamke huyo (kwa hiari yake) anaamua Kuolewa na Mwanaume.
The ship must have a captain so in marriage husband is that captain

Weka hapa kwanza maana ya neno kuoana. Mbona mambo marahisi tu? Nani kakwambia neno kuoana lunaondoa mume na Mke au nani ni kichwa Cha familia?

Nakuuliza Kwa Mara nyingine, maana ya neno kuoana iwe Kwa mujibu wa kamusi ya kiswahili au vinginevyo inayotambulika unaielewa?
 
Umenijibu lakini kimaandiko sisi ni wasaidizi wa wanaume. Na kazi ya msaidizi ni kufanya majukumu ambayo anapaswa mwanaume kuyafanya sisi tunamsaidia tu.
Kwa hiyo kazi ya kuosha vyombo.kupika, ni za mwanaume haijalishi anatengeneza shingapi ila sisi tunawasaidia tu.

Hivyo msijisahau.
 
Msaidizi hupangiwa kazi. Makamo wa Rais na Waziri Mkuu ni wasaidizi wa Rais, hivyo Rais anawapangia kazi. Na kama mwanamke ni msaidizi wa mwanaume, mwanaume anampangia kazi za kudeki, kupika na kufua nguo
 
Msaidizi hupangiwa kazi. Makamo wa Rais na Waziri Mkuu ni wasaidizi wa Rais, hivyo Rais anawapangia kazi. Na kama mwanamke ni msaidizi wa mwanaume, mwanaume anampangia kazi za kudeki, kupika na kufua nguo
Mwambie Hannah
 
Naomba nichangie mifuko ya cement 50 na lori moja la kokoto kwa ajili ya ujenzi wa sanamu lako [emoji119]
 
kuna sehem flan nilitembelea; kule mwanamke akiachika anatengwa na familia(hatakiwi kuwa karibu na wadogo zake wa kike)
kwasababu atawaharibu kisaikolojia... kwa maana hiyo, umesema ukweli
 
Kumekuchaaaaaaaaaa!!!

Wanaume wanapungua kwa kasi ya ajabu sana, kweli ni mafurushi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe unafanya hvyo ili uendelee kufaidi huduma za huyo baba. Sasa unajua tatizo lilipo? Tafuta pesa zako mwenyewee ili ujihudumie, acha kuhudumiwaaa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeeeeh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukweli mchunguu huu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama kazi za kupika, kuosha Vyombo, kufua,kudeki ndani ni kazi ya mwanaume kunaulazima gani wew uingie ndoani Kama hata majukumu yako tu huyafahamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…