DOKEZO Fidia ya Kipunguni A mbona danadana nyingi, TAA tuambieni ukweli

DOKEZO Fidia ya Kipunguni A mbona danadana nyingi, TAA tuambieni ukweli

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Je wana kipunguni wamelipwa au n wewe umetumwa kuwadanganya ili wawe na matumaini ? Picha na nyaraka asaini mwingine halafu eti waje wengine ! wadanganye wajinga sana .
 
Sasa uyo unae mwambia haya YY ndio kiboko kwa rushwa.kama hujui
 
Wananchi wa kipunguni ukonga wapo ktk Ari mbaya Sana. Nahuku waziri wa fedha akiaidi bungeni mara Kwa mara kuwalipa lakini hatekelezi haadi yake. Muda unazidi kwenda wananchi wanateseka. Sasa mheshimiwa Rai's mama Samia wasaidie wananchi wako. Maana watu ulio wapa nafasi wamekua wahongo Sana. .
Na kushindwa kutekeleza majukumu Yao. Wananchi hao Sasa inapata miaka ishirini na 24 toka wafanyiwe tathimini hiyo hawalipwa.
 
Naunga mkono hoja Kipunguni bila Rais kuingilia watalipwa baada ya miaka hamsini. sijui wafanyeje maana waziri wa fedha na mbuge wamewauza wananchi. Wanasheria wa eneo hili wajipange kwenda mahakamani.
 
Kwani huko Kipunguni kulitokea nn? Au nn serikali iliwapora wananchi?

Tuwekee maelezo hapa ili tuwasidie kuikumbusha serikali (siyo kila mtu humu ni wa Kipunguni)
 
Mi nashauri serikali iachane na utaratibu wa kulipa fidia badala yake iwe inajenga nyumba wananchi wanaishi Kama ilivyo ulaya apo akutaku Tena na malalamiko ya kudai fidia
 
Wananchi wa kipunguni ukonga wapo ktk Ari mbaya Sana. Nahuku waziri wa fedha akiaidi bungeni mara Kwa mara kuwalipa lakini hatekelezi haadi yake. Muda unazidi kwenda wananchi wanateseka. Sasa mheshimiwa Rai's mama Samia wasaidie wananchi wako. Maana watu ulio wapa nafasi wamekua wahongo Sana. .
Na kushindwa kutekeleza majukumu Yao. Wananchi hao Sasa inapata miaka ishirini na 24 toka wafanyiwe tathimini hiyo hawalipwa.
Tuliwaonya watu wa kipunguni mapema sana kwamba , Shetani hana rafiki , walitupuuza na wakaendelea kukenua meno , kiko wapi sasa?
 
Kwako Waziri, nilikuwa nasikiliza majibu ya kwanini pesa za malipo ya kipunguni hazijalipwa. Nikujuze tu kuna upigaji wa kutosha maeneo kadhaa

1. Kuna watu ambao walishalipwa huko nyuma kwa kupewa viwanja, hawa baadhi yao wapo na waliendelea kuwepo naamini mnadili nao vizuri.

2. Katika hawa wapo ambao walihama mazima baada ya kusikia kuna malipo wakarudi kufwatilia viwanja vyao wakakuta vina majina ya watu wengine wametoka wapi wanajua. Mwenyekiti kipunguni huyu anajua uchafu wotee hapa mbaneni atawajibu

3. Wapigaji wa tatu ni wasimamizi wa marehemu mmiliki aliefaiki.

i. Hawa wengi wapo hawakuwahi kupeleka ama kufungua kesi mahakamani lakini wamepeleka majina yao na ac zao za bank malumbano ama migogoro uliosema haiesabiki.

4. Upigaji wa nne ni wa wasimamzi pia wahusika wa familia wengi mpaka sasa hawakuwahi kuonyeshwa kiasi cha pesa wanachipata. Pesa kamili wanazijua wasimamizi na hii imeongeza migogoto mingi isiyo na tija.

5.i.........
Well done govt

Mwenyekiti tutaonaana tena milleleleee
Wananchi ndioo mabosiwako ona na uanachama ouuuuuut
 
Back
Top Bottom