"Sijafundishwaga" wewe ngumbaru wakuja.Sawa mim ni ngumbaru nilishakuja kukulia shida mim siwez kukudharau sababu sikujui na sijafundishwaga kumdharau mtu nisiyemjua
Weka picha!!Baada ya vibuti na kukataliwa na wanawake wengi finally niliamua kutumia surrogate ili kujenga familia upinzani ulikua mgumu Ila finally nimefanikiwa Ila ndio hivyo watoto hawatakua na mama sababu mbegu za kike nilinunua
Life is good kama ukikubali ukweli kwamba love relationship is not for everyone
Surrogate ni mkombozi kwa sisi wanaume ambao tuna damu za kunguni a.k.a za kukataliwa na wanawake
The positive things Sina kinyogo au chuki dhidi ya wanawake kabisa hadi wale walionikataa, Maisha haya ni mafupi na kamwe huwezi nikuta nikiwaponda wanawake naheshimu maamuzi yao hata kama mimi sikuyapenda
Gharama nilizotumia ni million 70 zinajumuisha gharama za hospital, kumlipa mwanasheria, kumlipa surrogate mother na kununua Yai la kike
Sawa unalingine"Sijafundishwaga" wewe ngumbaru wakuja.
Ndiyo maana wanawake hawakutaki.
Ana stress huyo Sasa amepata sehemu ya kumalizia stress zakeNyie wanawake wa JF mbona mnaharibu Uzi huu pendwa? Kwa personal Attack
Stress zinamsumbua Sana alitaka akubebee ujauzito lakini bahati haijawa upande wake.Ana stress huyo Sasa amepata sehemu ya kumalizia stress zake
Una stress wewe unataka kuleta ujuaji wa kitotoMwanamke bibi yako.
Mwenye stress wewe unayeita watu wanawake bila hata uchunguzi.Una stress wewe unataka kuleta ujuaji wa kitoto
Yai lilikuwa la mwanamke huyo huyo au mwana.ke mwingine tofauti.Nilimtafuta mwanamke nikampa ela kupitia mwanasheria akabeba mimba miez Tisa baada ya kujifungua watoto mapacha nikachukua watoto wangu nikampa hela tuliyokubaliana kila mtu Akala hamsin zake
Picha ya ninWeka picha!!
Mwanamke tofautiYai lilikuwa la mwanamke huyo huyo au mwana.ke mwingine tofauti.
Inawezekana ntakua na gundu sababu Kuna Wanaume wanaliliwa na mwanamke zaid ya mmojaHaya mambo yanafanyika ugaibuni TI sasa kama umekosa mwanamke ughaibuni basi utakuwa na gundu maana huko wamejaa tele
Jamani mbona Mimi napigwa vibuti Kama wewe si ungesema mapema tuyajenge!hiyo m70 tungeanzia Maisha ya Raha mustareheMpango wa kuoa nilikua nao na napenda sana ndoa Ila ndio hivyo huwezi Amini niliambulia vibuti
Huwezi amini hakuna hata mmoja yaani surrogate imenitibu moyo wangu uliokua umepondeka pondeka
Unaweza ingia mahusiano na mwanaume usiyemjua at the same time huna hisia nae ni ngumuJamani mbona Mimi napigwa vibuti Kama wewe si ungesema mapema tuyajenge!hiyo m70 tungeanzia Maisha ya Raha mustarehe
Wote huwa hatujuani ndio tunaanzaga kujuana,....Ila Hongera kwa kuwa baba wawiliUnaweza ingia mahusiano na mwanaume usiyemjua at the same time huna hisia nae ni ngumu
AhsanteWote huwa hatujuani ndio tunaanzaga kujuana,....Ila Hongera kwa kuwa baba wawili
Nimependa ulivyofunguka, Mwanamke halisi ni lazima akasirike anapoona mwanaume asiyetamani wanawake. You are for real!Ambao hawajaumizwa na comment yangu ni wazi ndo wanaume, kama wewe mjuni,,
waliobaki ni wanawake wenzetu wenye mikia
Kutamani wanawake na kumpata mwanamke ni vitu viwili tofauti, mim nataman wanawake Ila siwapatiNimependa ulivyofunguka, Mwanamke halisi ni lazima akasirike anapoona mwanaume asiyetamani wanawake. You are for real!