Finally nimepata watoto mapacha kwa njia ya surrogate

Finally nimepata watoto mapacha kwa njia ya surrogate

Sawa mim ni ngumbaru nilishakuja kukulia shida mim siwez kukudharau sababu sikujui na sijafundishwaga kumdharau mtu nisiyemjua
"Sijafundishwaga" wewe ngumbaru wakuja.

Ndiyo maana wanawake hawakutaki.
 
Baada ya vibuti na kukataliwa na wanawake wengi finally niliamua kutumia surrogate ili kujenga familia upinzani ulikua mgumu Ila finally nimefanikiwa Ila ndio hivyo watoto hawatakua na mama sababu mbegu za kike nilinunua

Life is good kama ukikubali ukweli kwamba love relationship is not for everyone

Surrogate ni mkombozi kwa sisi wanaume ambao tuna damu za kunguni a.k.a za kukataliwa na wanawake

The positive things Sina kinyogo au chuki dhidi ya wanawake kabisa hadi wale walionikataa, Maisha haya ni mafupi na kamwe huwezi nikuta nikiwaponda wanawake naheshimu maamuzi yao hata kama mimi sikuyapenda

Gharama nilizotumia ni million 70 zinajumuisha gharama za hospital, kumlipa mwanasheria, kumlipa surrogate mother na kununua Yai la kike
Weka picha!!
 
Nilimtafuta mwanamke nikampa ela kupitia mwanasheria akabeba mimba miez Tisa baada ya kujifungua watoto mapacha nikachukua watoto wangu nikampa hela tuliyokubaliana kila mtu Akala hamsin zake
Yai lilikuwa la mwanamke huyo huyo au mwana.ke mwingine tofauti.
 
Haya mambo yanafanyika ugaibuni TI sasa kama umekosa mwanamke ughaibuni basi utakuwa na gundu maana huko wamejaa tele
Inawezekana ntakua na gundu sababu Kuna Wanaume wanaliliwa na mwanamke zaid ya mmoja
 
Mpango wa kuoa nilikua nao na napenda sana ndoa Ila ndio hivyo huwezi Amini niliambulia vibuti

Huwezi amini hakuna hata mmoja yaani surrogate imenitibu moyo wangu uliokua umepondeka pondeka
Jamani mbona Mimi napigwa vibuti Kama wewe si ungesema mapema tuyajenge!hiyo m70 tungeanzia Maisha ya Raha mustarehe
 
Jamani mbona Mimi napigwa vibuti Kama wewe si ungesema mapema tuyajenge!hiyo m70 tungeanzia Maisha ya Raha mustarehe
Unaweza ingia mahusiano na mwanaume usiyemjua at the same time huna hisia nae ni ngumu
 
Ambao hawajaumizwa na comment yangu ni wazi ndo wanaume, kama wewe mjuni,,

waliobaki ni wanawake wenzetu wenye mikia
Nimependa ulivyofunguka, Mwanamke halisi ni lazima akasirike anapoona mwanaume asiyetamani wanawake. You are for real!
 
Back
Top Bottom