The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Wala si gambling. Wanaofaidika ni wale wanawekeza hela nyingi kwaanzia 50k -100k. Hata ikipanda kidogo tu una faida kubwa.
Sasa kajamba nani ananunua Bitcoin na 500 usd
Unafikiri ungetolewa wapi zaidi ya Tz ambako bado haijazoeleka watu kutoboa kwa vipaji vyao, huku vipaji hivyo vikisababisha wengine kuishia kufa masikini.!?Ushauri huu unatolewa nchi ya kimasikini kama Tanzania.
Juta kuzaliwa Tanzania juta kuzaliwa Afrika
Forex it's not for overy oneMwaka 2017 May ni mdau niliye shawishika sana kujiunga na jamii forum, kabla ya hapo nilikuwa nasoma tu na kupita hivi na sikuwa member. Ikaja thread moja kutoka kwa kijana machachali ontario kuhusu forex nikasoma na nikashawishika sana, kwa kipindi hicho nilikuwa mwa watatu chuo so kuna course moja tulio soma BAF inaitwa international trade ndani yake kuna forex, so haikuwa ngumu kwangu haikuwa ngumu sana kuelewana na ONTARIO.
Moja ya mifano aliyoitajija Ontario ni kijana huyu sandile shezi kutika south africa nikamfuatilia sana, nikaona interview zake alivyo acha chuo nakujiunga na forex na kutoboa kichwani mwangu moto uliwaka zaidi nikaona maisha si haya naenda kuyapatia
Nikajikita kusoma na kufungua demo account kama njia ya kujifunza pia nikawa mdau sana wakusoma vitabu vya kiyosaki, trump n.k hivi na soma hadi leo. Nikajiunga na magroup ya whatsapp na telegram nikawa member wa Ontario si unajua tena pesa ndugu zangu. Sikuwai kufungua real account cos nilikuwa na maisha yakuunga unga sana baada ya kumaliza chuo nikaona ngoja nijipe muda, nikaanza kuona wadau wanaanza kulia kuhusu Ontario kengere ikagonga kichwani nikabidi niwe ndugu mtazamaji tu. Nikaja jifunza kwa Robert kiyosaki usingie kwenye biashara ambayo hauwezi ku-control mtaji wako hasa forex hata kama biashara ina uhalisia ukiona hauwezi control capital tako achana nayo kupoteza ni dakika sifuli toka hapo nikapiga chini.
Sasa kijana huyu kutoka south anatafutwa na polisi na inasemakana ameitelekiza familia yake na hajulikani alipo na amekimbia na pesa za watu.
Ndugu zangu wana chuo hakuna pesa ya haraka haraka maisha ni mapambano leo ni mwaka sita toka nimalize chuo hata tobo bado sijalipata na BAF yangu, sio kwamba kichwani ni mweupe kwenye caree yangu najua sana cos huwa na zifungia kampuni binafsi mahesabu na kuwasaidi kwenye masula ya kodi TRA
NOTE: Vijana someni someni shule ndo mkombozi achana na forex japokuwa ni biashara halali ila usijingize kuendesha maisha yako itakuletea matatizo , muda unatumia kujifunza forex kajifunze kutengeza bajaji/ pikipiki na carpenter huku unasubilia ajira kutoka kwa government
Asikudanganye mtu.. Ni bora betting kuliko forex.... Hiyo forex ni zaidi ya izo candlestick mnazojisomea... NDIO MANA WOTE WANAOJIITA PROFESSIONAL TRADERS WANANGANGANIA KUFUNDISHA WATU.Forex haitaki vilaza. Ukiwa kilaza, vilaza waliochangamka watakutumia kama fursa yao ya kutoboa kimaisha.
Forex inataka watu wenye akili. Na watu wanaojishughulisha kwa bidii. Inataka watu ambao watalala masaa yasiozidi matano. Inataka watu ambao wataachana na mambo ya kufuatilia umbea, kuangalia tamthilia na vitu vyote ambavyo sio muhimu na huo muda autumie kwenye hiyo biashara ya forex.
Sasa mtu genge tu unashindwa kuliendesha mtaji unakufa halafu unataka ufanye forex?
Masaa yote upo insta umbea, ukitoka unaingia tiktok, ukitoka unakuja Jf ukimaliza hapo unaenda whatsap kupost memes halafu ukishachoka ndio unaenda sasa kuangalia
Candlesticks?
Mkuu hawawez elewa... Na nilichogundua wanasema hakuna anaeweza endesha market... Kumbe big sharks wanaweza amua market iende vipi (tofauti na study za candlestick na news) na hapo mtu aliejisomea candlestick lazima ale za usoHii ni link na share ya video ya BBC YouTube haya makampuni ni ya kitapeli yalifadhili hadi timu za mpira wa miguu. Forex hailipi nendeni mkafanye research ya jinsi ya kuwa trader wa New York stock exchange what it takes.It is not easy, from what I know kuna watu walitajirika na forex huo ilikuwa enzi hizo miaka ya themanini ambapo ulikuwa unafanya reading kwa kupiga simu. Enzi hizo watu walikuwa wachache wanafanya trading. Sasa hivi traders ndio mnakuwa mtaji badala ya mwekezaji kwa kampuni.
Najua kabisa lipo. Ila linakuwa kwenye matamshi na siyo kuandika. Mimi nikisikia mtu ana hili tatizo kwenye matamshi wala simlaumu kwani hata mimi lugha mama yangu kuna maneno ya kiswahili kuyatamka ni changamoto. Ila ndugu yangu kwenye kuandika huwa tunajifunza shule. Hata kiingereza kuna watu kama wahindi wana matamshi mabovu sana lakini hawaandiki maneno ya kiingereza tofauti.Unajua hili tatizo la r na l watu kutoka nyanda za juu kusini kwatu limekita mizizi na samaki mkunje bado akiwa mbichi
Ni kama betting ya mpira hata uwe na million 10 itakataLoss ni nyingi Sana kuliko profits
Kamari Kama kamariNi kama betting ya mpira hata uwe na million 10 itakata
Maisha hayana shortcut mi nilipoteza miaka miwili nabeti napata cash nzuri inaishia kubeti nikaona ni ufara huwezi tajirika kwa kamariKamari Kama kamari
Hakuna mkamaria Tajiri.Maisha hayana shortcut mi nilipoteza miaka miwili nabeti napata cash nzuri inaishia kubeti nikaona ni ufara huwezi tajirika kwa kamari
Kana sura ya kitoto sn kumbe katapeli pro maxKumbe ndo huyu Ontario wa South Africa?
View attachment 2593946
Umeshapiga million ngapi huko Forex πForex haitaki vilaza. Ukiwa kilaza, vilaza waliochangamka watakutumia kama fursa yao ya kutoboa kimaisha.
Forex inataka watu wenye akili. Na watu wanaojishughulisha kwa bidii. Inataka watu ambao watalala masaa yasiozidi matano. Inataka watu ambao wataachana na mambo ya kufuatilia umbea, kuangalia tamthilia na vitu vyote ambavyo sio muhimu na huo muda autumie kwenye hiyo biashara ya forex.
Sasa mtu genge tu unashindwa kuliendesha mtaji unakufa halafu unataka ufanye forex?
Masaa yote upo insta umbea, ukitoka unaingia tiktok, ukitoka unakuja Jf ukimaliza hapo unaenda whatsap kupost memes halafu ukishachoka ndio unaenda sasa kuangalia
Candlesticks?
Mwenye masikio, amesikiaMkuu, there's a big difference kati ya professions kama udaktari, uuzaji duka na forex. Udaktari au kada zingine ukiweka juhudi na maarifa utafanikiwa tu.
Forex trading, on the other hand, is a get-rich-quick scheme. Hiii ndo ahadi ya forex. Weka hela kuwa billionaire overnight. Jambo ambalo haliwezekani.
Unlike kada zingine, unaweza weka muda na maarifa yako yote kwenye forex na bado ukafeli. Hivi unajua 95% ya watu wanaofanya forex trading duniani wanapoteza hela? That's a fact. Ni kada gani ina failure rate kubwa kiasi hicho? Unataka kusema hao wote hawajui nini wanafanya? Case in point, ONTARIO muasisi wa forex bongo, kaishia wapi? where did he go wrong kwa mtazamo wako?
Jisomee mwenyewe hapa chini na links nimeweka:
A well-known figure in the Forex world is that 90% of Forex retail traders do not succeed. Some publications quote failure rates as high as 95%.
Statistics show that most aspiring forex traders fail, and some even lose large amounts of money.
Successful Forex Traders: 9 Things You Need To Know - Daily Price Action
Want to know the secrets of successful forex traders? This post exposes how successful traders think differently and how you can too!dailypriceaction.com
Can Forex Trading Make You Rich?
Forex trading may be profitable for hedge funds or unusually skilled currency traders, but for average retail traders, forex trading can lead to huge losses.www.investopedia.com
Wana-trade nini?Mwanzo mimi nilikuwa mbishi sana kuhusu Forex sana. Tena nadhani hadi nyuzi za kumnanga ontario nilikuwa nachangia kumnanga kisawasawa.
Ila akili ilikuja kubadilika wapi? Kuna watu ambao nawajua, na sijawajulia mitandaoni nawajua ni kama familia ya karibu. Wamemaliza chuo hamna ajira wakajifuza na bado wanajifunza ila wanaendesha maisha yao kwa hiyo hiyo forex hawana kazi nyingine.
Na ninavyokwambia hauwezi kuwakuta mtandaoni wanaandika chochote kuhusu forex. Hawafundishi wao ni kusoma na kutrade tu. Sio matajiri ila wanaendesha maisha yao. Wanalipa kodi na wanakula na wanavaa siku zinaenda.
Hawa ndio wamenibadilisha mtazamo niliokuwa nao juu ya forex.
Nenda kainvest, udownload hela π π πKuna Mtu alinishawishiii mweee....ila MUNGU tu nikachomoa juu Kwa juu..kwanza sikua na Hela ya mchezo miye!!!
Trading haiwi rahisi sababu watu wanaofanya ni wachache au wengi .Hii ni link na share ya video ya BBC YouTube haya makampuni ni ya kitapeli yalifadhili hadi timu za mpira wa miguu. Forex hailipi nendeni mkafanye research ya jinsi ya kuwa trader wa New York stock exchange what it takes.It is not easy, from what I know kuna watu walitajirika na forex huo ilikuwa enzi hizo miaka ya themanini ambapo ulikuwa unafanya reading kwa kupiga simu. Enzi hizo watu walikuwa wachache wanafanya trading. Sasa hivi traders ndio mnakuwa mtaji badala ya mwekezaji kwa kampuni.