Forex: Sandile Shezi kutoka South Africa kawapiga na kitu kizito wanafunzi wake yeye huyo Asia

Ila hapa duniani hakuna fani tamu Kama trading. Ni fani ngumu katika fani zote zinazojulikana kwa binadamu Ila Sasa ukishaijua Ni tamu mno na unameki hela upo hata uchi kabisa na unapapaswa na titii laini linakumasaje.
Hakuna kufokeana na bosi,waajiriwa ,wateja,yaani Hakuna anayekuuliza ,you get wild freedom only dreamt by wannabe traders.

Unadhani kumeki mane easy inakuja kirahisi.

Ni ngumu sio kwa kikabila,ki race,kihadhi wote wanapigwa za uso live kabisa
 

Hakuna anayesema ni rahisi tatizo failure rate is so high, at 95% it's alarming. Huwezi sema watu wote hao hawajui wanachokifanya.
 
Asikudanganye mtu.. Ni bora betting kuliko forex.... Hiyo forex ni zaidi ya izo candlestick mnazojisomea... NDIO MANA WOTE WANAOJIITA PROFESSIONAL TRADERS WANANGANGANIA KUFUNDISHA WATU.

Exactly.
 
Hakuna anayesema ni rahisi tatizo failure rate is so high, at 95% it's alarming. Huwezi sema watu wote hao hawajui wanachokifanya.
Rate ya wanaopoteza ni kubwa huo ni ukweli mchungu na utaendelea kuwa hivyo.

Binafsi siwezi mshauri mtu asifanye au afanye Ila ajipime yeye mwenyewe je ni aina ya biz anayoona itamfaa.

Je Yuko tayari kujifunza mwenyewe kupitia soko bila kuwategemea hao wanaojiita mentors.

Je anapenda na anaamini anaweza fanya jitihada ya kufanya awe ktk hao asilimia 5 winners.

Vitu vya kufanya duniani viko vingi so mtu anaweza chagua kufanya chochote anachopenda na kukiamini.

Tatizo watu wengi wanaoingia kufanya Forex huwa wanakuwa na mihemko ya kudhani Forex ndio njia ya rahisi ya kupata utajiri
 
Kuanza darasa la kwanza hadi na maliza chuo ni miaka 17 sijui mtaani kukoje.
Tanzania hii hii? Mwenzetu ulianza grade 1 ukiwa na umri gani kwenye taifa la kikapuku ambalo wengi wanamaliza Degree zao za kwanza wakiwa na miaka kuanzia 24.
 
Kwangu mimi bora kuandika english kuliko kiswahili inafika sehemu nashidwa kujua hapa niandike r au l
 
Loss ni nyingi Sana kuliko profits
na ndivyo inavyotakiwa,...loss nyingi kuliko profit,.ila unatakiwa bado uwe kwenye profit....kama bado unatrade,..soma kitu kinaitwa RISK TO REWARD RATIO....hii chin ni yangu kwenye competition
 

Attachments

  • Screenshot_20230422-071457.png
    20.8 KB · Views: 20
Kwangu mimi bora kuandika english kuliko kiswahili inafika sehemu nashidwa kujua hapa niandike r au l
Kama uliweza kujifunza maneno ya kiingereza bila shaka hata kiswahili utaweza. Na kuna uwezekano mkubwa ulipoanza kujifunza kuandika ulifundishwa na mwalimu kilaza ambaye alikuwa anafanya makosa kama hayo. Hii ni kwa sababu mtoto anapoonza chekechea ukiweza kumkazania kuandika maneno kwa usahihi ukubwani hatasahau katu. Mimi nilipokuwa chekechea na darasa la kwanza mpaka la tatu kuandika maneno kwa usahihi ilikuwa inatiliwa mkazo sana sana. Kosa kwenye spelling lilikuwa linaweza kukupa adhabu na waalim wetu walikuwa wazuri.
 
Wewe no trader nini?
Umepiga mulemule
 
Sounds like winga wa phantom
 
Mkuu wanasema ukitaka kujua utamu wa ngoma ingia ucheze, ungekuwa at least ushafanya hii business at least miaka kuanzia miwili ungekuwa na haki ya kuita wenzako vilaza ila Kwa Sasa unaona ni rahisi Kwa kuangalia motivational speakers wa forex hao wa mitandaoni
 
Hakuna kitu kigumu kutibu kama kujidanganya na kujipa faraja wakati ukweli unaujua. Hili ni janga la vijana wengi sana siku hizi. Ni hilo tu mkuu jichanganye na watu mbali mbali utaamka kwenye ndoto iliyonayo.
 
Mkuu hawawez elewa... Na nilichogundua wanasema hakuna anaeweza endesha market... Kumbe big sharks wanaweza amua market iende vipi (tofauti na study za candlestick na news) na hapo mtu aliejisomea candlestick lazima ale za uso
Unavyoongea nafurahi mno Mana naiona kabisa mind yako Tena Ile subconscious one kilichofanya ukaandika , beliefs are very dangerous and very Goldy thing. Life or everything is about your mindset, perception, beliefs,your expectations,how you think,how your attitude.keep going on with what you believe. Two men ,one says impossible and another says possible, they're two equally both right.

The one who failed to do it shouldn't interfere those who're doing it. Huyu demu Ni Malaya mwenzako anaoa anatengeneza amaizing family.
"My son be careful with your thoughts because your life is highly shaped according to how you're thinking by Solomon proverbs.
Imani yako imekuponya by Jesus Christ na sio yeye Wala baba wa mbinguni watu aliowaponya it was all about their own faith
 
Hakuna anayesema ni rahisi tatizo failure rate is so high, at 95% it's alarming. Huwezi sema watu wote hao hawajui wanachokifanya.
Listen inatakiwa wengi wafeli ili wachache wafaidike ama hujui pyramid of food chains,tax payers wanalisha wanasiasa wachache,waumini wanalisha pastors,padri wachache,wajinga wengi wanalisha wajanja wachache,nyumbu alfu kumi Ni chakula Cha familia moja ama mbili za chui,cheetah,lion,puma, crocodile, leopard, eagle,ama huoni kuwa waliowao ndio wengi mno kuliko wanaokula mkuu wewe upo dunia gani hebu fungua ubongo Basi uione dunia.

Hata matajiri like mo watanzania ama masikini ndio wamlishao kwa kununua bidhaa zake,kufanya kazi viwandani mwake kwa ujira wa 3500 kwa siku mkuu,yaani unazlisha 100 unalipwa sh 1 ndio kanuni ya maisha.
Majuzi Marian girls wamechangisha watu hela ili boys ijengwe so wanazidi kukamua watu hela na huku shule zao Zina Ada kubwa mno. Kumbuka mnajichanga Ila ukipelea Ada tu mwanao anarudishwa unajua kuwa watawa hawana utani kwenye shule zao ama hospital zao. Yaani wanakupa neno wao kwako wanachukua kitu tangible mkuu wewe unapewa intangible.yaani dunia watu wapo like kondoo yaani wanaliwa sema hawajijui ,Mara unatunziwa pension mbona Hawa wabunge hawatunziwi sema masikini wenye payroll zao ndio watunziwao pensions na yenyewe unapewa kidogo kdogo Kama serikali yako inakupenda si ingejenga nyumba ama biashara fulani sawa na hela zako za pension biashara inakuwa wewe unafanya kazi unakuja kumaliza umeshalipa hela pension yako sawa na mtaji waliokupatia serikali.

Fekio ng'ombe shit
 

Everybody knows that. Kila mtu anajua what they get into wanapoingia kwenye hizo biashara ulizozitaja. Tatizo ni pale ambapo forex inatangaza jambo moja kumbe na yenyewe ni wale wale.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…