Uchaguzi 2020 Fr. Kitima: Uchaguzi wa 2020 ulikuwa na vifo vingi kuliko chaguzi nyingine zote

Kwani kasema uongo?
 
Hivi Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) linasubiri nini kumtimua Katibu Mkuu huyu kama lilivyofanya kwa Wilbroad Silaa. Kitima anapaswa kufutwa upadre aende akaoe na kufanya kazi za siasa huko chadema kwa homeboy wake Lissu.
 
Mnajifanya hamna akili au mnafikiri wote hawana akili kama nyie, mnaharibu nchi wapuuzi kama wewe
 
Alete evidence kuwa tulikuwa na vifo vingapi na chaguzi nyingine zilikuwa na vifo vingapi.
 
Weka clip inayonekana akisifia, siku zote niliona akipinga jpm
 
Hivi Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) linasubiri nini kumtimua Katibu Mkuu huyu kama lilivyofanya kwa Wilbroad Silaa. Kitima anapaswa kufutwa upadre aende akaoe na kufanya kazi za siasa huko chadema kwa homeboy wake Lissu.
Yaan afukuzwe kwa vile kasema ukweli, siku wakiitwa wenye akili nyingi usikose kwenda.
 
Askofu kama kiongozi wa kiroho alikuwa wapi kuyasema haya na kuyakemea wakati yakitokea zama zile zile mpaka asubiri sasa... Hizi ni dalili za unafiki kwa kiongozi wa kiroho.
 
Labda amebaini ya kuwa alikengeuka, si vibaya mtu kujirudi na kufuata njia iliyo sahihi.
 
Nakwambia huyu Kitima ni mnafiki na Mpumbavu huyo Mnayatru mwenzake Lisu alidhani anaweza kuwa Rais! Hawa viongozi wa dini wamejificha kwenye majoho akijivika ngozi za kondoo huku ndani yao mbwa mwitu! Hao watu waliouawa wako wapi? Wote tulikiwa humu jamii forum? Mikutano yote ya Lisu hapakuwa na fujo iliyopelekea watu kufariki! Hata kama mitandao ulikuwa inaminwa! Huyu Kitima alivyo mjinga hawezi kuzungumzia mauji ya watu nchini kwa sasa yalivo mengi na mfumuko wa bei unavyo unaathiri hata waumini wake badala yake kutwa nzima hasira na Magufuli kitu amabacho kinasukumwa na ukabila wake na upumbavu usio na tija! Magufuli kashakufa yeye anajiandaaje kwenda kujibu dhambi zake huko kwa Mungu akiwa ni pamoja na uzinzi na watoto wadogo wa chuo pale SAUT!
 
Hivi Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) linasubiri nini kumtimua Katibu Mkuu huyu kama lilivyofanya kwa Wilbroad Silaa. Kitima anapaswa kufutwa upadre aende akaoe na kufanya kazi za siasa huko chadema kwa homeboy wake Lissu.
Imekuchoma eenh?
 
Reactions: Qwy
Huna taarifa sahihi. U uvccm umepofusha akili zako.
 
Amesema uchaguzi wa 2020 umesababisha vifo vya watu wengi kuliko chaguzi nyingine zote zilizowahi kufanyika nchini Tanzania. Amevitaka vyama kusimamia ilani zao ili kuepuka fujo. Amesisitiza Upendo haki na amani.
Kwa hiyo ,ugaidi ulikuwepo? Mbona si muelewi Padri?
 
father anatafuta kiki au teuzi njaa mpaka kanisani na sijawasikia viongozi wa dini ya kiislamu wakimsema jpm
 
Zanzibar uko Karume alizamisha watu kwenye mashua wengine wakapigwa risasi na jeshi. Lakini watakwambia nchi hii hakujawai tokea mauaji kama kipindi cha Magufuli.

karume kauwa watu kama walivyokufa kosovo kauwa maelfu na maelfu ya watu. mpaka wazanzibar wengine wakakimbilia dubai kwa kupanda mashua wakapokelewa na mfalme wa dubai mzee makhtoom akawapa nyumba bure sehemu inaitwa rashidia dubai ipo karibu na airport mpaka leo wanaishi huko lakini hazungumzwi kabisa kwa sababu aliwauwa waislamu,hata mjukuu wake fatma karume hasemi yeye ni makufuli tuu. mkapa kauwa wapemba wangapi hazungumzwi kimyaa. makufuli kauwa umati wapi? tumefanya uchaguzi tundu lissu anazunguka kila sehemu na hakuna alieuwawa na jpm, mtazidi kumsema jpm lakini haitawasaidia
 
father kitima atakuja kusema mvumuko wa bei kupanda umeletwa na jpm
 
Kusema ukweli ni chuki? Au unatamani angeyasema unayo yapenda kiyasikia?, kwani unadhan 2020 ulikuwepo wewe peke yako tu tanzania na wengine hawakuwepo wala hawakuona kilicho tokea?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…