imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Kwahiyo Viongozi wetu wakiugua ni mpaka Raisi awasaidie ndio watibiwe?Ametumia lugha ya picha, kwamba misaada ya SSH imesaidia kumtibia baba yao. Mama apewe maua yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo Viongozi wetu wakiugua ni mpaka Raisi awasaidie ndio watibiwe?Ametumia lugha ya picha, kwamba misaada ya SSH imesaidia kumtibia baba yao. Mama apewe maua yake
Stahiki za mstaafu na aliyeacha kazi zikoje?Ilisemekana kuwa marehemu alikuwa tajiri sana. Pamoja na hayo ana stahili yake za kulipiwa tiba yeyote kama mtu aliyewahi kuwa Waziri Mkuu. Mataamshi haya yana weza kutafsiriwa kama alipewa upendeleo na Mheshimiwa Rais kitu ambacho ni vigumu kuamini kwa sababu kugharamiwa tiba na serikali ilikuwa ni haki yake. Labda kama kuna kitu sijaelewa.
Amandla...
Nitahudhuria mazishi."Ng'ombe zitaangushwa huko arusha kufuru".......
Kijan huyu wa mzee huwa hajui kuongea Wala kutoa hotuba Yuko na kauoga oga hv"Baba ni mpambanaji alipambana sana mpaka dakika ya mwisho lakini kwa yaliyotokea tunasema ni kazi ya Mungu na kama familia tulipokea kwa amani kabisa, tunasema acha baba apumzike"
"Lakini katika vita yake hii ya kupigania maisha yake lazima niseme kipekee naomba sana kutoa shukrani za familia kwa Rais Mama Samia Suluhu Hassan, niseme ukweli kutoka moyoni, kama isingekuwa mama Samia Suluhu Hassan baba yetu asingefika hata hiyo juzi, mama Samia amekuwa ni ndugu, amekuwa mzazi na mlezi wetu hatuna cha kumlipa" - Fredrick Edwad Lowassa, Mtoto wa Hayati Lowassa
"Baba ni mpambanaji alipambana sana mpaka dakika ya mwisho lakini kwa yaliyotokea tunasema ni kazi ya Mungu na kama familia tulipokea kwa amani kabisa, tunasema acha baba apumzike"
"Lakini katika vita yake hii ya kupigania maisha yake lazima niseme kipekee naomba sana kutoa shukrani za familia kwa Rais Mama Samia Suluhu Hassan, niseme ukweli kutoka moyoni, kama isingekuwa mama Samia Suluhu Hassan baba yetu asingefika hata hiyo juzi, mama Samia amekuwa ni ndugu, amekuwa mzazi na mlezi wetu hatuna cha kumlipa" - Fredrick Edwad Lowassa, Mtoto wa Hayati Lowassa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kbsaa yaani cdm wamechukizwa na speach hiiChadema watakuja kumponda huyo mtoto...na kutukana...wao walitaka kusikia lawama zinaenda Ccm na ikiwezekana Kwa Rais Samia
Lzm ameletewa Grand kaipiga ndio anakuja kwenye publicHuyu kijana kaamkia bar leo au kupitia kuongea?
Kwa hiyo ukiwa na figo mbovu nkakutolea yangu .ukisema nimekuongezea uhai umemkufuru mungu?Haya mtasema yote, Mungu mmemsahau ?
Hadi unaandika hivi katika post hii, bila shaka hata wewe umeshaona mapungufu kwenye comment ya Fredrick LowassaChadema watakuja kumponda huyo mtoto...na kutukana...wao walitaka kusikia lawama zinaenda Ccm na ikiwezekana Kwa Rais Samia
Uwaziri ni haki yakeSasa umeanza kumwabudu mtu badala ya kumshukuru mungu.
Unautafutia uwaziri?
Alfu kuna mswada wa kuwatunza wake wa viongozi Hadi wanakufaStahiki za mstaafu na aliyeacha kazi zikoje?
Aliyewahi kuwa PM na PM mstaafu zinapaswa kuwa na maana mbili tofauti.
Nadhani sababu ya watu kutokuwa na uwajibikaji wa KUJIUZULU, ni kwasababu, nadhani unapaswa kukosa stahiki zako zote!
"Baba ni mpambanaji alipambana sana mpaka dakika ya mwisho lakini kwa yaliyotokea tunasema ni kazi ya Mungu na kama familia tulipokea kwa amani kabisa, tunasema acha baba apumzike"
"Lakini katika vita yake hii ya kupigania maisha yake lazima niseme kipekee naomba sana kutoa shukrani za familia kwa Rais Mama Samia Suluhu Hassan, niseme ukweli kutoka moyoni, kama isingekuwa mama Samia Suluhu Hassan baba yetu asingefika hata hiyo juzi, mama Samia amekuwa ni ndugu, amekuwa mzazi na mlezi wetu hatuna cha kumlipa" - Fredrick Edwad Lowassa, Mtoto wa Hayati Lowassa
Sawa JF legendPoleni Ndugu , Jamaa na Marafiki.
#Lowassaaa Mabadiliko ,mabadiliko lowassa.