Fredrick Lowassa: Kama sio Rais Samia, Baba asingefika juzi

Fredrick Lowassa: Kama sio Rais Samia, Baba asingefika juzi

Hao watoto wasiruhusiwe press yoyote kwa sasa, maana mpaka hapo wameonesha bado akili haijatulia!

Kawaida, Kwa Mungu kila kitu kimepangwa kwenye maisha yetu, sasa huwezi kusema eti Rais Aweza kurefusha uhai wa mtu ambao Mwanadamu amepewa na Mungu kama dhamana tu

Ni kufuru,

Wasiruhusiwe kuongelea chochote kumhusu baba yao
 
Ilisemekana kuwa marehemu alikuwa tajiri sana. Pamoja na hayo ana stahili yake za kulipiwa tiba yeyote kama mtu aliyewahi kuwa Waziri Mkuu. Mataamshi haya yana weza kutafsiriwa kama alipewa upendeleo na Mheshimiwa Rais kitu ambacho ni vigumu kuamini kwa sababu kugharamiwa tiba na serikali ilikuwa ni haki yake. Labda kama kuna kitu sijaelewa.

Amandla...
Stahiki za mstaafu na aliyeacha kazi zikoje?

Aliyewahi kuwa PM na PM mstaafu zinapaswa kuwa na maana mbili tofauti.

Nadhani sababu ya watu kutokuwa na uwajibikaji wa KUJIUZULU, ni kwasababu, nadhani unapaswa kukosa stahiki zako zote!
 
"Baba ni mpambanaji alipambana sana mpaka dakika ya mwisho lakini kwa yaliyotokea tunasema ni kazi ya Mungu na kama familia tulipokea kwa amani kabisa, tunasema acha baba apumzike"

"Lakini katika vita yake hii ya kupigania maisha yake lazima niseme kipekee naomba sana kutoa shukrani za familia kwa Rais Mama Samia Suluhu Hassan, niseme ukweli kutoka moyoni, kama isingekuwa mama Samia Suluhu Hassan baba yetu asingefika hata hiyo juzi, mama Samia amekuwa ni ndugu, amekuwa mzazi na mlezi wetu hatuna cha kumlipa" - Fredrick Edwad Lowassa, Mtoto wa Hayati Lowassa
Kijan huyu wa mzee huwa hajui kuongea Wala kutoa hotuba Yuko na kauoga oga hv

Makonda kamekuja kwenye msiba akatoa dharau zake na hkn hatua amechukuwa

Leo ten bila chembe ya aibu anasema Kama siyo samia baba angefariiki siku nyingi hi Ni speech gani mbovu hvyo

Mm huwa simuelewi kbsaa Kbsa huyu bwna
 
[emoji173][emoji173][emoji173]
"Baba ni mpambanaji alipambana sana mpaka dakika ya mwisho lakini kwa yaliyotokea tunasema ni kazi ya Mungu na kama familia tulipokea kwa amani kabisa, tunasema acha baba apumzike"

"Lakini katika vita yake hii ya kupigania maisha yake lazima niseme kipekee naomba sana kutoa shukrani za familia kwa Rais Mama Samia Suluhu Hassan, niseme ukweli kutoka moyoni, kama isingekuwa mama Samia Suluhu Hassan baba yetu asingefika hata hiyo juzi, mama Samia amekuwa ni ndugu, amekuwa mzazi na mlezi wetu hatuna cha kumlipa" - Fredrick Edwad Lowassa, Mtoto wa Hayati Lowassa
FB_IMG_1707818163478.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Stahiki za mstaafu na aliyeacha kazi zikoje?

Aliyewahi kuwa PM na PM mstaafu zinapaswa kuwa na maana mbili tofauti.

Nadhani sababu ya watu kutokuwa na uwajibikaji wa KUJIUZULU, ni kwasababu, nadhani unapaswa kukosa stahiki zako zote!
Alfu kuna mswada wa kuwatunza wake wa viongozi Hadi wanakufa

Na imepitushwaa wake watakula maisha Hadi kabutinu na kuzikwa kitaifa pindi waitwavyo
 
"Baba ni mpambanaji alipambana sana mpaka dakika ya mwisho lakini kwa yaliyotokea tunasema ni kazi ya Mungu na kama familia tulipokea kwa amani kabisa, tunasema acha baba apumzike"

"Lakini katika vita yake hii ya kupigania maisha yake lazima niseme kipekee naomba sana kutoa shukrani za familia kwa Rais Mama Samia Suluhu Hassan, niseme ukweli kutoka moyoni, kama isingekuwa mama Samia Suluhu Hassan baba yetu asingefika hata hiyo juzi, mama Samia amekuwa ni ndugu, amekuwa mzazi na mlezi wetu hatuna cha kumlipa" - Fredrick Edwad Lowassa, Mtoto wa Hayati Lowassa

Siasa za kijinga za kuendekeza uchawa Hadi zinakera. Kwa sasa kihudhuria misiba ya wanaccm ni kwenda kusikiliza kinyaa tupu. Utasikia rais anatajwa kwa sifa za hadaa kabisa.
 
Back
Top Bottom