Daah sijui nini huwa kinatutokea Binadamu. Umekuwa na Uchawa wa kiwango cha chini sana siku hizi MkuuChadema watakuja kumponda huyo mtoto...na kutukana...wao walitaka kusikia lawama zinaenda Ccm na ikiwezekana Kwa Rais Samia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah sijui nini huwa kinatutokea Binadamu. Umekuwa na Uchawa wa kiwango cha chini sana siku hizi MkuuChadema watakuja kumponda huyo mtoto...na kutukana...wao walitaka kusikia lawama zinaenda Ccm na ikiwezekana Kwa Rais Samia
Hao watoto wasiruhusiwe press yoyote kwa sasa, maana mpaka hapo wameonesha bado akili haijatulia!
Kawaida, Kwa Mungu kila kitu kimepangwa kwenye maisha yetu, sasa huwezi kusema eti Rais Aweza kurefusha uhai wa mtu ambao Mwanadamu amepewa na Mungu kama dhamana tu
Ni kufuru,
Wasiruhusiwe kuongelea chochote kumhusu baba yao
Yawezekana ukanitolea yako na nikafa wakati wa operesheni ya kuniwekea. Au yawezekana nikawekewa figo yako ikaleta complications kuliko nilivyokuwa nayo yangu mbovu, nikafa siku chache baadaye. Sasa sijui utakuwa umeniongezea au umenipunguzia muda wa kuishiKwa hiyo ukiwa na figo mbovu nikakutolea yangu .ukisema nimekuonhezea uhai umemkufuru mungu
Chadema watakuja kumponda huyo mtoto...na kutukana...wao walitaka kusikia lawama zinaenda Ccm na ikiwezekana Kwa Rais Samia
Hii ni zaidi ya kufuru, kumpa mwanadamu mwenzako utukufu sawa na mwenyezi Mungu.
Chadema watakuja kumponda huyo mtoto...na kutukana...wao walitaka kusikia lawama zinaenda Ccm na ikiwezekana Kwa Rais Samia
Hakuna kiasi Cha pesa kinacho weza kurefusha uhaiDuh pesa inarefusha uhai,pesa pesaaa
Hayo ni mawazo yako potofu,mkipishana mawazo huko CCM lazima muitaje Chadema, una huko CCM nyie woooote mko programmed kufikiri kila kitu sawasawa nyie ni misukule? Chuki yako iliyopitiliza kwa Chadema imepunguza uwezo wako wa kufikiri, yaani umejishusha sana hapa jukwaani.Chadema watakuja kumponda huyo mtoto...na kutukana...wao walitaka kusikia lawama zinaenda Ccm na ikiwezekana Kwa Rais Samia
Mama anaupiga mwingi. Kila sehemu yenye changamoto yupo. Maskini wengi mnapenda kumtaja Mungu hata kwenye mambo yaliyo kwenye uwezo wa binadamu. Mungu alitupa akili tuzitumie kwahiyo tufanye wajibu wetu huku tukimwomba Mungu. Kama mnabisha nenda katoe
mashine ya oxygen kwa mgonjwa kisha subiri miujiza. Mama Samia alitimiza wajibu wake ndo maana Fred kashukuru.
HapanaMatajiri ndio huwa huwa wanaandamwa na maradhi zaidi kama Shinikizo la Damu Kisukari nk.
Siku hizi naona mnarefusha maisha ya binadamu mko vizuri. Mmechukua nafasi ya Mungu.Chadema watakuja kumponda huyo mtoto...na kutukana...wao walitaka kusikia lawama zinaenda Ccm na ikiwezekana Kwa Rais Samia
Speach = speech.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kbsaa yaani cdm wamechukizwa na speach hii
Chuki yake kwa Chadema hadi imemtoa akili kabisaSpeach = speech.
Hayo ni Maradhi yako kutokana na Life Style zaidi Tajiri hatembei kwa miguu anatembea kwa Motokari Tajiri anakula kula vyakula kama unavyojua Diet za Kiafrika mkaango mwingi.Hapana
Maskini wanaumwa hayo maradhi ila kutokana na umaskini wao wanawahi kufariki mfano maskini figo zikifeli lazima ufe tu sababu laki 2 za kila dialysis huwezi kuwa nazo na week unaweza fanya hadi mara tatu
Matajiri wana hela ndo maana wanapambana nayo kwa mda mrefu na hata kwenye dialysis wengi ni wale wenye fedha ndo wanaweza pambana na gharama za dialysis