Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati mnampa utukufu na umungu mtu fashisti Jiwe mlikuwa mnaona ni haki yenu.Hii ni zaidi ya kufuru, kumpa mwanadamu mwenzako utukufu sawa na mwenyezi Mungu.
Unyonge wao ni matatizo yao binafsi.Chadema watakuja kumponda huyo mtoto...na kutukana...wao walitaka kusikia lawama zinaenda Ccm na ikiwezekana Kwa Rais Samia
Kusifiwa Rais kunaumiza moyo wako?. Vipi kuhusu zile sifa anazopewa akiwa mbali kabisa na uwezo wako wa kupata habari?.Hao watoto wasiruhusiwe press yoyote kwa sasa, maana mpaka hapo wameonesha bado akili haijatulia!
Kawaida, Kwa Mungu kila kitu kimepangwa kwenye maisha yetu, sasa huwezi kusema eti Rais Aweza kurefusha uhai wa mtu ambao Mwanadamu amepewa na Mungu kama dhamana tu
Ni kufuru,
Wasiruhusiwe kuongelea chochote kumhusu baba yao
Kikubwa kutenda mema. Kujua baada ya kufa kuna maisha. Maisha ya kuhesabiwa dhambi na thawabu. Atakaefuzu ni yule muumini wa kweli. Jukumu langu na lako kumtafuta nani muumin wa kweli?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kbsaa yaani cdm wamechukizwa na speach hii
Kama hawa wahutu walivyogawana hela za plea bargaining na kwenda kuzificha China na MauritiusHivi nauliza kuna Mwanasiasa ambae alimzidi Marehemu kwa Moyo wa kutoa?
Lowassa hakuwa na mkono wa Birika sio hawa wa sasa ambao wao ni mwendo wa kwenda kuzificha CHINA halafu wanagawana wao kwa wao.
Wengi wanaoenda kuzika Monduli hawaendi Kivyama wala Kiitikadi wanaenda kumzikq Binadamu mwenzao.
Mungu wa mbinguni huwatumia Watu kuleta rehema na neema zakeNafasi ya Mungu hapo iko wapi?au kapewa Samia.
Misiba ya Wakristo hainaga lawama labda ingekuwa ya Waislamu ndio utasikia mara anayedaiwa na marehemu ajitokeze sasa ama atajuta mbele ya Allah 🐼Chadema watakuja kumponda huyo mtoto...na kutukana...wao walitaka kusikia lawama zinaenda Ccm na ikiwezekana Kwa Rais Samia
DIKTETA Mobutu Seseseko alianza kuabudiwa hivi hivi.Mungu wa mbinguni huwatumia Watu kuleta rehema na neema zake
Fred yuko Sahihi
Baki na tafsiri yako isiyo na ukweli wowote, na bahati mbaya kabisa nilishakataa utumwa wa kukubali kila lisemwaloMpaka ww chawa umeona huu ni uchawa uliovuka mipaka!
Wahutu nuksi hawa.Kama hawa wahutu walivyogawana hela za plea bargaining na kwenda kuzificha China na Mauritius View attachment 2902685View attachment 2902686View attachment 2902688View attachment 2902695
"Lakini katika vita yake hii ya kupigania maisha yake lazima niseme kipekee naomba sana kutoa shukrani za familia kwa Rais Mama Samia Suluhu Hassan, niseme ukweli kutoka moyoni, kama isingekuwa mama Samia Suluhu Hassan baba yetu asingefika hata hiyo juzi, mama Samia amekuwa ni ndugu, amekuwa mzazi na mlezi wetu hatuna cha kumlipa" - Fredrick Edwad Lowassa, Mtoto wa Hayati Lowassa
Unaelewa maana ya Ibada?DIKTETA Mobutu Seseseko alianza kuabudiwa hivi hivi.
Bwashee au hiyo Mbege uliyokunywa haijaiva vizuri.Unaelewa maana ya Ibada?
Amelaaniwa mtu yule amtumainiye mwanadamu huku akiwa amemwacha Mungu wa Mbinguni moyoni mwakeBwashee au hiyo Mbege uliyokunywa haijaiva vizuri.
Hii ni zaidi ya kufuru, kumpa mwanadamu mwenzako utukufu sawa na mwenyezi Mungu.
Huwezi pendezesha makundi yote,Samia ni mwema sana kwa matajiri/watu maarufu na wanasiasa lakini walio chini kabisa kila siku wanazidi kulia kwa hali mbaya na ugumu wa maisha.
Nilijua wewe upinde lazima uandike hivyo hapo hauoni kama Samia kapewa uungu?Chadema watakuja kumponda huyo mtoto...na kutukana...wao walitaka kusikia lawama zinaenda Ccm na ikiwezekana Kwa Rais Samia