Fredrick Lowassa: Kama sio Rais Samia, Baba asingefika juzi

Kusifiwa Rais kunaumiza moyo wako?. Vipi kuhusu zile sifa anazopewa akiwa mbali kabisa na uwezo wako wa kupata habari?.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kbsaa yaani cdm wamechukizwa na speach hii
Kikubwa kutenda mema. Kujua baada ya kufa kuna maisha. Maisha ya kuhesabiwa dhambi na thawabu. Atakaefuzu ni yule muumini wa kweli. Jukumu langu na lako kumtafuta nani muumin wa kweli?
 
Kama hawa wahutu walivyogawana hela za plea bargaining na kwenda kuzificha China na Mauritius
 
Mpaka ww chawa umeona huu ni uchawa uliovuka mipaka!
Baki na tafsiri yako isiyo na ukweli wowote, na bahati mbaya kabisa nilishakataa utumwa wa kukubali kila lisemwalo

Chadema wakikosea nawaponda, CCM siwapendi hata kuwaona, naamini katika fikra pevu na siyo kushikiwa akili mkuu
 

Waziri Mkuu Mstaafu anatunzwa na serikali hata baada ya kustaafu, mambo ya sijui asante mama n.k ni sifa zilizopitiliza...

Unless labda Fred anataka kusema wakati wa JPM mzee alibaniwa stahiki zake, na SSH kazirejesha zote...
 
Nadhani alipaswa kusema kuwa isingekuwa Mwenyezi Mungu kumtumia mama Samia then......,ila inawezekana tension za msiba na nini,tumemsamehe,yuko kwenye machungu ya kufiwa,ameshindwa kupangilia maneno vizuri.
 
Samia ni mwema sana kwa matajiri/watu maarufu na wanasiasa lakini walio chini kabisa kila siku wanazidi kulia kwa hali mbaya na ugumu wa maisha.
Huwezi pendezesha makundi yote,
aidha unahudumia matajiri wachache au masikini wengi, ulimwengu wote iko hivyo.

JK alipendwa zaidi na Matajiri, JPM alipendwa zaidi na masikini, Nyerere alijinasibisha zaidi na masikini. Marekani, Obama sera zake mf za OBAMACARE zililenga zaidi masikini au marginalized groups Marekani, Trump yeye alisimama zaidi na mabwenyenye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…