binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Akili kichwani!Mbowe kala PESA ya wanetu wa upande wapili now kacheza KAMA Pele hongera mbowe huna baya
Toa uchuro wako hapa.jamani mbowe wanguuuu dah hama apo chdm uje ccm
Mwamba kaila hela kisha kawaingiza chakike🤣Abduli katapeliwa na Wenje...
jina lake liandikwe kwa dhahabu, kaleta mabadiliko, kaonesha demokrasia ya kweliMr. Mbowe utakumbukwa vizazi na vizazi; umekubali kushindwa Katika sanduku la kura, wewe ni mwana-demokrasia wa kweli. Tundu unaingia, uongozi siyo mchezo, Mbowe kamaliza muda wake wa uongozi, sasa wewe ndiyo unakabidhiwa lungu. Usifanye utani kwenye maisha ya waTanzania au la tutakugeuka popote utapoteleza na kufanya mambo ambayo siyo msingi wa Chama na Taifa kwa ujumla. Visa Hapana, tujenge Chama na Nchi
Kuna kaukweli hapa ka mbaaliii. 😀😀😀Kawaingiza choo cha watoto mbogamboga Kala pesa zao
sema una imani nae...nilimpenda sana Lisu, lkn kwa uropokaji huo, sina hamu naye tena. Kwaheri chadema. Let me be free of these rubbish politicsNaamini mheshimiwa Lisu atatufikisha nchi ya ahadi.
Watanzania tuna imani nae sana.
😂😂😂😂 hapana wa ccm ndio waje CHADEMAHongereni chadema kwa kupata mwenyekiti mpya.
Na wale ambao mna hasira karibuni sana CCM.
Ni kambi ya Lisu? Kumjua mtu kwa namna/maana gani?Uzuri au ubaya ni kwamba, humjui Lissu wala Mbowe so huu ni mtizamo wako binafsi.
Mihemko au calculated decision, vyovyote vile wewe huna both moral authority and authenticity to justify that.
Wamelltaka lao, wamelipata. Chochote kitakachojiri, hawana wa kumlaumu, ni maamuzi yao
Nakubaliana na wewe, Lisu hana sifa za kuwa mkuu wa chama, muda utaongea tusubili mihemko ya uchaguzi iishe watu wataujuwa ukweli na watamkumbuka Mbowe.Sio kwa ubaya ila yeyote atakayekaa pale juu, kuna wa juu yake zaidi atakayemfanya kuchukiwa na hawa hawa wenye matumaini chanya kwa sasa!
Labda pengine wameona Mbowe anafaa kugombea uraisi ndo maana wamemtoa kwenye uenyekiti; kitu ambacho itakuwa ngumu kumnadi kwakuwa wajumbe wamemtema!
Vyovyote vile, mihemko ndo imemuweka Lisu madarakani, wazaramo wanasema sijui, zitendwa mbali, zirongwa mbali.
- Lisu alifaa kuwa MWENEZI, wangetafuta mtu wa kumbadili Mbowe ila sio Lisu.
Kwamba Chadema mlikuwa mnasubiria Lisu awe Mwenyekiti ndio itakuaje Sasa?
Wamepotea😂😂😂
Mbowe atabaki kuwa shujaa hakuna wakumbeza katika kuijenga chadema,sasa twende na Lisu kuijenga chadema bora zaidi na hatimaye kuiangusha ccm madarakaniWeraaa weraaaa safi sana Mbowe
Mmebaki na kejeli tu sasa🤣🤣🤣Kwamba nyumbu wa Chadomo mlikuwa mnasubiria Lisu awe Mwenyekiti ndio itakuaje Sasa?