Pre GE2025 Freeman Mbowe akubali kushindwa, awapongeza Lissu na Heche kwa ushindi

Pre GE2025 Freeman Mbowe akubali kushindwa, awapongeza Lissu na Heche kwa ushindi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
TL amefanya siasa ngumu sana, kumshinda mwenyekiti wako sio jambo la mchezo mchezo.

Binafsi nimemuona akitafuta kura Ikungi za ubunge 2010, ukimruhusu afanye siasa atakushinda tu hata kama umegawa rushwa kiasi gani. He’s always a go-getter, a doer!

Viva TL!
 
Mr. Mbowe utakumbukwa vizazi na vizazi; umekubali kushindwa Katika sanduku la kura, wewe ni mwana-demokrasia wa kweli. Tundu unaingia, uongozi siyo mchezo, Mbowe kamaliza muda wake wa uongozi, sasa wewe ndiyo unakabidhiwa lungu. Usifanye utani kwenye maisha ya waTanzania au la tutakugeuka popote utapoteleza na kufanya mambo ambayo siyo msingi wa Chama na Taifa kwa ujumla. Visa Hapana, tujenge Chama na Nchi
jina lake liandikwe kwa dhahabu, kaleta mabadiliko, kaonesha demokrasia ya kweli
 
Hongera sana Mbowe kwa kuonyesha ukomavu na utulivu katika siasa,, vp team yako ipo tayari kumuunga mkono Lisu!??
 
Naamini mheshimiwa Lisu atatufikisha nchi ya ahadi.
Watanzania tuna imani nae sana.
sema una imani nae...nilimpenda sana Lisu, lkn kwa uropokaji huo, sina hamu naye tena. Kwaheri chadema. Let me be free of these rubbish politics
 
Uzuri au ubaya ni kwamba, humjui Lissu wala Mbowe so huu ni mtizamo wako binafsi.
Mihemko au calculated decision, vyovyote vile wewe huna both moral authority and authenticity to justify that.
Wamelltaka lao, wamelipata. Chochote kitakachojiri, hawana wa kumlaumu, ni maamuzi yao
Ni kambi ya Lisu? Kumjua mtu kwa namna/maana gani?

Umehemkwa pia!
 
Sio kwa ubaya ila yeyote atakayekaa pale juu, kuna wa juu yake zaidi atakayemfanya kuchukiwa na hawa hawa wenye matumaini chanya kwa sasa!

Labda pengine wameona Mbowe anafaa kugombea uraisi ndo maana wamemtoa kwenye uenyekiti; kitu ambacho itakuwa ngumu kumnadi kwakuwa wajumbe wamemtema!

Vyovyote vile, mihemko ndo imemuweka Lisu madarakani, wazaramo wanasema sijui, zitendwa mbali, zirongwa mbali.
- Lisu alifaa kuwa MWENEZI, wangetafuta mtu wa kumbadili Mbowe ila sio Lisu.
Nakubaliana na wewe, Lisu hana sifa za kuwa mkuu wa chama, muda utaongea tusubili mihemko ya uchaguzi iishe watu wataujuwa ukweli na watamkumbuka Mbowe.
 
Back
Top Bottom