binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
TL amefanya siasa ngumu sana, kumshinda mwenyekiti wako sio jambo la mchezo mchezo.
Binafsi nimemuona akitafuta kura Ikungi za ubunge 2010, ukimruhusu afanye siasa atakushinda tu hata kama umegawa rushwa kiasi gani. He’s always a go-getter, a doer!
Viva TL!
Binafsi nimemuona akitafuta kura Ikungi za ubunge 2010, ukimruhusu afanye siasa atakushinda tu hata kama umegawa rushwa kiasi gani. He’s always a go-getter, a doer!
Viva TL!