Pre GE2025 Freeman Mbowe akubali kushindwa, awapongeza Lissu na Heche kwa ushindi

Pre GE2025 Freeman Mbowe akubali kushindwa, awapongeza Lissu na Heche kwa ushindi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wakuu, huu uchaguzi wa
chadema unatia shaka sana , kulikuwa na haraka gani ya Mbowe kutangaza kushindwa hata kabla ya msimamizi wa uchaguzi kutangaza matokeo? Na ukichunguza kwa makini ile tweet yake ni kama iliandaliwa mapema glisubiri muda ufike apress button, ni wazi huu uchaguzi ulikuwa feki na wa kupangwa, nawashauri takukuru wachunguze kwa makini hawa matapeli wa kisiasa
Angalia mshamba wewe!!!!!!!!!!!! Bumpkin, uneducated, ugly, uncivilized, ----------------- una wivu hadi wewe mwenyewe hujipendi!!!!!!!!!!!!! Kama wewe mwenyewe hujipendi nani atakupenda ----------------asshole--------

Tafute jengo refu ujirushe upotee kabisa - - sumu nyie
 
Wakuu, huu uchaguzi wa
chadema unatia shaka sana , kulikuwa na haraka gani ya Mbowe kutangaza kushindwa hata kabla ya msimamizi wa uchaguzi kutangaza matokeo? Na ukichunguza kwa makini ile tweet yake ni kama iliandaliwa mapema glisubiri muda ufike apress button, ni wazi huu uchaguzi ulikuwa feki na wa kupangwa, nawashauri takukuru wachunguze kwa makini hawa matapeli wa kisiasa
Wakala wake anajua matokeo hata kabla hayaja tangazwa so ana mpa taarifa kuwa oya hatuja toboa mapema anakua aware so kama.hajaridhika ata kataa au ata leta za kccm
 
Wakuu, huu uchaguzi wa
chadema unatia shaka sana , kulikuwa na haraka gani ya Mbowe kutangaza kushindwa hata kabla ya msimamizi wa uchaguzi kutangaza matokeo? Na ukichunguza kwa makini ile tweet yake ni kama iliandaliwa mapema glisubiri muda ufike apress button, ni wazi huu uchaguzi ulikuwa feki na wa kupangwa, nawashauri takukuru wachunguze kwa makini hawa matapeli wa kisiasa
Kumekuchaaaa!
 
Kwani mnakosaga na kusema? Mshazoleka na very predictable akili zenu, ndo mana mama yenu anawageuza tu kama chapati
 
Wakuu, huu uchaguzi wa
chadema unatia shaka sana , kulikuwa na haraka gani ya Mbowe kutangaza kushindwa hata kabla ya msimamizi wa uchaguzi kutangaza matokeo? Na ukichunguza kwa makini ile tweet yake ni kama iliandaliwa mapema glisubiri muda ufike apress button, ni wazi huu uchaguzi ulikuwa feki na wa kupangwa, nawashauri takukuru wachunguze kwa makini hawa matapeli wa kisiasa
Sasa si alishajua ameshindwa, si alikua na mawakara., acha kamdomo
 
Wakuu, huu uchaguzi wa
chadema unatia shaka sana , kulikuwa na haraka gani ya Mbowe kutangaza kushindwa hata kabla ya msimamizi wa uchaguzi kutangaza matokeo? Na ukichunguza kwa makini ile tweet yake ni kama iliandaliwa mapema glisubiri muda ufike apress button, ni wazi huu uchaguzi ulikuwa feki na wa kupangwa, nawashauri takukuru wachunguze kwa makini hawa matapeli wa kisiasa
Kwani matokeo si ya aina mbili kwake: kushinda au kushindwa. Sasa kama alitarajia moja kati ya hayo, je dhambi kufanya maandalizi? Labda, wakala wake alimtonya kabla ya kutangazwa hayo matokeo.

Ukizoea mtindo wa 'KIJANI", hauamini utaratibu wa haki ulio "MWEUPE."
 
Back
Top Bottom