Freesociety
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 984
- 926
Mwiteni Lucas Mwashambwa. Anauzungumziaje uchaguzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uliombwa uhame???🤔🤔🤣🤣🤣Hata kama Lissu Kashinda CHAUMMA sihami...
Angalia mshamba wewe!!!!!!!!!!!! Bumpkin, uneducated, ugly, uncivilized, ----------------- una wivu hadi wewe mwenyewe hujipendi!!!!!!!!!!!!! Kama wewe mwenyewe hujipendi nani atakupenda ----------------asshole--------Wakuu, huu uchaguzi wa
chadema unatia shaka sana , kulikuwa na haraka gani ya Mbowe kutangaza kushindwa hata kabla ya msimamizi wa uchaguzi kutangaza matokeo? Na ukichunguza kwa makini ile tweet yake ni kama iliandaliwa mapema glisubiri muda ufike apress button, ni wazi huu uchaguzi ulikuwa feki na wa kupangwa, nawashauri takukuru wachunguze kwa makini hawa matapeli wa kisiasa
Wakala wake anajua matokeo hata kabla hayaja tangazwa so ana mpa taarifa kuwa oya hatuja toboa mapema anakua aware so kama.hajaridhika ata kataa au ata leta za kccmWakuu, huu uchaguzi wa
chadema unatia shaka sana , kulikuwa na haraka gani ya Mbowe kutangaza kushindwa hata kabla ya msimamizi wa uchaguzi kutangaza matokeo? Na ukichunguza kwa makini ile tweet yake ni kama iliandaliwa mapema glisubiri muda ufike apress button, ni wazi huu uchaguzi ulikuwa feki na wa kupangwa, nawashauri takukuru wachunguze kwa makini hawa matapeli wa kisiasa
Kumekuchaaaa!Wakuu, huu uchaguzi wa
chadema unatia shaka sana , kulikuwa na haraka gani ya Mbowe kutangaza kushindwa hata kabla ya msimamizi wa uchaguzi kutangaza matokeo? Na ukichunguza kwa makini ile tweet yake ni kama iliandaliwa mapema glisubiri muda ufike apress button, ni wazi huu uchaguzi ulikuwa feki na wa kupangwa, nawashauri takukuru wachunguze kwa makini hawa matapeli wa kisiasa
Lemma Yuko serious Sana na kazi...
Kweli mkuu,Ukiwa na MBOJI, na SAMADI upstairs, ni hatari sana 🤔🤔🤔🤔
Hongereni Sana chadema, hongera Sana lissuuu.Sasa ni mchakamchaka tuuuKukichwa kutapambazuka.. Hatimaye mwanga mpya umeonekana
Mwanzo mpya ndio huuView attachment 3209718
Inaniuma sana bilionea mbowe kushindwa na mbangaizaji lisuSasa unalia nini?
Sasa si alishajua ameshindwa, si alikua na mawakara., acha kamdomoWakuu, huu uchaguzi wa
chadema unatia shaka sana , kulikuwa na haraka gani ya Mbowe kutangaza kushindwa hata kabla ya msimamizi wa uchaguzi kutangaza matokeo? Na ukichunguza kwa makini ile tweet yake ni kama iliandaliwa mapema glisubiri muda ufike apress button, ni wazi huu uchaguzi ulikuwa feki na wa kupangwa, nawashauri takukuru wachunguze kwa makini hawa matapeli wa kisiasa
Mkuu kwan kashinda kwa kura ngapi kati ya hizo 900+Kukichwa kutapambazuka.. Hatimaye mwanga mpya umeonekana
Mwanzo mpya ndio huuView attachment 3209718
uharaka wa kukubali kushindwa wa nini? Si angesubiri mpaka ashauriane na team yake?Sasa si alishajua ameshindwa, si alikua na mawakara., acha kamdomo
Kwani matokeo si ya aina mbili kwake: kushinda au kushindwa. Sasa kama alitarajia moja kati ya hayo, je dhambi kufanya maandalizi? Labda, wakala wake alimtonya kabla ya kutangazwa hayo matokeo.Wakuu, huu uchaguzi wa
chadema unatia shaka sana , kulikuwa na haraka gani ya Mbowe kutangaza kushindwa hata kabla ya msimamizi wa uchaguzi kutangaza matokeo? Na ukichunguza kwa makini ile tweet yake ni kama iliandaliwa mapema glisubiri muda ufike apress button, ni wazi huu uchaguzi ulikuwa feki na wa kupangwa, nawashauri takukuru wachunguze kwa makini hawa matapeli wa kisiasa