Freeman Mbowe atuhumiwa kwa Ugaidi na kupanga njama za Kuua Viongozi wa Serikali

Hivi huyu kachanganyikiwa eti tuendeleze mapambano. Kwanza hamsemi hii katiba ya sasa ina mapungufu gani. Je ni Tz wangapi wameisoma hii katiba. Hizi cheap politics tumechoka nazo nyie waroho wa madaraka
 
Kwa kazi hii aliyoianza Samia atakapoanza kutengwa kimataifa na kunyimwa misaada na nchi mbalimbali ataweza kuhimili vishindo vyake kama Magufuli alivyokuwa anafanya mambo yanapokuwa Magumu alikuwa anaingia mitaani na silaha za kivita kunyang'anya kodi kama jambazi? .
 

hahahahahaha, jumuiya ya kimataifa na nchi wafadhili...wale wenzenu wapo kwa ajili ya maslahi yao wakihakikishiwa maslahi yao wanaweza hata kumuweka Mbowe kwenye kundi la Alqaeda na kushirikiana na hao hao CCM.....waulizeni wenzenu Muslim brotherhood baada El sis kuahidi kuilinda Israel na maslahi ya USA....hahahahahahahaha huu ndio ninaouita utoto..

ushajiuliza kwanini Paka na M7 wanafia madarakani na hawaguswi?... JPM ni kwa vile tu naye alikuwa jeuri mpaka kwenye maslahi yao japo ilikuwa 50/50....eti jumuiya ya kimataifa komaeni kudai mnachohitaji....
 

Brother TL mapigwa risasi daylight pale Dom..akina Mbowe sio mara ya kwanza kukaa jela...hizi chaguzi miaka yote tunasema zinabakwa maana hata Lipumba alishawahi kushinda akaibiwa kura, Lyatonga NCCR pia, Dr Slaa pia, Mbowe, Lissu hawa wote walishashindaga uchaguzi, ushasikia kuna mtu kaenda ICC aka the hague au TZ kuwekewa vikwazo...
 
Tunasubiri kwa hamu kuona Mbowe akifunguliwa mashitaka ili nione alipanga kuua viongozi wepi wa serikali? Ili afaidike na nini? Aingie ikulu au? Wenzake sita wanaoshikiliwa gerezani ni kina nani?

Je, walishatimiza lengo lao la kuua baadhi ya hao viongozi wa serikali?

NB: Hizi ni tuhuma kubwa sana! Nadhani mara ya mwisho tuhuma kama hizi zilitokea wakati wa utawala wa Mwalimu Nyerere!
 
Kumbe mama ana roho mbaya kiasi hiki! Hivi hawa watu hawajui kuwa hapa tunapita, sote ni mchanga tu
 
Tunasubiri kwa hamu kuona Mbowe akifunguliwa mashitaka ili nione alipanga kuua viongozi wepi wa serikali? Ili afaidike na nini? Aingie ikulu au? Wenzake sita wanaoshikiliwa gerezani ni kina nani?...
Kisha ukishajua utafanya nini?
 
😭😭😭😭😭😭 Tanzania yangu inazidi kujipaka mavi kwenye uso wa dunia nani wa kuishauri??
 
Reactions: BAK
Mbowe akutwa na tuhuma za ugaidi za kuuwa viongozi wa serikali.

Wampeleke gereza la kisongo akakutane na Sabaya.

Itajulikana tu aliyemuuwa Magufuli

Ndiyo maana LISU alikuwa wa kwanza kusema Magufuli anaumwa na hatapona.
 
Rais ameapa kulinda Amani na utulivu wa nchi hii na endapo akitokea mtu au watu wanaleta au kutishia Amani ya nchi lazima wachukuliwe hatu za kisheria, haijalishi ni kiongozi wa kisiasa au kiongozi wa kidini...
Makosa yapi mtu kutekeleza haki yake ya katiba ndo iwe nongwa mfungeni mbona wakina Mandela wamekaa miaka 27 jela yeye sio wakwanza
 
Ata mimi nilijua kuwa Magu mgonjwa,aya nikamateni basi. Tusiwe wajinga,Magu kafa kwa ujinga wake msitafute pa kufutia aibu.

Toa ushahidi beyond reasonable doubt sio kuongea tu kama headless chicken
 
Yuko wapi Sasa huyo aliyechaguliwa?
 
Hawa viongozi wa serikali wanapotunga uongo wa kutisha kama huu wanalenga nini hasa?
 
na tunaomba Jeshi letu la polisi kwa kushirikiana wafanye uchunguzi wa kina na wa kitaalamu bila kufanya makosa wakamatwe wote amabao wapo ktk mtandao wa kuratibu na kupanga matukio ya kigaidi.wasibaki maana hao ni hatari sana kwa usalama wa Ncho yetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…