Alifuta futa kesi nyingi za kubambika za mtangulizi wake Biswalo, sasa tuone hapa na yeye atasimamia weledi au atakwenda tu na upepoHawa huwa wanaburuzwa tu , Mwakitalu alikuwapo hapohapo enzi za Mganga
Sawasawa kabisa. Tuone sasa kama kuna mwekezaji atakaye kuja kuweka pua yake kwenye nchi yenye magaidi kama Tanzania.Bila kupoteza Muda nimepenyezewa za chin chini kua Mbowe alijua kua tayari usalama umesha mtambua yeye ni nani na mipango yake hata kabla ya kongamano la Katiba kuanza ivyo akaona njia salama ya yeye kupata Utetezi ni siasa.
Ndio maana wakaanzisha kongamano la katiba ili akikamatwa wanaharaka na viongozi wa vyama pinzani waseme kuwa mbowe kakamatwa sababu ya kongamano la katiba kitu ambacho sio kwel sababu mbowe alikamatwa usiku kabla hata hajaingia kwenye mkutano wala kukutana na watu wake pia mbowe alijua kua anatafutwa na police na ndiomana aliondoka haraka kwenda mwanza sababu alitaka akamatiwe eneo lenye seke seke la siasa.
Pia tujiulize kwann chadema walijua magufuli atakufa na hato maliza muda wake?
Chadema na tundulisu walijuaje magufuli anaumwa na hatopona?
Kwanini miili ya watu iliokotwa sana coco na wala si pwan zingine.
Yote naiman kua mbowe ana majibu
ugaidi una maana pana zaidiHivi mnawajua magaidi ninyi au mnasema sema tu hapa JF?
Hujui uliandikalo ndugu.Hii movie kuhusu viongozi wa CHADEMA imeandaliwa kwa kiwango cha chini mno na inaabua maswali mengi kuliko majibu kuzidi hata ile ya kutekwa kwa MO.
Na kwakuwa jambo hili linaonekana kugusa hisia za watu wengi na kuvuka mipaka ya nchi huku shinikizo likiongezeka, sitashangaa wakati wiwote wakatafutwa watu wa kubebeshwa lawama na hao wanaweza kuwa ni Sirro na pengine hata Boss wa TISS
Inawezekana Mama asiwe na wazo la kubebesha mtu lawama kwa makosa yake, ila wanasiasa wenzake na ambao ni wakongwe ndani ya chama, wanaweza kumshauri afanye uamuzi wa kuwato watu mbuzi wa kafara ili kulinda image yake.
Tuhuma hizi ni nzito, nguvu kuzithibitisha na inaonekana walizi-underestimate huku dunia ikifuatilia hivyo ni lazima wajisafishe na katika kujisafusha huko, Sirro ndio anaeweza kuwa wa kwanza kubebeshwa zigo la lawama ma kuondolewa katika nafasi yake huku Boss wa TISS nae akikalia kuti kavu.
Tusubiri.
Kama Mbowe alihusika basi kazi ya kulifunga ni rahisi tu Mbona.Hawa jamaa kwa ujinga wao, wamefanya wananchi waanze kuamini upya kuwa Chuma aliuawa, Sasa watu mitaani wanataka majibu ni nani alihusika na kula njama hizo, Je wastaafu wanaotajwa walishirikiana na Mbowe kutekeleza hizo njama?
Wamefungua Pandora box wasiloweza kulifunga
sorry hizo taarifa za chini chini source yake ni ipi?Bila kupoteza Muda nimepenyezewa za chin chini kua Mbowe alijua kua tayari usalama umesha mtambua yeye ni nani na mipango yake hata kabla ya kongamano la Katiba kuanza ivyo akaona njia salama ya yeye kupata Utetezi ni siasa.
Ndio maana wakaanzisha kongamano la katiba ili akikamatwa wanaharaka na viongozi wa vyama pinzani waseme kuwa mbowe kakamatwa sababu ya kongamano la katiba kitu ambacho sio kwel sababu mbowe alikamatwa usiku kabla hata hajaingia kwenye mkutano wala kukutana na watu wake pia mbowe alijua kua anatafutwa na police na ndiomana aliondoka haraka kwenda mwanza sababu alitaka akamatiwe eneo lenye seke seke la siasa.
Pia tujiulize kwann chadema walijua magufuli atakufa na hato maliza muda wake?
Chadema na tundulisu walijuaje magufuli anaumwa na hatopona?
Kwanini miili ya watu iliokotwa sana coco na wala si pwan zingine.
Yote naiman kua mbowe ana majibu
Bila kupoteza Muda nimepenyezewa za chin chini kua Mbowe alijua kua tayari usalama umesha mtambua yeye ni nani na mipango yake hata kabla ya kongamano la Katiba kuanza ivyo akaona njia salama ya yeye kupata Utetezi ni siasa.
Ndio maana wakaanzisha kongamano la katiba ili akikamatwa wanaharaka na viongozi wa vyama pinzani waseme kuwa mbowe kakamatwa sababu ya kongamano la katiba kitu ambacho sio kwel sababu mbowe alikamatwa usiku kabla hata hajaingia kwenye mkutano wala kukutana na watu wake pia mbowe alijua kua anatafutwa na police na ndiomana aliondoka haraka kwenda mwanza sababu alitaka akamatiwe eneo lenye seke seke la siasa.
Pia tujiulize kwann chadema walijua magufuli atakufa na hato maliza muda wake?
Chadema na tundulisu walijuaje magufuli anaumwa na hatopona?
Kwanini miili ya watu iliokotwa sana coco na wala si pwan zingine.
Yote naiman kua mbowe ana majibu
Naona mnalazimisha watu wakubali kuwa mbowe ni gaidi.
Acheni ujinga nyie watu. Kama siasa safi zimewashinda, mnao uwezo wa kufuta mfumo wa vyama vingi kikabaki chama chenu
Na unajivunia na kuona sifa kuwa miaka zaidi ya sitini toka tupate uhuru mahabusu wanajisaidia haja kubwa kwenye ndoo na wanalala kwenye kunguni? Stupid as stupid does.Kwa hiyo Mbowe ananyea kwenye ndoo yenye kinyesi na kulala kwenye kunguni saivi ?
Sht postBila kupoteza Muda nimepenyezewa za chin chini kua Mbowe alijua kua tayari usalama umesha mtambua yeye ni nani na mipango yake hata kabla ya kongamano la Katiba kuanza ivyo akaona njia salama ya yeye kupata Utetezi ni siasa.
Ndio maana wakaanzisha kongamano la katiba ili akikamatwa wanaharaka na viongozi wa vyama pinzani waseme kuwa mbowe kakamatwa sababu ya kongamano la katiba kitu ambacho sio kwel sababu mbowe alikamatwa usiku kabla hata hajaingia kwenye mkutano wala kukutana na watu wake pia mbowe alijua kua anatafutwa na police na ndiomana aliondoka haraka kwenda mwanza sababu alitaka akamatiwe eneo lenye seke seke la siasa.
Pia tujiulize kwann chadema walijua magufuli atakufa na hato maliza muda wake?
Chadema na tundulisu walijuaje magufuli anaumwa na hatopona?
Kwanini miili ya watu iliokotwa sana coco na wala si pwan zingine.
Yote naiman kua mbowe ana majibu
Zote hizo ni ramli chonganishi ekiambatana na chuki na roho mbaya, kama ilivyo ada kwako na ili timu yenu ya kijani.Bila kupoteza Muda nimepenyezewa za chin chini kua Mbowe alijua kua tayari usalama umesha mtambua yeye ni nani na mipango yake hata kabla ya kongamano la Katiba kuanza ivyo akaona njia salama ya yeye kupata Utetezi ni siasa.
Ndio maana wakaanzisha kongamano la katiba ili akikamatwa wanaharaka na viongozi wa vyama pinzani waseme kuwa mbowe kakamatwa sababu ya kongamano la katiba kitu ambacho sio kwel sababu mbowe alikamatwa usiku kabla hata hajaingia kwenye mkutano wala kukutana na watu wake pia mbowe alijua kua anatafutwa na police na ndiomana aliondoka haraka kwenda mwanza sababu alitaka akamatiwe eneo lenye seke seke la siasa.
Pia tujiulize kwann chadema walijua magufuli atakufa na hato maliza muda wake?
Chadema na tundulisu walijuaje magufuli anaumwa na hatopona?
Kwanini miili ya watu iliokotwa sana coco na wala si pwan zingine.
Yote naiman kua mbowe ana majibu
Nawewe ulijuaje ameshambuliwa.Jibuni swali la msingi: Tundu Lisu alijuaje kuwa JPM anaumwa? Alijuaje kuwa amekufa? Maana alianza uchuro huo hata kabla hatujatangaziwa! Makamu mwenyekiti wa cdm akijua jambo si mwenyekiti anakuwa ameshajua pia? Watueleze walijuaje?? Ndiyo maana Tundu Lisu anamkazania mama amhakikishie usalama ndiyo arudi nchini! Arudi tu aunganishwe!!
Ebu muulizeni Mbowe kunguni bado wapo wengi Oysterbay Police?Na unajivunia na kuona sifa kuwa miaka zaidi ya sitini toka tupate uhuru mahabusu wanajisaidia haja kubwa kwenye ndoo na wanalala kwenye kunguni? Stupid as stupid does.
Amandla...
Yaaani kama Sirro na huyu diwani na mwanasheria mkuu wa serikali ndio vichwa vinavyotegemewa na rais katika usalama wake basi taifa la Tanzania liko hatarini kama mbuzi wa kufugwa aliyetupwa mbuga ya wanyama pori wala nyama.Hii movie kuhusu viongozi wa CHADEMA imeandaliwa kwa kiwango cha chini mno na inaabua maswali mengi kuliko majibu kuzidi hata ile ya kutekwa kwa MO.
Na kwakuwa jambo hili linaonekana kugusa hisia za watu wengi na kuvuka mipaka ya nchi huku shinikizo likiongezeka, sitashangaa wakati wiwote wakatafutwa watu wa kubebeshwa lawama na hao wanaweza kuwa ni Sirro na pengine hata Boss wa TISS
Inawezekana Mama asiwe na wazo la kubebesha mtu lawama kwa makosa yake, ila wanasiasa wenzake na ambao ni wakongwe ndani ya chama, wanaweza kumshauri afanye uamuzi wa kuwato watu mbuzi wa kafara ili kulinda image yake.
Tuhuma hizi ni nzito, ngumu kuzithibitisha na inaonekana walizi-underestimate huku dunia ikifuatilia, hivyo ni lazima wajisafishe na katika kujisafusha huko, Sirro ndio anaeweza kuwa wa kwanza kubebeshwa zigo la lawama kwa kuondolewa katika nafasi yake huku Boss wa TISS nae akikalia kuti kavu.
Tusubiri.
Kwa hiyo hofu ya madai ya Katiba mpya yamegeuzwa kuwa ugaidi,oneni aibu ,tena mwone aibu hata kujiita wazalendo,ila mkijiita wa Rundi nafuu.,kwani mlishapewa ruhusa kuhamimiako.Nawewe ulijuaje ameshambuliwa.