Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Wanangu nitawapa SUMU YA FIKRA kuwa wao Kama BINADAMU dhaifu WAPAMBANIE MATUMBO YAO kwa kazi za halali....Ndugu,
Unyonge huo, njaa inayodekezwa na woga WAKO ndio vinakufanya ushangilie udhalimu.
Katiba kuukuu iliyopo ni kwa ajili ya miungu watu na LABDA, tena kwa muda tu nyie vibaraka wao..
Unajuwa serikali ina vyanzo vingi vyakupata habari baadhi wanaweza wasiamini hayo yanayosemwa kuwa alipanga ugaidi lakini angesfanikisha kila mtu angebaki mdomowazi tuwaache polii wafanya kaqzi yao mpaka mwisho atakuja kujitetea atasema kama kweli siuo gaidi na akipewa vielelezo ndiyo mtaamini na kama hakuna ataachiwaBaada ya upekuzi wa Polisi kukamilika nyumbani Kwa M.Kiti Mbowe, tumepokea taarifa za kushtua na kushangaza kuwa Polisi wamemwambia kuwa ataunganishwa kwenye kesi ya Ugaidi na watuhumiwa walioko gereza mojawapo DSM. Tutaendelea kutoa taarifa za kina hapo baadaye...
Hii movie kuhusu viongozi wa CHADEMA imeandaliwa kwa kiwango cha chini mno na inaabua maswali mengi kuliko majibu kuzidi hata ile ya kutekwa kwa MO.
Na kwakuwa jambo hili linaonekana kugusa hisia za watu wengi na kuvuka mipaka ya nchi huku shinikizo likiongezeka, sitashangaa wakati wiwote wakatafutwa watu wa kubebeshwa lawama na hao wanaweza kuwa ni Sirro na pengine hata Boss wa TISS
Inawezekana Mama asiwe na wazo la kubebesha mtu lawama kwa makosa yake, ila wanasiasa wenzake na ambao ni wakongwe ndani ya chama, wanaweza kumshauri afanye uamuzi wa kuwato watu mbuzi wa kafara ili kulinda image yake.
Tuhuma hizi ni nzito, ngumu kuzithibitisha na inaonekana walizi-underestimate huku dunia ikifuatilia, hivyo ni lazima wajisafishe na katika kujisafusha huko, Sirro ndio anaeweza kuwa wa kwanza kubebeshwa zigo la lawama kwa kuondolewa katika nafasi yake huku Boss wa TISS nae akikalia kuti kavu.
Tusubiri.
Ndugu,Wanangu nitawapa SUMU YA FIKRA kuwa wao Kama BINADAMU dhaifu WAPAMBANIE MATUMBO YAO kwa kazi za halali....
Kamwe wasipambane na SERIKALI.....
Yuko wapi sasahivi huyo Jiwe au ule ulinzi wote ulishindwa kuzuia malaika mnyakua roho asimguse.Hakuna kiongozi yeyote makini anaetaka amani na utulivu akawavumilia chadema na huu ndo ukweli Chadema mnafanya siasa za kizamani sana mnafanya siasa zilizokuwa zinafanyika enzi za kupigania uhuru
JPM ndo aliwaweza vzr Gwanda zilikuwa night dress mnazivaa usk wkt wa kulala
Katiba mpya ya ndotoni mkuu....Ndugu,
Ninaamini kuwa ugonjwa huo unaowatesa waafrika wengi mpaka sasa, utatibika tu baada ya kupata katiba bora.
Hakuna atakaeweza kuizuia. AMEN.
ugaidi una maana pana zaidi
mi sidhani kama katiba mpya ni dawaya kuifanya nchi ikaishi kama iko peponi katiba mpya ni tamaatu ya madaraka kwa upande wampili yaani wapinzani ambao wanaamini kila uchaguzi wanaibiwa kura wanachowinda hapo ni tume huru ya uchaguzi tuNdugu,
Ninaamini kuwa ugonjwa huo unaowatesa waafrika wengi mpaka sasa, utatibika tu baada ya kupata katiba bora.
Hakuna atakaeweza kuizuia. AMEN.
Ule ulinzi wote ilikuwaje mtu kama Mbowe ahusike na kifo kirahisi hivyo? Wallah ukiwa ccm tu akili unakuwa umemwachia mtu wewe unabaki na fuvu tupu.Nikikwambia mama kapewa taarifa za inteligence kuhusu sakata lote na kapigwa na butwaa na kuacha polisi na vyombo vya uchunguzi vifanye kazi yake utabisha?
Tulieni kamanda na genge wachunguzwe, kama hawana hatia wataachiwa kama wana hatia na kama wanahusika na laifu la mpendwa wetu jpm, ni nora wakalae jela maisha maana mtaani tutatoboa macho yao na penseli zenye mcha kali.
Hao viongozi wastaafu hawangeweza kushirikiana na Mbowe maana wao walitoshaHawa jamaa kwa ujinga wao, wamefanya wananchi waanze kuamini upya kuwa Chuma aliuawa, Sasa watu mitaani wanataka majibu ni nani alihusika na kula njama hizo, Je wastaafu wanaotajwa walishirikiana na Mbowe kutekeleza hizo njama?
Wamefungua Pandora box wasiloweza kulifunga
Kwahio unataka asifiwe milele hata kama anafanya uozo?Juzi tu mlimsifia mama! Acheni chokochoko, ccm ni ile ile
Mkuu, sio tu haudhani, bali ni kwamba, katiba haitufanyi tuishi kama tu peponi na haileti maendeleomi sidhani kama katiba mpya ni dawaya kuifanya nchi ikaishi kama iko peponi katiba mpya ni tamaatu ya madaraka kwa upande wampili yaani wapinzani ambao wanaamini kila uchaguzi wanaibiwa kura wanachowinda hapo ni tume huru ya uchaguzi tu
Huo ndio ugaidi?Ccm ina watu wapumbavu sana.Lisu alikuwa anapewa na nani taarifa za kwamba Magufuli anaumwa na hatapona?
Bila shaka laptop za mbowe zilizokamatwa zimesema mengi kuhusu kundi la kigaidi.
Mkuu naona bado huamini kuwa mama anaupiga mwingi nje ya uwanjaHii movie kuhusu viongozi wa CHADEMA imeandaliwa kwa kiwango cha chini mno na inaabua maswali mengi kuliko majibu kuzidi hata ile ya kutekwa kwa MO.
Na kwakuwa jambo hili linaonekana kugusa hisia za watu wengi na kuvuka mipaka ya nchi huku shinikizo likiongezeka, sitashangaa wakati wiwote wakatafutwa watu wa kubebeshwa lawama na hao wanaweza kuwa ni Sirro na pengine hata Boss wa TISS
Inawezekana Mama asiwe na wazo la kubebesha mtu lawama kwa makosa yake, ila wanasiasa wenzake na ambao ni wakongwe ndani ya chama, wanaweza kumshauri afanye uamuzi wa kuwato watu mbuzi wa kafara ili kulinda image yake.
Tuhuma hizi ni nzito, ngumu kuzithibitisha na inaonekana walizi-underestimate huku dunia ikifuatilia, hivyo ni lazima wajisafishe na katika kujisafusha huko, Sirro ndio anaeweza kuwa wa kwanza kubebeshwa zigo la lawama kwa kuondolewa katika nafasi yake huku Boss wa TISS nae akikalia kuti kavu.
Tusubiri.