Freeman Mbowe atuhumiwa kwa Ugaidi na kupanga njama za Kuua Viongozi wa Serikali

Freeman Mbowe atuhumiwa kwa Ugaidi na kupanga njama za Kuua Viongozi wa Serikali

Taja mfumo UPI unataka ,watu 300 kwenye kongamano lakini watu 5000 ruksa waingie uwanjani kutazama mpira

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
Yanga na simba walijaa uwanjani na keshokutwa wanajazana tena uwanjani huko kigoma hilo Serikali ya CCM na Polisiccm hawaoni kama ni misongamano
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
kuna mahali mlikosea kulea hii tabia ya kigaidi ikashamiri.
tena walijipenyeza kila mahali bila kujua. wapo ndani ya mfumo wanawatumikia magaidi. Hakikisheni mnasafisha mnyororo wote wa kigaidi.
 
kuna mahali mlikosea kulea hii tabia ya kigaidi ikashamiri. Tena walijipenyeza kila mahali bila kujua. wapo ndani ya mfumo wanawatumikia magaidi. Hakikisheni mnasafisha mnyororo wote wa kigaidi.
 
Ina maana chairman hana ulinzi binafsi? Wanakuja kihuni huni tuu asee!! Pengine angekua mtu mwingine ambae nae akili yake kama yangu tungeongea mengine.
 
Wapuuzi hawaelewi hili. Huyu wa kudemka wiki chache tu kafuta kesi 148 za kubambikiwa na polisiccm. DPP na mahakama. Sasa kaamua kurudi kule kule kwa dhalimu mwendazake ili kuendeleza dhuluma na udhalimu.

Issue kama ya Mbowe ndiyo utaona umuhimu wa kuwa na Katiba Mpya ambayo haidharauliwi.

😭😭😭😭😭😭 Tanzania yangu inazidi kujipaka mavi kwenye uso wa dunia nani wa kuishauri??
 
Nilisema hapa kuwa the so called Mama ni takataka watu wakafikiri kuwa nina husda, the worst is yet to come.

Akimalizana na upinzani anageukia huko CCM, the same kama bwana Chato. Tena huyu atakuwa lethal kuliko bwana Chato.

Having a vagina is no proof that one cannot be a tyrant.
 
Jiwe kaidharau korona ikamfanyizia...wote tunajua mbona...
Wewe ni tahadhali gani ulichikuwa ukawa safe mambo mengine kaeni kimya mkiyasikia kifo cha bwana yule ni siri kubwa ! Zaidi ya kuambiwa alikuwa anatatizo la moyo huna mengine unabumbabumba!
 
na tunaomba Jeshi letu la polisi kwa kushirikiana wafanye uchunguzi wa kina na wa kitaalamu bila kufanya makosa wakamatwe wote amabao wapo ktk mtandao wa kuratibu na kupanga matukio ya kigaidi.wasibaki maana hao ni hatari sana kwa usalama wa Ncho yetu
Unaweza kukuta baba yako na mama yako wapo usisahau na anayekupumulia kisogoni nae akawepo
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Hawa Wajinga na police wao hawatafanikiwa kwenye hili
 
Mbowe akutwa na tuhuma za ugaidi za kuuwa viongozi wa serikali.

Wampeleke gereza la kisongo akakutane na Sabaya.

Itajulikana tu aliyemuuwa Magufuli na uki connect dot utaelewa Tundu Lisu alijuaje kama Magufuli anaumwa?
Ni haya makundi ya ugaidi ndiyo yalikuwa yanawapa taarifa.View attachment 1863503
Hawa polisi CCM wanatumika kwa mambo ya kijinga sn
 
Wapuuzi hawaelewi hili. Huyu wa kudemka wiki chache tu kafuta kesi 148 za kubambikiwa na polisiccm. DPP na mahakama. Sasa kaamua kurudi kule kule kwa dhalimu mwendazake ili kuendeleza dhuluma na udhalimu.
Issue kama ya Mbowe ndiyo utaona umuhimu wa kuwa na Katiba Mpya ambayo haidharauliwi.
Mda utafika tu siku binadamu akichoka ndio watakuja kujua kuwa binadamu sio vizuri kumchokoza
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Tanzania ina matatizo makubwa, katiba mpya ni muhimu kuliko chochote kile kwa sasa kurekebisha haya.

Itakuwa na gharama kubwa ila ni lazima kuna baadhi ya watu wataumia sana for the benefit (future) of this nation.

Vita hii si ndogo hata kidogo, wote walio msitari wa mbele kuwaogoza wananchi wajitoe kimwili na Kiroho.

CCM wanajua fika kwamba ujio wa katiba mpya ndiyo mwisho wa utawala wao - hawatakubali kirahisi.

Ni kazi kubwa na ngumu lakini ni LAZIMA ifanyike.
 
Back
Top Bottom