Freeman Mbowe atuhumiwa kwa Ugaidi na kupanga njama za Kuua Viongozi wa Serikali

Freeman Mbowe atuhumiwa kwa Ugaidi na kupanga njama za Kuua Viongozi wa Serikali

Upumbavu wao ni mtaji mkubwa sana kwa genge la wahuni wa maccm.

EcVI5W7WkAAlIpO.jpg


Mataga hawataki naelewa vitu vidogo hivi
 
Nani kakudanganya vyama vya upinzani ni CHADEMA? mnajiita chama kikuu cha upinzani na hamna hata wabunge, chama cha upinzani kinacholazimisha vurugu ambazo wananchi hawaziungi mkono wafadhili gani hao wataokisikiliza? kama JPM licha ya kuwakalia kooni na kuingilia maslahi yao hao mabeberu bado akihitaji mkopo walimpa sembuse huyu mama alowalegezea?
WEWE JAMAA NI SHETANI ,NA UNA UMALAYA WA KISIASA NDANI MWAKO
 
Failed assassination ya mlinzi wa JPM, maana tundu lissu alitoa info in advance kwamba naye kavuta kumbe jamaa yupo mzima, hakunasa kwenye mtego.

IMG-20210722-WA0113.jpg


IMG-20210722-WA0114.jpg
 
Mbowe akutwa na tuhuma za ugaidi za kuuwa viongozi wa serikali.

Wampeleke gereza la kisongo akakutane na Sabaya.

Itajulikana tu aliyemuuwa Magufuli na uki connect dot utaelewa Tundu Lisu alijuaje kama Magufuli anaumwa?
Ni haya makundi ya ugaidi ndiyo yalikuwa yanawapa taarifa.View attachment 1863503
Unataka useme Magufuli aliuawa na Mbowe?
 
Inazimwa issue ya tozo na itazimika kweli very soon maana hawataki kuiondoa bora walete hizi mambo watu wadeal na matatizo mengine.
 
Yaani mama kaingia kingi kirahisi sana. Washauri wake wamemuingiza gizani na kumwashia mshumaa anadhani ni mchana. Alisema hachezi ngoma za mitandaoni sasa anacheza live band.

Yaani hili ndio Chadema walikua wanalitafuta hasa. Sasa hivi kila media ni Chadema Chadema. Wanazuia mkutano wa locality moja wanaachia mkutano wa dunia nzima. Ni mwendawazimu tu ndio anaweza kufikiri kuwa Mbowe na watu wake hawakujua kuwa wataishia kukamatwa.
 
Ukweli daima unauma..ingia mtaani tuone.
HATUWEZI KUINGIA MTAANI MAANA ,WEWE NI KAMA MUNGU HUTOKUFA KAMWE WALA KUUGUA KWA KUA UHAI WETU UMEUSHIKIRIA WEWE.NAMI KAMA MTUMISHI WA MUNGU NINA TANGAZA LAANA JUU YA FAMILIA YAKO NA UKOO WAKO KWA ROHO HII YA KISHETAN
 
HATUWEZI KUINGIA MTAANI MAANA ,WEWE NI KAMA MUNGU HUTOKUFA KAMWE WALA KUUGUA KWA KUA UHAI WETU UMEUSHIKIRIA WEWE.NAMI KAMA MTUMISHI WA MUNGU NINA TANGAZA LAANA JUU YA FAMILIA YAKO NA UKOO WAKO KWA ROHO HII YA KISHETAN
Mungu hana mtumishi mwendawazimu, Mungu kaagiza mzitii mamlaka zilizopo maana hakuna mamlaka isotoka kwake, nani mtumishi wa Mungu kati yangu mie nilolishika na kulifuata agizo lake na msu.kule ka wewe usoelewa hata nini unafanya?..[emoji57]
 
It seems the incumbent president is not the one in control of the situation in this country and it is apparent that there are hidden forces behind her who are pulling the strings.

It's very easy to believe that these acts of violence against the innocent members of the opposition is what definitely prompted the untimely demise of the departed president.

But surprisingly, the incumbent president has failed to learn from this and she is perpetuating the same vices as her predecessor. I don't think if this will help her achieve anything worth mentioning. Let us wait and see.
 
Nchi ilikuwa imeanza kwenda vizuri lakini wajinga wachache kwa masilahi yao badala ya masilahi ya kitaifa wameamua kumshauri mama afanye udikiteta wapate kutimiza lengo lao, mama kuwa makini na washauri wako maana sasa wanaenda kukuharibia sifa zako zote
subirini kwanza,mlikuwa mnavutiwapumzi,mlimchukulia poa sio,hapa Sasa naanza kumuelewa haiwezekani mtu mmoja aanze kuleta tahaluki nchini,mnamchukulia poa Sana.

Hata Kama mtamuita dikteta haiondoi ukweli halisi kuwa wananchi wanaitaka tz ya kuheshimiana na uzalendo.bigup Sana mama,lazima nchi iendelee kukaa kwenye mstari Kama mwanzo.
 
Kuna mzee mmoja nimekutana naye.. yaani ni CCM damu.

Huwa anafurahi sana viongozi au wafuasi wa Chadema wakikamatwa au kufungwa.. Kiufupi hapendi mfumo wa vyama vingi..
Ila leo mwenyewe kasema Polisi wamezidisha chumvi.

Kesi hii ya ugaidi na mauaji ya viongozi italeta vichekesho pale wale watuhumiwa waliopo gerezani kama hawafahamiani na Mbowe au hawajawahi kukutana na Mbowe kabla.

Kesi za kutengeneza wakati mwingine ni ngumu.. Kesi ikifika katikati mnagundua mlisahau kuweka mazingira flani vizuri.. Mnaomba iondolewe kisha mtuhumiwa anadakwa tena.. Mnaweza mkajikuta mnaifuta na kuifungua kesi mara 5
 
Back
Top Bottom