Freeman Mbowe atuhumiwa kwa Ugaidi na kupanga njama za Kuua Viongozi wa Serikali

Freeman Mbowe atuhumiwa kwa Ugaidi na kupanga njama za Kuua Viongozi wa Serikali

Hii movie kuhusu viongozi wa CHADEMA imeandaliwa kwa kiwango cha chini mno na inaabua maswali mengi kuliko majibu kuzidi hata ile ya kutekwa kwa MO.

Na kwakuwa jambo hili linaonekana kugusa hisia za watu wengi na kuvuka mipaka ya nchi huku shinikizo likiongezeka, sitashangaa wakati wiwote wakatafutwa watu wa kubebeshwa lawama na hao wanaweza kuwa ni Sirro na pengine hata Boss wa TISS

Inawezekana Mama asiwe na wazo la kubebesha mtu lawama kwa makosa yake, ila wanasiasa wenzake na ambao ni wakongwe ndani ya chama, wanaweza kumshauri afanye uamuzi wa kuwato watu mbuzi wa kafara ili kulinda image yake.

Tuhuma hizi ni nzito, ngumu kuzithibitisha na inaonekana walizi-underestimate huku dunia ikifuatilia, hivyo ni lazima wajisafishe na katika kujisafusha huko, Sirro ndio anaeweza kuwa wa kwanza kubebeshwa zigo la lawama kwa kuondolewa katika nafasi yake huku Boss wa TISS nae akikalia kuti kavu.

Tusubiri.
 
Lisu alikuwa anapewa na nani taarifa za kwamba Magufuli anaumwa na hatapona?

Bila shaka laptop za mbowe zilizokamatwa zimesema mengi kuhusu kundi la kigaidi.
 
Yuko mbele za HAKI...

Hata mimi nitakwenda....
Hata wewe utakwenda....

KIFO SI ADHABU.....

Kwa kuwa kifo kipo ,basi hakizuii KUILINDA NCHI kiusalama,kiutulivu na amani yake.....

#PundaAfeMzigoUfike
#MzigoNiUtulivuWaNchi
Unageuzwa wewe
 
Yuko mbele za HAKI...

Hata mimi nitakwenda....
Hata wewe utakwenda....

KIFO SI ADHABU.....

Kwa kuwa kifo kipo ,basi hakizuii KUILINDA NCHI kiusalama,kiutulivu na amani yake.....

#PundaAfeMzigoUfike
#MzigoNiUtulivuWaNchi
Ukifa ukiwa hujatimiza kusudio lako la kuishi hapa duniani hiyo na adhabu.

Watumishi wote wa Mungu walitimiza makusidio yao ndio wakafa kwa amani.

Musa alifia jangwani baada ya kumkosea Mungu, Jiwe naye alikufa kabla ya muda baada ya kufanya machukizo kwa Mungu
 
Uchaa ujinga wewe bwna, tunataka evidence sio maneno tuu hayo, minyoo Hadi kichwan duuh
Sasa Magufuli alipowaambia Majaliwa,ndugai,kabudi nk.kwamba hawakushinda kihalali kwenye uchaguzi mkuu 2020 unadhani alikuwa na maana gani? 🤣 🤣 🤣
 
Pia tundu lisu a
Mbowe akutwa na tuhuma za ugaidi za kuuwa viongozi wa serikali.

Wampeleke gereza la kisongo akakutane na Sabaya.

Itajulikana tu aliyemuuwa Magufuli na uki connect dot utaelewa Tundu Lisu alijuaje kama Magufuli anaumwa?
Ni haya makundi ya ugaidi ndiyo yalikuwa yanawapa taarifa.View attachment 1863503
Pia tundu lisu akajua kuwa magu hatapona, nikwa nini alikua na huo uhakika?
Wote ni magaidi tu.
 
Lisu alikuwa anapewa na nani taarifa za kwamba Magufuli anaumwa na hatapona?

Bila shaka laptop za mbowe zilizokamatwa zimesema mengi kuhusu kundi la kigaidi.
 
Back
Top Bottom