Freeman Mbowe atuhumiwa kwa Ugaidi na kupanga njama za Kuua Viongozi wa Serikali

Freeman Mbowe atuhumiwa kwa Ugaidi na kupanga njama za Kuua Viongozi wa Serikali

samia afanye udikteta tu lakini mashirika ya Kimataifa na Nchi za wafadhili zikiamua kutotoa mikopo na misaada kutokana na nchi kukosa demokrasi hapo ndiyo Watanzania watatia akili kichwani kwani ugumu wa maisha utaongezeka mara tatu ya ilivyo sasa na Serikali itakuwa haina jinsi bali kupitisha fagio la chuma Serikalini litakalosomba Wafanyakazi wengi sana.
waanze na chanjo
 
Baada ya upekuzi wa Polisi kukamilika nyumbani Kwa M.Kiti Mbowe, tumepokea taarifa za kushtua na kushangaza kuwa Polisi wamemwambia kuwa ataunganishwa kwenye kesi ya Ugaidi na watuhumiwa walioko gereza mojawapo DSM. Tutaendelea kutoa taarifa za kina hapo baadaye.

View attachment 1862953

====

UPDATES;

=====

TAARIFA KWA UMMA

JESHI LA POLISI LAMTUHUMU MWENYEKITI WA CHAMA
MHE.FREEMAN MBOWE NA "MAKOSA YA UGAIDI"

Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. Freeman Mbowe alifikishwa Dar es Salaam jana majira ya saa tatu usiku chini ya ulinzi wa Polisi , walimpeleka nyumbani kwake Mikocheni Kwa ajili ya kumfanyia upekuzi ambao ulichukua takribani saa mbili na nusu.

Baada ya upekuzi huo Polisi waliondoka na Kompyuta mpakato (Laptop) na Vishikwambi (tablets) za watoto wake, Kompyuta mpakato moja ya kwake na modem ya Internet Kwa ajili ya uchunguzi wao.

Leo majira ya saa Saba mchana Polisi walimfikisha Mhe. Freeman Mbowe Kituo Kikuu cha Polisi Dar es Salaam kwa ajili ya mahojiano na kuchukua maelezo yake.

Polisi walitaka maelezo kutoka Kwa Mhe. Freeman Mbowe kuhusiana na kosa waliloliita 'KULA NJAMA ZA KUTENDA KOSA LA UGAIDI'

Baada ya maelezo hayo ya Polisi Mhe. Freeman Mbowe alitumia haki yake ya kisheria na aliamua kutokutoa maelezo yoyote Polisi kwa mujibu wa Sheria. Baada ya maelezo hayo Polisi wamemrejesha Mhe. Freeman Mbowe katika Kituo cha Polisi cha Oysterbay ,Jijini Dar es Salaam.

Aidha , viongozi wengine waliokuwa wanashikiliwa Mkoani Mwanza wameendelea kushikiliwa na Jeshi la Polisi na baadhi yao walifanyiwa upekuzi nyumbani kwao na vyumba vya hotel ambako walikuwa wameshukia .

Waraka wa Mbowe kwa Watanzania
Mwenyekiti Taifa Mhe. Freeman Mbowe ametuma waraka kwa Watanzania kama ifuatavyo;
"Hatimaye madai ya Katiba Mpya yamenisababishia kesi ya ugaidi, nipo tayari kwa mashtaka ya kuchongwa siogopi. Ninaamini Dunia itaujua ukweli wa kile kinachoendelea Tanzania na kile tunachokipitia Watanzania. Lakini pia itajua ukweli juu ya makosa haya ya kuchongwa.

Natoa wito kwa watanzania kuendeleza mapambano, haki hutafutwa” Mhe.
Freeman Mbowe.”

Imetolewa leo Alhamisi tarehe 22 Julai, 2021.

John Mrema
Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje.

=====

UPDATE:

View attachment 1863559
View attachment 1863560
Uandishi wa kiwango cha chini sana huu. Yaani huyu ndiye Msemaji wa Jeshi lote Tanzania! Kweli jeshi limejaza zero makambini na kwenye kota zake
 
Baada ya upekuzi wa Polisi kukamilika nyumbani Kwa M.Kiti Mbowe, tumepokea taarifa za kushtua na kushangaza kuwa Polisi wamemwambia kuwa ataunganishwa kwenye kesi ya Ugaidi na watuhumiwa walioko gereza mojawapo DSM. Tutaendelea kutoa taarifa za kina hapo baadaye.

View attachment 1862953

====

UPDATES;

=====

TAARIFA KWA UMMA

JESHI LA POLISI LAMTUHUMU MWENYEKITI WA CHAMA
MHE.FREEMAN MBOWE NA "MAKOSA YA UGAIDI"

Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. Freeman Mbowe alifikishwa Dar es Salaam jana majira ya saa tatu usiku chini ya ulinzi wa Polisi , walimpeleka nyumbani kwake Mikocheni Kwa ajili ya kumfanyia upekuzi ambao ulichukua takribani saa mbili na nusu.

Baada ya upekuzi huo Polisi waliondoka na Kompyuta mpakato (Laptop) na Vishikwambi (tablets) za watoto wake, Kompyuta mpakato moja ya kwake na modem ya Internet Kwa ajili ya uchunguzi wao.

Leo majira ya saa Saba mchana Polisi walimfikisha Mhe. Freeman Mbowe Kituo Kikuu cha Polisi Dar es Salaam kwa ajili ya mahojiano na kuchukua maelezo yake.

Polisi walitaka maelezo kutoka Kwa Mhe. Freeman Mbowe kuhusiana na kosa waliloliita 'KULA NJAMA ZA KUTENDA KOSA LA UGAIDI'

Baada ya maelezo hayo ya Polisi Mhe. Freeman Mbowe alitumia haki yake ya kisheria na aliamua kutokutoa maelezo yoyote Polisi kwa mujibu wa Sheria. Baada ya maelezo hayo Polisi wamemrejesha Mhe. Freeman Mbowe katika Kituo cha Polisi cha Oysterbay ,Jijini Dar es Salaam.

Aidha , viongozi wengine waliokuwa wanashikiliwa Mkoani Mwanza wameendelea kushikiliwa na Jeshi la Polisi na baadhi yao walifanyiwa upekuzi nyumbani kwao na vyumba vya hotel ambako walikuwa wameshukia .

Waraka wa Mbowe kwa Watanzania
Mwenyekiti Taifa Mhe. Freeman Mbowe ametuma waraka kwa Watanzania kama ifuatavyo;
"Hatimaye madai ya Katiba Mpya yamenisababishia kesi ya ugaidi, nipo tayari kwa mashtaka ya kuchongwa siogopi. Ninaamini Dunia itaujua ukweli wa kile kinachoendelea Tanzania na kile tunachokipitia Watanzania. Lakini pia itajua ukweli juu ya makosa haya ya kuchongwa.

Natoa wito kwa watanzania kuendeleza mapambano, haki hutafutwa” Mhe.
Freeman Mbowe.”

Imetolewa leo Alhamisi tarehe 22 Julai, 2021.

John Mrema
Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje.

=====

UPDATE:

View attachment 1863559
View attachment 1863560
Polisi wa Tanzania, someni vitabu vya Mungu. Malipo ya dhuluma huwaga ni hapa hapa, hayanaga mkopo. Jitafakirini sana kwani misiba isiyokuwa na sababu na itokanayo na matendo maovu na ya aibu hatupendi sana.
 
Hii movie kuhusu viongozi wa CHADEMA imeandaliwa kwa kiwango cha chini mno na inaabua maswali mengi kuliko majibu kuzidi hata ile ya kutekwa kwa MO.
Kuna mtu anaandaliwa utukufu hapa, na wengine wataangukia sword
 
Polisi wa Tanzania, someni vitabu vya Mungu. Malipo ya dhuluma huwaga ni hapa hapa, hayanaga mkopo. Jitafakirini sana kwani misiba isiyokuwa na sababu na itokanayo na matendo maovu na ya aibu hatupendi sana.
Ka mwafahamu malipo ni hapahapa kwa nini hamtaki Dj alipwe kwa walichowafanyia watanzania?

Sent from my SM-A507FN using JamiiForums mobile app
 
U
samia afanye udikteta tu lakini mashirika ya Kimataifa na Nchi za wafadhili zikiamua kutotoa mikopo na misaada kutokana na nchi kukosa demokrasi hapo ndiyo Watanzania watatia akili kichwani kwani ugumu wa maisha utaongezeka mara tatu ya ilivyo sasa na Serikali itakuwa haina jinsi bali kupitisha fagio la chuma Serikalini litakalosomba Wafanyakazi wengi sana.
Nategemea misaada kuishi??
 
dah! Watu wanapenda sana tuongozwe au tusimamiwe na wazungu.
 
-Makongamano ya kudai katiba Mpya
-Tozo kwenye miamala ya simu

Umefanyika mkakati wa kumkamata Mbowe na kumpa kesi ya ugaidi ili kuwatoa watanzania katika mijadala miwili mikubwa hapo juu
 
Nikikwambia mama kapewa taarifa za inteligence kuhusu sakata lote na kapigwa na butwaa na kuacha polisi na vyombo vya uchunguzi vifanye kazi yake utabisha?
Tulieni kamanda na genge wachunguzwe, kama hawana hatia wataachiwa kama wana hatia na kama wanahusika na laifu la mpendwa wetu jpm, ni nora wakalae jela maisha maana mtaani tutatoboa macho yao na penseli zenye mcha kali.
Ndiyo mnavyodanganyana kwenye vikorido vya lumumba hapo??
 
CHADEMA always ni akili kubwa.
Polisi wamefanya kile ambacho chadema walihitaji. Kitendo cha kumshikilia mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe na viongozi wengine wa Bavicha Bavicha Taifa.Bavicha Taifa. ni msaada mkubwa sana kwa CHADEMA.
Vyombo vyote vya habari duniani vimetangaza kuwa Mbowe kashikiliwa na polisi kwa kile kinachodaiwa ni kongamano la kudai #katiba.
Dunia yote imetambua na imesikia kuwa kuna vugu vugu la katiba mpya, wazee wasio na smatphone pia wamefahamu kuhusu hilo. Kila kona sasa ni katiba mpya.
Kwa kifupi kongamano limefanywa na polisi na kupata muitikio mkubwa kuliko hata wangefanya chadema.
 
Ugaidi ambao kwa kiingereza unaitwa terrorism, unatokana na neno terror, ambalo kimsingi ni kutisha. Terrorists au magaidi hutenda vitendo vya kutisha ili anayetishwa asitende jambo ambalo anayetisha, halitaki.

Terrorists wanaweza kuwa ni kikundi, taasisi, watu binafsi au Serikali.

Leo naongelea terrorist goverment au Serikali gaidi. Hii ni Serikali ambayo huwafanyia vitendo vya kutisha raia, vikundi vya watu au taasisi kwa lengo la kuwafanya raia, taasisi, vyama vya kisiasa viogope kuhoji au kukosoa.

Mambo ambayo terrorist government hufanya:

1) kuua, kuteka, kufunga au kuwapoteza wanaokosoa au kuhoji

2) kutunga sheria za kigandamizaji zinazopunguza au kuondoa uhuru wa mawazo na maoni ya watu

3) Kutunga sheria nyingi zaidi za kudhibiti kuliko kuwezesha

4) Kutunga katiba zinazowalinda na kuwapa madaraka makubwa watawala kuliko wananchi

5) Terrorist government, mara nyingi hutunga sheria za kudhibiti uhuru wa vyombo vya habari

6) Kwa kutumia sheria haramu, huwabambikia kesi zile ambazo zinaipa terrorist government kuwatesa wakosoaji

7) Terrorist government huunda terrorirt state organs kama vile terrorist Police Force, terrorist intelligence organs, terrorist armed forces, na hivyo vyote huwa chini ya terrorist ruling political party

Dhamira kuu ya terrorist government ni kuwafanya raia au makundi ya kijamii yenye uwezo wa kukosoa yaogopa kwa kuona yale ambayo wakosoaji yaliwapata.

Lengo la terrorist government ni kuwafanya watu waogope. Kwa hiyo raia wakiogopa, lengo la terrorist government linakuwa limefanikiwa. Raia ili kuondokana na kuwa watumwa wa government terrorism ni kutokukubali kutishwa.
 
Katiba mpya si hitaji la watanzania walio wengi.....

Iliyopo ni nzuri TU.....

#KaziIendelee
 
100%Yaliyojiri kwa Mrema,Seif na Mahita makondena ya visu,Mabomu ya Arusha,Slaa kutegeshewa vitu hotelini,Lissu kupigwa lisasi na sasa Mbowe nani atafuata?
Je,nisuluhisho?
 
Back
Top Bottom