Freeman Mbowe: CCM ijenge mifumo ya kudhibiti viongozi wake ndani ya Chama ili wasiumize Watanzania

Freeman Mbowe: CCM ijenge mifumo ya kudhibiti viongozi wake ndani ya Chama ili wasiumize Watanzania

Mnyika anasema "Mwenyeki wa chama Freeman Mbowe ndiye atakayetoa Neno/Salamu kwa niaba ya chama, kwani waliomwalika Mama Samia kuwa Mgeni rasmi ni nyinyi wanawake na chama kikawapa Baraka. Leo ukurasa mpya umefunguliwa hivyo basi atakachoongea Mwenyekiti Mbowe na Mh. Rais Samia ndicho tutakacho fuata".
Msimamo ni wote tuhamie kwa mama
 
Leo tarehe 8/03/2023 kunafanyika kongamano kubwa la Siku ya wanawake Duniani lililoandaliwa na ile ile Taasisi bora ya Akina Mama Barani Africa (BAWACHA)

Mgeni rasmi kwenye Kongamano hilo ni Rais wa Tanzania , Samia Suluhu Hassan.

Kulikuwa na uvumi wa kizushi kwamba wale Covid 19 wakiongozwa na Halima Mdee watahudhuria .

Sasa ombi langu ni hili hapa , ALIYEMUONA HALIMA MDEE NA MAMLUKI WENZAKE ANIONYESHE UPANDE WALIPOKAA KWENYE UKUMBI WA MKUTANO HUO .

Nakala : johnthebaptist Petro E. Mselewa Pascal Mayalla
 
Msigombane wanangu, sisi ni ndugu wote, ccm A, ccm B na CCM c, kabaki Rungwe tu.
 
Mbowe is flopping.
Anamualika rais na Mwenyekiti wa CCM na kuanza kukisakama Chama Chake, huku ni kumtengenezea mgogoro rais na Chama Chake.
Nauona huu mkutano hautaisha vyema.
 
Mbowe anajua ku flip na ku flop...
Naona sasa amerudi kwenye the right track
 
Back
Top Bottom