Freeman Mbowe: CCM ijenge mifumo ya kudhibiti viongozi wake ndani ya Chama ili wasiumize Watanzania

Freeman Mbowe: CCM ijenge mifumo ya kudhibiti viongozi wake ndani ya Chama ili wasiumize Watanzania

Ameongea yaliyo moyoni mwake kwa heshima na taadhima kubwa na hisia kali zenye heshima kubwa kwa rais!

Tumuige , ni mfano mzuri namna ya kuongea matakwa yako kwa wenye mamlaka
Mwamba kama Mwamba , hii ni nguzo ya amani
 
Ni mwaka gani waliukubali ushindi wa ccm
 
CHADEMA inamsaidia sana Mh. Rais Samia Hassan kuleta mageuzi ndani ya CCM kwa kubainisha yale ambayo wanaCCM hawawezi kumsaidia Rais wa Jamhuri ya Muungano kutokana na uhafidhina au wana CCM kuwa wachoyo kisiasa.
 
Dah, mwamba ni jiniazi sana na anaijua shilingi kama ada ya mchagga.
Hapo ataonekana anatoa maneno ya busara kama zote huku akilamba lamba mdomo kuashiria utamu wa asali.

Kuna mtu anapiga kelele uviko-19+1 wafukuzwe chamani, wafukuzwe wakati kuna harufu ya asali? Tuache kuota ndoto za mchana labda siyo DJ.
Inaoneka unajua ukwel juu ya hao vovido 19, kwa niaba ya jamvi hili tuwekee huo ukwel au evidence kua hao vovido wameweka na CDM!!
 
Zilipendwa.
Dah, mwamba ni jiniazi sana na anaijua shilingi kama ada ya mchagga.
Hapo ataonekana anatoa maneno ya busara kama zote huku akilamba lamba mdomo kuashiria utamu wa asali.

Kuna mtu anapiga kelele uviko-19+1 wafukuzwe chamani, wafukuzwe wakati kuna harufu ya asali? Tuache kuota ndoto za mchana labda siyo DJ.
 
Dah, mwamba ni jiniazi sana na anaijua shilingi kama ada ya mchagga.
Hapo ataonekana anatoa maneno ya busara kama zote huku akilamba lamba mdomo kuashiria utamu wa asali.

Kuna mtu anapiga kelele uviko-19+1 wafukuzwe chamani, wafukuzwe wakati kuna harufu ya asali? Tuache kuota ndoto za mchana labda siyo DJ.
Hata haichekeshi, ime expire hii na wala haikuwahi kutumika, achana nayo
 
Kumbe huwa anapitia maon yetu eeh...
Screenshot_20230308_144406_Chrome.jpg
 
Lakini hili la kuwa uchaguzi unapoisha siasa zinaenda likizo halijakaa vizuri. Katika ncho za Magharibi wanaamini kuwa uchaguzi unaanza pale ule uliotangulia unapoishia. Vyama vya kisiasa na wagombea wanaanza kujipanga pale tu matokeo yanapotangazwa.

Ni haki ya kila raia na chama kufanya siasa wakati wowote wanaoona ni muafaka. Na hamna madai ya lugha ya staha kwa sababu yataweza kutumika kuwadhibiti watu wanao onekana kuwa tishio kisiasa.

Amandla...
 
Back
Top Bottom