Weka link mkuuNenda katufute clip ya Tulia alivyomjibu Sugu na usikilize hoja alizotumia kumjibu.
Simkubali Tulia ila mimi si mfungwa wala mateka wa hisia, nipo huru sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka link mkuuNenda katufute clip ya Tulia alivyomjibu Sugu na usikilize hoja alizotumia kumjibu.
Simkubali Tulia ila mimi si mfungwa wala mateka wa hisia, nipo huru sana
[emoji23]Sawa mkuu ila hili taifa lina akiba kubwa sana ya watu wajinga, stock ni kubwa mno.
Mwamba kama Mwamba , hii ni nguzo ya amaniAmeongea yaliyo moyoni mwake kwa heshima na taadhima kubwa na hisia kali zenye heshima kubwa kwa rais!
Tumuige , ni mfano mzuri namna ya kuongea matakwa yako kwa wenye mamlaka
Siasa inahitaji sayansi siku izi.sio mabavu na nguvu kama enzi za ujima.time will tell.cdm oyeeeWapinzani wap? hawa wachumia tumbo?
Mpaka sasa Watanzania wanaendelea kujifunza kujua usanii wa kisiasa kwemye majukwaa ya vyama ila nyuma ya pazia ni tofauti.
Nimeamini ule uzi wa kule anaweza akawa anahusika nao pia[emoji848]Mama anasema anasoma maoni yetu JF.
sijakupata ndugu yanguSawa mkuu ila hili taifa lina akiba kubwa sana ya watu wajinga, stock ni kubwa mno.
Inaoneka unajua ukwel juu ya hao vovido 19, kwa niaba ya jamvi hili tuwekee huo ukwel au evidence kua hao vovido wameweka na CDM!!Dah, mwamba ni jiniazi sana na anaijua shilingi kama ada ya mchagga.
Hapo ataonekana anatoa maneno ya busara kama zote huku akilamba lamba mdomo kuashiria utamu wa asali.
Kuna mtu anapiga kelele uviko-19+1 wafukuzwe chamani, wafukuzwe wakati kuna harufu ya asali? Tuache kuota ndoto za mchana labda siyo DJ.
Weka link mkuu
Dah, mwamba ni jiniazi sana na anaijua shilingi kama ada ya mchagga.
Hapo ataonekana anatoa maneno ya busara kama zote huku akilamba lamba mdomo kuashiria utamu wa asali.
Kuna mtu anapiga kelele uviko-19+1 wafukuzwe chamani, wafukuzwe wakati kuna harufu ya asali? Tuache kuota ndoto za mchana labda siyo DJ.
Hata haichekeshi, ime expire hii na wala haikuwahi kutumika, achana nayoDah, mwamba ni jiniazi sana na anaijua shilingi kama ada ya mchagga.
Hapo ataonekana anatoa maneno ya busara kama zote huku akilamba lamba mdomo kuashiria utamu wa asali.
Kuna mtu anapiga kelele uviko-19+1 wafukuzwe chamani, wafukuzwe wakati kuna harufu ya asali? Tuache kuota ndoto za mchana labda siyo DJ.
Nyie mnaolalamikia Maisha magumu mafisadi mliozoea kuibia wanyonge. Mbona JPM alishasemaga?! Au Leo unapingana na mtazamo wake?Gharama za maisha zipo juu sana.
Mkuu naona umeamua kujipa u dokta kama taletaleMama anasema anasoma maoni yetu JF.