Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kina Mh. Mbowe wahuni, ukienda uchagani huko wana vikundi vyao, kina mbowe wanatumwa, ingawa system imewathibiti kikamilifu na uzuri Mwl alijenga mfumo ambao hauna mtu kuuzoea hata ukikaa miaka kibao. Wachaga bado wanaamini rais lazima atoke kwao na pia wanaamini nyazifa nyeti zote lazima washike wao ili washindane kuiba
Eti wanasema hata mabusu yanasababisha corona tuchukue tahadhari hivi ni kweli?
Safi sana kamanda wa angaTunamsubiri mwenyekiti wetu
Duh.Mbona kitambo kaanza kuongea na waandishi wa habari, au ulikuwa huna bando?
Tatizo lenu wasomi ndani ya kikundi chenu mmewaweka pembeni mkatanguliza mihemuko mihemuko. Hotuba ya Mh. Mbowe haikuandaliwa kabisa na wala hakuhusisha wabobezi ili aongee nini zaidi ya hisia zake ndiyo maana kaishia kuropoka ropokaHofu ya nini kwani waziri wa afya na Rais si washasema Hatuna Corona? Corona ikiingia nchini maana yake wahusika wamefanya uzembe, watu hawawekwi karantini wanavuka tu airport kienyeji.
Tatizo lenu wasomi ndani ya kikundi chenu mmewaweka pembeni mkatanguliza mihemuko mihemuko. Hotuba ya Mh. Mbowe haikuandaliwa kabisa na wala hakuhusisha wabobezi ili aongee nini zaidi ya hisia zake ndiyo maana kaishia kuropoka ropoka
Mudawote unaopenda MKUYENGEHotuba imejaa majigambo, chuki binafsi kwa serikali, viashiria vya ukabila na uvunjifu wa amani. Hakuna mkakati mbadala wa kisera aliouzungumzia zaidi ya tambo za kufanya mikutano na kulalamika badala ya kujikita kwenye sera mbadala ambazo wapinzani wanaziamini. Pia kadanganya kuhusu akina Halima. Kwa hotuba hii CCM ni chama pekee kinaendelea kubaki na mikakati mathubuti ya kuinua uchumi wa watanzania.
Jibu hoja, naona ufipa hakukaliki mmezidiwaLumumba wamekususia leo umebaki mwenyewe kujibu pumba.
Mbuyuyu mkubwa, naona mmezidiwa hoja ufipa hapakaliki. Poleni sana, mwenyekiti wenu wa kikundi cha uasi ni zero brain
Sasa mkuu kuna vitu vya ukabila ukileta hapa unaalibu,inamaana wasukuma ambao wapo chadema watafikiriaje andiko lako ?