Pre GE2025 Freeman Mbowe: CHADEMA nipo, nitakuwepo na nitagombea. Anayetaka kugombea tukutane kwenye sanduku la kura

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Chawa wakiwa chobingo:



Cc: imhotep
 
Mbowe sasa hivi ni saa sita na nusu kwa saa za Afrika mashariki.
Ulisema saa tano utaongea hawa waandishi na wahariri wa vyombo vya habari umewakalisha hapo kwako utawapikia?
Mke wangu yuko jikoni anawaandalia vitafunwa, hivyo msihofu vijana wangu. Alisikika Mbowe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…