Freeman Mbowe kung'atuka uongozi wa CHADEMA mwaka 2023

Swala ni mtu wa kuaminika kumkabidhi kiti kama bado hajapatikana basi Mbowe aendelee kama yupo anayetosha basi wanachama wamuone na waridhike naye nje ya mipaka ya mashaka.
Mbowe amekuwa kiongozi bora sana wa upinzani hapa Tanzania.
 
Hana mfano,,the best ever!
 
Hakuna kipindi Mbowe anahitajika kwenye siasa za upinzani kama hiki.
Baada ya Mwendazake kulikoroga na kutangulizwa mapumzikoni,Mama ana match na Mbowe.Siasa zinaendeshwa kwa ustaarabu wa hali ya juu.
Hii ndio Tanzania tuitakayo
Ni kawaida yenu kusema mbowe anahitajika chadema zaidi. Chadema imeweka wagombea tofauti tofauti lakini mwenyekiti hajabadikishwa. Hivi ni kipi kikubwa Kati ya Tanzania na Chadema.
 
Ni kawaida yenu kusema mbowe anahitajika chadema zaidi. Chadema imeweka wagombea tofauti tofauti lakini mwenyekiti hajabadikishwa. Hivi ni kipi kikubwa Kati ya Tanzania na Chadema.
CCM Chadema haiwahusu, yaangalieni mambo yenu wenyewe huko Lumumba!
 
Biya anaachia madaraka siamini, muda ukikaribia utasikia wanachama wa SACCOSS wameniomba niendelee, hakawii kugeuza gia angani.
 
Hahahaha...kama nilivyosema awali...Mbowe ni master na kacheza kama Pele na wala sikubishii mkuu
Kama Mbowe alikuwa vizuri kuliko wote chadema kwanini hakuwa mgombea wa kudumu kwa uraisi kupitia Chadema. Au uraisi ni mdogo kuliko uenyekiti wa Chama?
 
Onesha mafanikio ya mbowe baada ya Slaa kuondoka Chadema?
 
Jibu swali kati ya mwenyekiti wa Chama na raisi wa nchi ni nafasi gani inahitaji mtu makini zaidi?
Kila kimoja kikae kwenye nafasi yake kwa umuhimu wake.

M'kiti wa Chama ana nafasi kubwa ya kukiandaa Chama kushika uongozi wa nafasi mbalimbali ikiwemo ya Urais.

Rais anasimamia ilani ya chama kinachoongozwa na M'kiti.

CCM mna RAIS M'kiti, hamuwezi kuelwwa haya.mambo!
Najua mtasema Rais ndio inahitaji mtu makini kuliko M'kiti wa Chama.
 
Hoja zako ni dhaifu sana huwezi kufananisha kiongozi wa taifa na kiongozi wa chama. Haiwezekani kiongozi mzuri aachiwe Chama halafu kiongozi dhaifu apewe nafasi ya kugombea uraisi wa nchi.
 
Bora kabisa ili hicho chama kishikwe na wasukuma sasa.

Wachaga wamekidumaza hicho chama.
Inawezekana mbona? Si wasukuma wote wabaya.
Wabaya ni wachache sana kulinganisha na wengi
 
Mbowe yupi huyo?
 
Onesha mafanikio ya mbowe baada ya Slaa kuondoka Chadema?
Bado huelewi unachosoma?

Mafanikio; si hayo hapo CHADEMA inadunda hadi sasa? Huyo Slaa ilikuwa ni mpango wa kuiua CHADEMA, lakini ikashindikana, bado wewe huoni kuwa hayo ni mafanikio makubwa?
 
Bado huelewi unachosoma?

Mafanikio; si hayo hapo CHADEMA inadunda hadi sasa? Huyo Slaa ilikuwa ni mpango wa kuiua CHADEMA, lakini ikashindikana, bado wewe huoni kuwa hayo ni mafanikio makubwa?
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ saaahv slaa alikua anaiua chadema
 
Kwahiyo Lissu hafit hiyo nafasi maana sioni kupigiwa debe?
 
Wajipange sasa kupata mwenye weledi kama wake la sivyo by 2025 chama kitakuwa tayari kishapotea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…