Freeman Mbowe, Mnyika na Viongozi CHADEMA wakutana na Rais Samia na Viongozi wa CCM Ikulu ya Chamwino - Dodoma leo 20/5/2022


Mkuu mimi sio muumini wa hivi vikao. Hili sio kosa lako ni langu. Muda utaamua.
 
Kama haujui dhuruma alizofanyiwa Maalim Zanzibar basi wewe ni kichaa wa kulazwa. Haufai hata kutembea na hawa tunaona barabarani wakitafuta mabaki ya vyakula majalalani.
Katiba ya Zanzibar utafananisha na JMT? Uko sawa kichwani wewe?

Maalim Seif amefariki akiwa ni makamu wa kwanza wa Rais.
 
Hauko mwenywe mkuu. Vikao hivi tuliviona kule Zanzibar miaka ya 2000 na hawa CCM na "mwafaka" ukafikiwa. Maalim walipowapiga chini kwenye sanduku la kura 2015, wakafuta matokeo ya uchaguzi!! Na samia amekwishasema ni mpaka 2030. Hataki kusikia mtu akiongelea urais huko CCM wala nje ya CCM mtu aongelee katiba mpya.
Mkuu mimi sio muumini wa hivi vikao. Hili sio kosa lako ni langu. Muda utaamua.
 
Mungu zidi kuibariki CHADEMA
Your browser is not able to display this video.
 
We salary sleep had muda huu hujui ishu ni covid 19
Mbona unaniangusha mzee
Mengine ni uwanja wa siasa sio ya kuachiana ni ya kushindana
 
Yupo kimkakati hapo, mama akishalamba mitano tena ndio atapumzika.

Bado kuna waasi ccm sasa huyu Kanali ndio mtu sahihi kuwanyoosha na kumuweka mama salama bila kumjaribu, huyu ni Comrade.
Kwa hiyo 2025 Chadema mmekubaliana hakuna wa kumzuia Samia?? Ok tusubirie 2030 lisu ataachiwa urais 😂😂
 
Chadema imegawanyika kwenye hili, Wamarangu na Machame wako na con man Mbowe na wanaona ni sawa ili kumlinda corrupt Mbowe na chadema second class wa Mikoa mingine wana doubt hii move, ngoja tuone itakavyokuwa!
 
Duh, umegusa 'buttons' zote zenye maumivu kwa CHADEMA katika andiko fupi kabisa!
Acha tusikie yatakayoletwa kwetu juu ya mkutano huo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…