Freeman Mbowe, Mnyika na Viongozi CHADEMA wakutana na Rais Samia na Viongozi wa CCM Ikulu ya Chamwino - Dodoma leo 20/5/2022

Mbowe anafanya kila njia ili kuizuia ile kesi ya kina Mdee maana inaenda kukiumbua Chadema.

Ndio maana ya hizi ziara.
 
Tatizo mbowe huwa hatoi feedback yoyote
 
Umeyaweka vyema kabisa.

Ujanja ujanja nao una mwisho wake. Watu wataona wenyewe na kuamua nani wa kulaumiwa mambo yasipokwenda sawa.
 
Tunahama kutoka kwenye siasa za zama za mawe za kale kwenda kwenye siasa za maendeleo uhuru na demokrasia.👏👏👏👏
 
Wewe umechanganyikwa.

CDM wakienda Ikulu hautaki, wakiwafukuza kina Mdee hautaki.

Unataka nini?!
Nani huyo mkuu 'Yoda' maanake hukumtaja wala ujumbe wake unaoujibu hukuuweka.

Lakini nadhani naweza kukisia!
 
Dudumizi lazima unune sana ukimuona Heche Ikulu🤣🤣

Muachage dharau.
 
Mkuu chadema ya sasa chini ya mwenyekiti wake itakupa presha ya bure. Jamaa anaangalia kwanza masilahi yake na ya familia yake, nyinyi wengine mmeachwa mtetee chama tu mitandaoni. Wengi mtaishia kulalamika tu lakini hamna ujanja wa kumfanya chochote.
Limewashuka leoooo
 
Vigezo na masharti ya ROYO TUWA!
Rudini njia kuu. Rejesheni demokrasia. Tambueni na thamini wapinzani. Shirikianeni kuikwamua nchi yenu!

Next move - kick Covid-19 out!

NB: Sijui ZZK na genge lake wanajisikiaje tu?!
 
Mbinu ya Chadema ni kuionyesha Dunia kwamba Mazungumzo yalishindikana
Usiende mbio hivyo.

Kuna njia nyingi za kuonyesha mazungumzo yalifana, hata kama kiukweli hapakufanyika lolote la maana.

Vuta subira kidogo, picha kamili itaonekana tu haiwezi kujificha.
 
Wanafuata nini ikulu kila mara kama sio kupotezeana muda?
Wanatumia akili kutafuta kinachotakiwa ambacho wewe na wenzako mngetumia zaidi mabavu na kauli chafu za kutweza utu na kuogopesha raia.
Watanzania ni waoga sana na bado wapo usingizini... mkitumia harakati za kuwashurutisha waandamane au watukane tukane hamtotoboa!
 
Nimekusoma mkuu 'majege'. Hakuna litakalojificha milele hata wakiamua kutosema, mwisho yatatoka tu na tutajua.

Ngoja tuvute subira kidogo kabla ya kuhukumu.
 
Badala ya kuboresha maisha ya watanzania mnakutana na Chadema.
 
Malaika wale, akienda Lipumba Ikulu basi matusi kila kona na kuita wenzao wasaliti..

Akienda mwenyekiti wao, basi burudani kabisa kwao....
Tangu hapo Lipumba ni msaliti kwani ni siri, kufa kwa CUF mpaka kuwa replaced na ACT ni mazao ya usaliti wa Lipumba.
Hivyo msaliti anapoenda huko moja kwa moja ni agenda ya kuendeleza usaliti wake, once a snake always a snake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…