Freeman Mbowe: "Mtu anaweza tu akashangiliwa kwenye majukwaa akapigiwa kura, lakini hakuna meritocracy (uwezo)". Je, dawa mujarabu ni ipi?

Uko sawa kwa hyo wewe umebaki na nguvu wapo?

Muulize Sirro ndo anajua CHADEMA ipo na Mama Samia watakwambia.

Au waambie watangaze Mikutano ya Hadhara wameruhusu kutengua katazo lao
Lililo kinyume na Katiba

Ndipo utajua CHADEMA ipo Hai
 
Chadema wamebaki na nguvu Twitter Chadema w.a.mek.u.wa kama Kiba wanaomchukia Diamond
Ninaishi USA. Nasikia CCM ilichukua majimbo yote katika uchaguzi wa mwaka jana 2020. Ni kweli?
 
Chadema wamebaki na nguvu Twitter Chadema w.a.mek.u.wa kama Kiba wanaomchukia Diamond
2025 tutawashawishi wananchi wampe Samia ushindi wa 90% Ushindi huu ni wa asante kwa kazi kubwa aliyoifanya.
 
Anachokifanya Tundu Lissu kwa sasa ni kutafuta umaarufu kwa ajili ya 2025. samia mama lao.
Kwa utendaji wa RAIS Samia Sisi kama watanzania tulipaswa kumuacha achape kazi, watanzania ,Afrika ,Dunia inajua Rais Samia atashinda mafisadi.
 
Rais Samia amefanya mambo makubwa mazuri kwa muda mfupi wa utawala wake.
Rais Samia ni mtu mwenye huruma nami nakubaliana naye kabisa. Wanaomuogopa Rais Samia ukiwafuatilia kwa makini utagunduza kuwa ni watenda maovu na wanashikwa na uwoga kutokana na uovu wanaoutenda.
 
Rais Samia ni mtu mwenye huruma nami nakubaliana naye kabisa. Wanaomuogopa Rais Samia ukiwafuatilia kwa makini utagunduza kuwa ni watenda maovu na wanashikwa na uwoga kutokana na uovu wanaoutenda.
Chama chini ya Rais Samia kipo busy kujenga Nchi ila vyama vingine vinashindana kuhutubia Facebook.
 
Chama chini ya Rais Samia kipo busy kujenga Nchi ila vyama vingine vinashindana kuhutubia Facebook.
Tunapenda Rais Samia asipate changamoto kubwa katika kupambana na CHADEMA pamoja na wanasiasa wengine uchwara
 
Uko sawa kwa hyo wewe umebaki na nguvu wapo?

Muulize Sirro ndo anajua CHADEMA ipo na Mama Samia watakwambia.

Au waambie watangaze Mikutano ya Hadhara wameruhusu kutengua katazo lao
Lililo kinyume na Katiba

Ndipo utajua CHADEMA ipo Hai
Hivi unajua kuwa samia ni Rais bora africa kwa sasa?
 
Mafisadi wana hofu ya kushindwa na Samia. Wanajua Samia lazima awashughulikie ndio maana hawataki wapambane naye
kuna watu wachache wanamtukana Rais Samia Dawa yao inachemka. Tutahakikisha wanalia na kusaga meno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…