Sikutolewa gerezani kwasababu kuna mtu ananipenda, nimetolewa gerezani kwasababu nguvu ya umma ilikuwa imezidi sana
Tangu lini Kamanda Asiyechoka kutokea mitaa ya Lumumba akawa msemaji wa Mbowe au CDM?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikutolewa gerezani kwasababu kuna mtu ananipenda, nimetolewa gerezani kwasababu nguvu ya umma ilikuwa imezidi sana
Ni kuwa makini sana na hawa wajuaji waliopitwa na wakati.Ni ile timu ya mangedere ngabu. Hata ufanyeje wataokoteza na hata kupika.
Wako kazini hao.
View attachment 2140995
Nia yao ni kumgombanisha Mbowena CDM dhidi ya mama hata na kwa sababu zozote hata kama ni za kijinga.
La kujivunia mama kamsikia Mbowe na Lissu one to one.
Akijichanganya hiyo itakuwa ni shauri yake.
Kwa majina yao wako humu:
Tuwatambue wanaohaha kutusambaratisha kama Taifa
kwa iyo kule ikulu ulipoenda, ndio umeenda kuishukuru nguvu ya umma? Nguvu ya uma ipo ikulu?
Are you sure?..Samia alitaka kumuomba msamaha kwa dhuluma aliyotendewa.
..
Ni kuwa makini sana na hawa wajuaji waliopitwa na wakati.
Are you sure?
Nani kamshukuru Mama?Sasa wale wanaomshukuru mama je? Si kwamba yeye ndiyo kakutoa?
Naona umeumia sana Mbowe kutoka Jela,kunywa sumu upumzike.Wanafanya kweli makosa ila wanatumia mwamvuli wa kisiasa kupata huruma kama hivi.
We chukulia mfano tu wa kesi hii ya Mbowe angekua mwananchi wa kawaida.
Kuna ambaye angeliga kelele asamehewe??
Au baada ya kusamehewa aitwe ikulu??
Hawa wanasiasa wanajua kucheza tu na akili za wafuasi wao ila kimsingi sio watu safi sana kama tunavyofikiri.
Vipi ile ID yako ya mmawia umeachana nayo au unatumia zote mbili ulipwe huku na huku?Usiwafsnanishe wengine na zile b7 za mtaa wakijani Tena ukome walarushua nyie, Tena mnatafuna makusanyo ya mlalahoi⛹️
Siku hizi nawatazama tu na hizi sarakasi zao, wanatunga tu kila linalowajia vichwani mwao.View attachment 2141050
Kuna mengine huku:
Freeman Mbowe, kada mtiifu wa CCM aliyepewa uenyekiti CHADEMA
Walipo hawajui washike au waachie nini. Wanaodai Mbowe System ndiyo hao walio busy kumpaka matope.
Tangu lini Kamanda Asiyechoka akawa msemaji wa Mbowe au CDM?
Vipi ile ID yako ya mmawia umeachana nayo au unatumia zote mbili ulipwe huku na huku?
Hizi thread zisizo na source wanazitengeneza hawa wajinga kwa lengo la kuwadanganya wasiojua kufikiria wenye mihemko kama yao.Imebuma mjomba hiyo:
Mbowe: Nimemwambia Rais Samia MAMBO MAZITO SANA, vijana wetu wana mihemko, nina deni sijui nitalipaje
Bila source ulichoandika ni porojo zenu za kila siku kama za nduguyo tu hapa:
Freeman Mbowe, kada mtiifu wa CCM aliyepewa uenyekiti CHADEMA
Kama ni kada wenu kulikoni kumsakama hivi?
Kwa kutuona je vile?
Cc: denooJ
Ngabu, huwa nakuchukulia kama mtu mwenye uelewa mkubwa sana humu Jf.Sasa wale wanaomshukuru mama je? Si kwamba yeye ndiyo kakutoa?
Umempa jibu zuri SanaIkulu aliitwa na alikwenda kufanya maongezi na siyo kushukuru. Wewe unadhani aliomba yeye kwenda?