johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mbowe amekumbuka juice ya Ikulu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo mpasuko wenyewe huo. Kila mtu na mambo yake kuitana ndugu hakupo tena. Kumbuka vidole vya mkononi having sawa ila vinashirikianaHuo mpasuko nausikia tu, hata sijui uko wapi? Huku mtaani kila mtu na mambo yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Ccm ndio actually wenye kuhitaji maridhiano zaidi kuliko hata hao Chadema na usishangae ndio engineers wa huu mkakati.Either with us or against us, hakuna maridhiano na wasaliti.
Hahahaha siyo enzi ya maigizo hii.Maridhiano Kwani wapo kwenye mgogoro gani?
Au mnataka mkale tende ikulu
Kumbe ilianza kitamboMwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe amemtaka Rais Magufuli kuleta maridhiano ya kitaifa na kwamba yeye na chama chake wamenyoosha mkono wa mapatano.
Ifuatayo ni Hotuba Fupi ya Kiongozi Mkuu wa Upinzani nchini Tanzania Freeman Aikael Mbowe mbele ya Watanzania katika kuadhimisha miaka 58 ya Uhuru:
Mheshimiwa Rais,
Waheshimiwa viongozi wote mlioko mahali hapa,
Waheshimiwa watanzania wenzangu!
Nimekuja kushiriki sherehe za miaka 58 ya Uhuru kama uthibitisho wa ulazima wa kuwepo maridhiano, kuwepo upendo, na kuwepo mshikamano katika Taifa letu.
Nawapongeza sana Watanzania kwa siku hii ya leo na ninamuomba Mwenyezi Mungu siku ya leo ikafungue milango tuweze kuishi kama Taifa linalopendana, tuvumiliane, tukosoane, turuhusu demokrasia. Tukajenge Taifa lenye upendo na mshikamano.
Na Mheshimiwa Rais una nafasi ya kipekee kuweka historia ya maridhiano katika Taifa kwani kuna wengine wanalalamika, wengine wanaumia. Basi Mheshimiwa Rais tumia nafasi hiyo ukaliweke Taifa katika hali ya utengamano.
Nakushukuri sana. Asante sana.
_____________
Hotuba fupi ya Mwenyekiti wa CHADEMA na KUB, Mh Freeman Mbowe katika sherehe za maadhimisho ya miaka 58 ya Uhuru wa Tanganyika, zilizofanyika Jijini Mwanza leo 9 Disemba 2019
View attachment 1286525
Mbowe alitakiwa asome alama za nyakati mda mrefu tu.Maridhiano yatakuwepo wewe Mbowe ukiacha udikiteta kwa kuwaachia na wengine uenyekiti.
KUkaa ndani miaka miaka miwili haikuwa poaUnaenda kumpigia magoti mtu aliyemtandika risasi 38 nduguyo utadhani anaua CHATU na kama haitoshi akaendelea kumshughulikia vivyo hivyo huku akiwa hoi kitandani.
CHADEMA hakuna kitu