ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,050
- 6,199
Pole mko wengi msiyoelewa maana ya maridhiano. Na tatizo kubwa liko upande ule wa kijani. Kudhani nchi hii ni ya kwao pekee. Wengine hawakujaaliwa ufahamu wa kutosha. Lakini kuna wengi sana hasa wasomi tuliyowahi kuwaamini wanaongozwa na matumbo yao. Maridhiano yatawapunguzia mkono kwenda kinywani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbowe anatapa tapa tu
Bada ya watu kugoma kuwabembeleza wanataka maridhiano,watu tupo bize nyakati hizi yeye aendelee na kususa tu
Sent using Jamii Forums mobile app