January 2020 bado siku 11 tu, sijui Magufuli atasemaje kubusu Upinzani, katumia pesa za wananchi kuwanunua akashindwa, katumia ile mbinu nyingine ya kumtanguliza mtu mbele ya haki akidhani wote wataogopa akafeliHili limedhihirisha kweli Mh Freeman Aikaeli Mbowe anastahili ile PhD ya ubingwa wa siasa iliyo tamkwa bungeni nashauri atunukiwe kwani kadhihirisha kuna kiongozi mkubwa mwenye uwezo mkubwa mwenye majeshi na amri aliapa atahakikisha CHADEMA ina RIP kweli Mungu hadhihakiwi sijui wapambe nuksi wayakuja na lipi Dr Mbowe alipo omba maridhiano hawakumuelewa sasa aibu yao Maendeleo hayana chama Mungu ibariki Tz
Nyie waganga njaa na waganga wa jadi mmekuwa washauri wa raisi ndo maana nchi imefika hapaWakati Saccos ya Chadema mwisho wake ni 2020!!
Unadhani Jiwe ataiponya ccm. Unafikiri huku wanakomsujudia vinatoka rohoni, take my words! People are not contented!Hawa viongozi wanaenda kubomoa chadema na chadema inaenda kuwafia mikononi mwao mark my words
Jipeni moyo na migwanda yenu CCM hao wanapasha tu,ruzuku italipwa na watakula hao wanahubiri utajiri ushindi CCM kwa kishindo tupo hapa.January 2020 bado siku 11 tu, sijui Magufuli atasemaje kubusu Upinzani, katumia pesa za wananchi kuwanunua akashindwa, katumia ile mbinu nyingine ya kumtanguliza mtu mbele ya haki akidhani wote wataogopa akafeli
Ushindi huu sawa na wa mr Slim wa pale jirani hata mabeberu wanaukataaCCM watabisha hata hili, maana wao kuchaguana hawajui wamezoea KUTEULIWA.
Wamebakiza msajili. Lazima wampe maelekezo alete figisu lakini naye atashindwa tu.Kuna mkurugenzi leo atapigwa chinu kwa kutangaza ushindi wa wapinzani leo.
hahahaaaaaa
Kwa sasa kitu pekee ambacho CCM inaweza kushinda ni kushinda njaa tu.Mkuu hiyo siyo roho mbaya bali ni hali halisi. Mpaka sasa hivi Chadema hawana viongozi wengi ngazi ya vijiji, kata wala vitongoji sasa unategemea nini 2020? Madiwa pia kwenye ngome zenu kama Arusha, Kilimanjaro, Iringa na Mbeya tayari wameshawakimbia. Hapo unategemea Saccos isife kweli?
Kuna wakati chadema walikuwa wananyimwa kumbi za mikutano, wanalipa alafu wanarudishiwa hela kwa maagizo toka juu.Kazi kwa kwenda mbele. Polisi sijui walikuwa wapi hawajazuia mkusanyiko wa Chadema pale Mlimani.
Haiwezekani! Kwani na nyinyi mlishakubali kuwa mbinu zenu za kupenyeza mamluki zimeshindwa?Hii nayo ni Breaking News kweli?? Watz walikuwa wanajua tu huyo Mwenyekiti wa Kudumu atapita. Wala hakuna cha ajabu mkuu!
Mwambe kugombea ni sawa, ila matamshi aliyokuwa anayatoa yalileta ukakasi! Yalikuwa yana divisive connotations ambazo hazitakiwi wakati huu wa Jiwe akiapa kuua upinzani
Field Marshal and Chairman for life appointed by Mtei.
Why Dodoma? Kuna ulazima gani makao makuu ya Chama kuwa huko?Kabisa mkuu...ninashauri wajikite zaidi kwenye ile movement yao ya CHADEMA Ni msingi..na hongera sana kamanda Mbowe..ujitahidi sasa kwenye huu uongozi wako wa miaka mingine mitano ukiachie chama ofisi za kisasa za kitaifa mpaka wilaya..hapo utakuwa umeacha alama na ninashauri makao mkuu ya chama jengeni Dodoma na ukumbi Mkubwa wa mikutano...kila la kheri
Mtei ndiye mpiga kura wa kura zote 800+?kama mambo madogo hivi unashindwa kuchanganua tukifika kwenye mambo mtambuka kuhusu nchi utaweza kuchanganua?Field Marshal and Chairman for life appointed by Mtei.
Hii sijui ni account ya Wassira?Hawa viongozi wanaenda kubomoa chadema na chadema inaenda kuwafia mikononi mwao mark my words
Ccm mlikula EPA na ESCROW na DEEP GREEN, IMPORT SUPPORT, msidhani hatujuiJipeni moyo na migwanda yenu ccm hao wanapasha tu,ruzuku italipwa na watakula hao wanahubiri utajiri ushindi ccm kwa kishindo tupo hapa.
Ha haha! Sikuliona hilo mapema, ngoja tumpatie hoja hiyo Polepole aipeleke kwenye Kamati kuu yetu tuone jinsi ya kumshawishi Msajili alione hili. Yale matundu yanaweza kupenyezwa karatasi za wiziUchaguzi haukuwa huru na haki. Hata boksi la kura lenyewe lina mtundu matundu,
Kama umetangaziwa matokeo hayo ukayakubali yote, hilo ni jambo zuri sana kwani huko mbeleni utapotangaziwa kuwa CCM imeshinda ni lazima ukubali matokeo uache kulalamika kuwa uchaguzi haukuwa huru na haki.Mtei ndiye mpiga kura wa kura zote 800+?kama mambo madogo hivi unashindwa kuchanganua tukifika kwenye mambo mtambuka kuhusu nchi utaweza kuchanganua?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbowe ambaye amekiongoza chama hicho kwa miaka kumi na tano ...