Kalaga baho na ubozi lwako!Hata Mbowe ni mamluki kama hujui!! Acha chezea Chama Dola! Ndiyo maana anaruhusiwa kula ruzuku atakavyo!
Ushindi 99% kwa Magu live hapa mtakuja piga mayowe na hilo chama lenu SACCOSS.Ccm mlikula EPA na ESCROW na DEEP GREEN, IMPORT SUPPORT, msidhani hatujui
Watanganyika wajinga sana. yaani baada ya kukupa ushaidi ni namna gani ccm wameifilisi nchi kwa ufisadi bado unaamini watashinda 99%Ushindi 99% kwa Magu live hapa mtakuja piga mayowe na hilo chama lenu SACCOSS.
Mtei yuko zake kule bush anaongeza kisurio tu,wataungana soon na mkwewe
Kama ni rahisi hivyo na wewe kulaHata Mbowe ni mamluki kama hujui!! Acha chezea Chama Dola! Ndiyo maana anaruhusiwa kula ruzuku atakavyo!
Ni mazingira gani yanaondoa uhalali wa uchaguzi kuitwa wa huru na haki?Kama umetangaziwa matokeo hayo ukayakubali yote, hilo ni jambo zuri sana kwani huko mbeleni utapotangaziwa kuwa CCM imeshinda ni lazima ukubali matokeo uache kulalamika kuwa uchaguzi haukuwa huru na haki.
Kaa utulie hapo hapo mliwe kichwa 2020 kiongozi wako wa mageuzi hapo anapigania ruzuku tuWatanganyika wajinga sana. yaani baada ya kukupa ushaidi ni namna gani ccm wameifilisi nchi kwa ufisadi bado unaamini watashinda 99%
Na wewe unapigania buku za lumumbaKaa utulie hapo hapo mliwe kichwa 2020 kiongozi wako wa mageuzi hapo anapigania ruzuku tu
NashangaaHii sio breaking news. Ilitarajiwa lazima ashinde. Hakuna Cha kuishangilia hapo.
Hii ni breaking news ipe heshima yake nanyaro
Kumbe hatuelewani, mimi ni kama lwaitama ujue1Ona aibu, ulijua mbowe atashindwa?
Hawataweza! Ingekuwa Africa asingetoka mtu , angeriwa kichwa kweli, ila kwawenzetu wanaangaria masrahi yachama.Bado, ndio anakwenda kupigiwa kura, definitely he will survive the vote because the senate has Republicans majority!