white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,566
- 13,770
Yote mtaongea lakini la muhimu ni kuwa hatuanaye tena, ndio la kushukuru Mungu hilo, kwani zile zilikuwa tabia za kishetani!!ila MUNGU anatishaaSasa naamini kuna kampeni chafu ya kumchafua JPM!
Kama ni toka 2018 alishindwa nini kuitumia ktk siasa za uchaguzi kama ilivyo kwa wanasiasa wetu kutafuta sympath!!
Ndiyo wapime uhalali wa maumivu yao ama washukuru pia?Mbowe amekosa Utu, hivi inawezekanaje leo hii anamkashifu na kumshambulia mtu aliye kufa?!!! ili iweje sasa?
watanzania walio wengi waneumia sana kwa kuondokewa na Huyo unaye mkashifu leo hii.
huu sio uungwana
Ndiyo eti shujaa wa AfrikaHuyu Jamaa alikuwa katili mno, alikuwa zaidi ya katali
Kwani waajiriwa ambao hawalipwi mishahara na waajiri wao hawali wala hawalali! Mbona wahindi na wachina wengi tu wanakuja nchini bila hata senti moja lakini wanaanzisha biashara!Mbowe ni muongo.
Mbowe anasema alifungiwa akaunti zote lakini akaamua kwenda kufanya Biashara Dubai, hizo hela za kwenda kuanzisha biashara Dubai zilikua akaunti gani kama akaunti zake zote TRA walifungia?
Huko duniani biashara ni wazo. Ukiwa na wazo zuri la biashara (proposal) unapata mikopo na hata sponsors. Umagufuli upo humu humu ukukuanani.Mbowe ni muongo.
Mbowe anasema alifungiwa akaunti zote lakini akaamua kwenda kufanya Biashara Dubai, hizo hela za kwenda kuanzisha biashara Dubai zilikua akaunti gani kama akaunti zake zote TRA walifungia?
Sada unamtisha nani na umagufuli wako?Kama hakufata sheria..alitaka iweje!!! Kama alifata aende mahakamani..
Ila nawashangaa wengi.. maneno mengi kama vile uongozi wote umebadilika ukaja mpya kutoka sijui safari ipi.. na sheria za nchi zimekutwa..
Waendelee tu kuongea...........
Ushahidi ni huu. Serikali yake ilijaa watu wa kanda ya ziwa.Halafu Mbowe anataja kua Hayati Magufuli alikua na upendeleo wa kindugu, neportism, anaweza kutupatia ushahidi kua kulikua na upendeleo huu na huu wa kindugu wakati wa Magufuli?
Tupate ushahidi wa ndugu zake na Magufuli ambao aliwapendelea na hawakua na sufa kwenye nafasi za kiutumishi.
Hii kampeni ya ukabila inapigiwa chapuo sana na makabila ya kaskazini. Wanajitahidi kutaka kufukia tabia yao ya ukabila nchi hii. Mfano, Kimei amejaza wachaga CRDB.
Tena nacho ni feki, kwani alikufa kabla ya tarehe hiyo.Hakuwa hata na cheti cha kuzaliwa atakuwa kapata hiki cha tarehe 17.03.2021.
Watu gani, si uwataje, taja watu wa serikali yote na uonyeshe wa kanda ya ziwa ni asilimia ngapi.Ushahidi ni huu. Serikali yake ilijaa watu wa kanda ya ziwa.
watanzania mjue kwamba hayati alikuwa katiliMbowe amekosa Utu, hivi inawezekanaje leo hii anamkashifu na kumshambulia mtu aliye kufa?!!! ili iweje sasa?
watanzania walio wengi waneumia sana kwa kuondokewa na Huyo unaye mkashifu leo hii.
huu sio uungwana
Account iliyofungwa inafanyaje miamalaAccount zimefungwa, ulitegemea akae tu amsubiri JPM?
Kweli wewe ni mnyonge. Ukidondosha hela, unalala njaa, kuzisubiri mpaka uzipate hizo hela ndiyo ukale?
Wamefunga account na siyo hela. Unaweza kufungua account lenye jina la mwanao na ukafanya miamala km kawaida.
Inaonesha JPM alijaa ukatili kwa wakosoaji wake wengi. AU NASEMA UONGO NDUGU ZANGU?
Mbowe ni muongo.
Mbowe anasema alifungiwa akaunti zote lakini akaamua kwenda kufanya Biashara Dubai, hizo hela za kwenda kuanzisha biashara Dubai zilikua akaunti gani kama akaunti zake zote TRA walifungia?
Unajua yeye akiwa hana connection anaamini wote wapo hivyo hivyo ndio maana kutwa kuandika ujinga humu..Hakwenda kuanzisha biashara Dubai. Mbowe nnayemfahamu mimi ana biashara Dubai kitambo(2008) nishawahi kufanya biashara na kampuni mojawapo yake