lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,571
- 35,475
Tulikua tunaongozwa na gaidi aiseeMagu hakuwa binadamu bali mtu.
Sijui alidhani Mbowe angeunga mkono juhudi!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulikua tunaongozwa na gaidi aiseeMagu hakuwa binadamu bali mtu.
Sijui alidhani Mbowe angeunga mkono juhudi!!!
Wewe ndo mtetezi wa wanyonge?! Toa Wewe ushahidi, kwamba Mbowe hajaibiwa! Suala la kuzaa nini? Kwani mama ake Kabendera hakuzaa? Au wazazi wa saa8 hawakuzaa?! Kwa hiyo kwamba Mtu ana umri wa kutuzaa tupotezee ukatili wake?!Hizi sasa ni dhihaka na fedheha kwa mtu aliye na Umri wa kukuzaa, hata kama ilivyofanya ndivyo sivyo mpaka mauti kumfika.
Ndio, lakini kwanini iwe sasa, Je ndio kuanza upya huko wanavyosema watu, au ni gear nyingine wanazitumia watu /kakikundi fulani kupitia madhaifu ya aliyekuwepo ili nao wawe sehemu ya wahanga!!?
Ziko wapi justification za Mh. Mbowe (ushaidi usio tia shaka) ili iwe ni mfano na wengine waliofanyiwa hivyo kujitokeza kulalamika?
Kejeli, matusi, dhihaka au kujifanya jeuri wa kutumia maneno yasiyofaa kitamaduni kunapindisha ukweli wa kujadili hoja kwa kina.
Tumieni vyombo vulivyopo kudai haki zetu kama zipo, kutukanana na kudhalilishana sio suluhisho la matatizo hasa kwenye kulaumu asiyekuwepo.
Tatizo letu ni kum-attack mtu mmoja asiye hai wakati waliofanya hayo wapo.
Hujui hiyo familia vizuri mkuu.Mbowe ni muongo.
Mbowe anasema alifungiwa akaunti zote lakini akaamua kwenda kufanya Biashara Dubai, hizo hela za kwenda kuanzisha biashara Dubai zilikua akaunti gani kama akaunti zake zote TRA walifungia?
Ila Mungu alisikia maombi na vilio vya wengi ambao sauti zao zilizimwa Mungu amefanya kutukomboaMagufuli hakuwa Binadamu, alikuwa ni Shetani mwenye umbile la Binadamu, yaani ni Lucifa aliyekuja kuitawala Tanzania,halafu kuna majibwa humu yaona alikuwa mtu, yaani katili huyu katesa sana Watu.
Mizombie haielew mpk utumie hasiraAcha hasira, tulia na ujiulize kwa umakini.
Mbona wewe mwenyewe pamoja na mama yako mna Ukimwi lakini bado unaendelea kufumuliwa marinda.Ndugai ana UKIMWI na KISUKARI kwa hiyo hata Ubongo wake umeshabomoka,Eti yalikuwa yanajadili kumwongezea muda Magufuli,kiko wapi? MUNGU mkubwa sana
Alitakiwa akaunge mkono juhudiDuuh itakua kuna kitu anafanya behind the scenes maana haiwezekani ikawa hivi hivi tu.
Wewe Mbwa wa Mbowe nenda kalambe viatu vyake huku ukifuniliwa shenzi kabisa .Wewe mbwa wa Magufuli Hebu toka hapa nenda kabweke kwenye kaburi lake huko Chato,Tutolee jaziba hapa
Onyesha sheria ipi aliyokiukaKama hakufata sheria..alitaka iweje!!! Kama alifata aende mahakamani..
Ila nawashangaa wengi.. maneno mengi kama vile uongozi wote umebadilika ukaja mpya kutoka sijui safari ipi.. na sheria za nchi zimekutwa..
Waendelee tu kuongea...........
Ndiyo atabaki kuwa shujaa wa Africa siyo lazima umkubali wewe.Eti ni shujaa wa Africa huyo
Duu Mungu wangu,,Magu alifanya haya...Magufuli hakuwa Binadamu, alikuwa ni Shetani mwenye umbile la Binadamu, yaani ni Lucifa aliyekuja kuitawala Tanzania,halafu kuna majibwa humu yaona alikuwa mtu, yaani katili huyu katesa sana Watu.
Hakuna namna afanywe msukule atulimie mashamba yetu mchana na usiku?Magu alikuwa mhujumu uchumi namba moja
Habari za Kigali?Rwanda mkuu
Jiwe limekufa, sasa na liseme.Kama hakufata sheria..alitaka iweje!!! Kama alifata aende mahakamani..
Ila nawashangaa wengi.. maneno mengi kama vile uongozi wote umebadilika ukaja mpya kutoka sijui safari ipi.. na sheria za nchi zimekutwa..
Waendelee tu kuongea...........
Hii kampeni haitafanikiwa maana inakutana na cointer attak za kutosha .Hii ndo point ya msingi yaani afungiwe account zake si angepata kick kabisa ya kisiasa
Sent from my SM-A015F using JamiiForums mobile app
Akiwa huko huko kuzimu??😅😂 hatariwatanzania hatuna ukatili wa kiwango hiki. uraia wa huyu mtu uchunguzwe
Mbowe ni muongo.
Mbowe anasema alifungiwa akaunti zote lakini akaamua kwenda kufanya Biashara Dubai, hizo hela za kwenda kuanzisha biashara Dubai zilikua akaunti gani kama akaunti zake zote TRA walifungia?