Freeman Mbowe: TRA walinidai Kodi Bilioni 2, Wakafunga akaunti zangu zote za biashara mpaka binafsi, Wakachukua hela

Freeman Mbowe: TRA walinidai Kodi Bilioni 2, Wakafunga akaunti zangu zote za biashara mpaka binafsi, Wakachukua hela

Hizi sasa ni dhihaka na fedheha kwa mtu aliye na Umri wa kukuzaa, hata kama ilivyofanya ndivyo sivyo mpaka mauti kumfika.
Ndio, lakini kwanini iwe sasa, Je ndio kuanza upya huko wanavyosema watu, au ni gear nyingine wanazitumia watu /kakikundi fulani kupitia madhaifu ya aliyekuwepo ili nao wawe sehemu ya wahanga!!?
Ziko wapi justification za Mh. Mbowe (ushaidi usio tia shaka) ili iwe ni mfano na wengine waliofanyiwa hivyo kujitokeza kulalamika?
Kejeli, matusi, dhihaka au kujifanya jeuri wa kutumia maneno yasiyofaa kitamaduni kunapindisha ukweli wa kujadili hoja kwa kina.
Tumieni vyombo vulivyopo kudai haki zetu kama zipo, kutukanana na kudhalilishana sio suluhisho la matatizo hasa kwenye kulaumu asiyekuwepo.
Tatizo letu ni kum-attack mtu mmoja asiye hai wakati waliofanya hayo wapo.
Wewe ndo mtetezi wa wanyonge?! Toa Wewe ushahidi, kwamba Mbowe hajaibiwa! Suala la kuzaa nini? Kwani mama ake Kabendera hakuzaa? Au wazazi wa saa8 hawakuzaa?! Kwa hiyo kwamba Mtu ana umri wa kutuzaa tupotezee ukatili wake?!
 
Na wewe ni chadema au unawaongelea ?
 
Kakika Magufuli atabaki kuwa shujaa, haya yalitokea 2018 laikini yanasemwa leo baada ya kuwa marehemu.

Magufuli utabaki kuwa mwamba wa Africa.
 
Mbowe ni muongo.

Mbowe anasema alifungiwa akaunti zote lakini akaamua kwenda kufanya Biashara Dubai, hizo hela za kwenda kuanzisha biashara Dubai zilikua akaunti gani kama akaunti zake zote TRA walifungia?
Hujui hiyo familia vizuri mkuu.
 
Magufuli hakuwa Binadamu, alikuwa ni Shetani mwenye umbile la Binadamu, yaani ni Lucifa aliyekuja kuitawala Tanzania,halafu kuna majibwa humu yaona alikuwa mtu, yaani katili huyu katesa sana Watu.
Ila Mungu alisikia maombi na vilio vya wengi ambao sauti zao zilizimwa Mungu amefanya kutukomboa
 
Ndugai ana UKIMWI na KISUKARI kwa hiyo hata Ubongo wake umeshabomoka,Eti yalikuwa yanajadili kumwongezea muda Magufuli,kiko wapi? MUNGU mkubwa sana
Mbona wewe mwenyewe pamoja na mama yako mna Ukimwi lakini bado unaendelea kufumuliwa marinda.

Nyambafu .
 
Kama hakufata sheria..alitaka iweje!!! Kama alifata aende mahakamani..

Ila nawashangaa wengi.. maneno mengi kama vile uongozi wote umebadilika ukaja mpya kutoka sijui safari ipi.. na sheria za nchi zimekutwa..

Waendelee tu kuongea...........
Onyesha sheria ipi aliyokiuka
 
Kama hakufata sheria..alitaka iweje!!! Kama alifata aende mahakamani..

Ila nawashangaa wengi.. maneno mengi kama vile uongozi wote umebadilika ukaja mpya kutoka sijui safari ipi.. na sheria za nchi zimekutwa..

Waendelee tu kuongea...........
Jiwe limekufa, sasa na liseme.
 
Mbowe ni muongo.

Mbowe anasema alifungiwa akaunti zote lakini akaamua kwenda kufanya Biashara Dubai, hizo hela za kwenda kuanzisha biashara Dubai zilikua akaunti gani kama akaunti zake zote TRA walifungia?

Unadhani ana akaunti hapa tu kama VICOBA?
 
Back
Top Bottom