FT: Al Ahly 1-0 Young Africans | CAF CL | Cairo International Stadium | 01.03.2024

FT: Al Ahly 1-0 Young Africans | CAF CL | Cairo International Stadium | 01.03.2024

Watu wanatunisha vifua kwa kumfunga CRB ila hawajui Algeria hawajawahi kutawala mpira wa Afrika katika ngazi ya vilabu. Mwaka jana USMA ilikuwa klabu ya kwanza kutoka Algeria kuchukua kombe lolote la Africa.

Nadhani viongozi wenu wamelitambua hilo ndiyo maana wameanza kuwaambia punguzeni matarajio.
 
Current issues huwa zinanoga sana tunapopitia mafaili ya zama za kale.

Hilo suala la kulipa deni hatuwezi kulikwepa, dawa ya deni ni kulipa.

Tujitahidi tu next match tulipe deni.

Hizo tambo za kuwapiga 5-1 hazitatufanya tufutiwe deni la kupigwa 6-0.

Acha tujaribu mwaka huu tulipe deni.

#daimambelenyumamwiko.
Ila kipigo kimewachanganya sana. Yani nashangaa unavyo wakana SIMBA wenzako na kujifanya MwanaYANGA.
Kwa hiyo umewahama SIMBA baada ya vipigo toka kwa YANG?
 
Yanga anakwenda kuweka historia ya kuongoza kundi na kuwa timu ya kwanza kutoka Tanzania kubeba ubingwa wa CAF champions league.
 
Watu wanatunisha vifua kwa kumfunga CRB ila hawajui Algeria hawajawahi kutawala mpira wa Afrika katika ngazi ya vilabu. Mwaka jana USMA ilikuwa klabu ya kwanza kutoka Algeria kuchukua kombe lolote la Africa.

Nadhani viongozi wenu wamelitambua hilo ndiyo maana wameanza kuwaambia punguzeni matarajio.
Una umizwa na mafanikio ya YANGA tu.

Kichaka chenu cha ROBOFAINALI tumekifyeka.
 
Yanga anakwenda kuweka historia ya kuongoza kundi na kuwa timu ya kwanza kutoka Tanzania kubeba ubingwa wa CAF champions league.
Watabishi sana ila Mipango ikienda vyema tunachukua kombe.
 
Una umizwa na mafanikio ya YANGA tu.

Kichaka chenu cha ROBOFAINALI tumekifyeka.
Kuingia kwa Yanga robo fainali kunaipaisha Simba katika rank za CAF na FIFA.

 
Ila kipigo kimewachanganya sana. Yani nashangaa unavyo wakana SIMBA wenzako na kujifanya MwanaYANGA.
Kwa hiyo umewahama SIMBA baada ya vipigo toka kwa YANG?
Deni ni kitu kibaya sana, tulipe tu deni ili tuwe huru, bado hatujalipa deni la 6-0, tujitahidi mwaka huu tulipe.
 
Hii ni mechi ya Mabingwa na ndo maana wote washafuzu mapema tu.
Watu wa SIMBA tulieni. Mkizidisha maneno basi kesho Jwanengi watawafunga 2-0
 
Nakuelekeza namna ya kuishi kwa uhuru popote duniani. Kuishi bila madeni ni uhuru adimu, tulipe tu deni na tuwe huru kutamba asubuhi, mchana, jioni na hata usiku.
Kwa hiyo hamjarizika na hizo 5-1? Munataka 6-0?
Basi maombi yenu tutayafanyia kazi.
 
Back
Top Bottom