GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
NAona uko live kama mwamposaBADO YANGA TUTASHINDA TU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NAona uko live kama mwamposaBADO YANGA TUTASHINDA TU
unaota wewe kolo....we kafanye yako acha kumchungulia mmeo sisi tushapita wewe je!?Nimesema mnapigwa nne elewa we topolo
Nakumbuka vizuriUsisahau walichotufanya kipindi kile....tulidharau hivi hivi ila.....
Wakiingia wawili tu Kwa mkapa. Wanakalisha utitiri wa wabongo.Hawa jamaa wanangoma kubwa balaa.
Wale Beluzidad walikuwa na ngoma yao ikipigwa Inasikika Benjamin Mkapa yote
Yanga hana malengo na hii match ili alike nusu anajitaji kuwa namba ya pil sio kuongoza kundi ili asikutane na simba bali TP Mazembe ndio target ya yangaHawa jamaa wanangoma kubwa balaa.
Wale Beluzidad walikuwa na ngoma yao ikipigwa Inasikika Benjamin Mkapa yote
tunachomoa hili goli alafu ndio utaona pira la gamondiNAona uko live kama mwamposa
😃😃Wakiingia wawili tu Kwa mkapa. Wanakalisha utitiri wa wabongo.
Sisi tunapenda kukosoa kuliko kusupport
Fungukeni muongezweSubiri
Wanarobo fainali ndiyo wanacheza.Nimesema mnapigwa nne elewa we topolo
Hizi kauli nyingine bwana.Waweke hadi mama zao ikiwezekana, Yanga kipindi cha Pili wanaoamini majini Leo ndio watayaona live.
we nyoko simba huendi robo fainali...mbona mnajitoa ufahamu nyie makolo!? robo fainali huendi kolo...kesho hutoaminiYanga hana malengo na hii match ili alike nusu anajitaji kuwa namba ya pil sio kuongoza kundi ili asikutane na simba bali TP Mazembe ndio target ya yanga
Narudisha hiliWanapelekewa 🔥 Utopia
Umeua, angalia ulichoandikaYanga hana malengo na hii match ili alike nusu anajitaji kuwa namba ya pil sio kuongoza kundi ili asikutane na simba bali TP Mazembe ndio target ya yanga
Mnaanza kama hivi kipigo kikikolea mnapoteana humuNina imani na Yanga 💚💚💛💪!
Amina
Labda urudishe chenchiNarudisha hili