FT: CAFCC FINAL 22/23 First Leg | Yanga SC 1-2 USM Alger | Mkapa Stadium | Mei 28, 2023

FT: CAFCC FINAL 22/23 First Leg | Yanga SC 1-2 USM Alger | Mkapa Stadium | Mei 28, 2023

Marumo nilisema wamecheza vizuri kuliko watangulizi ambao mlikutana nao.

Na kweli angalia mechi waliyocheza hapa kwa Mkapa fananisha na hao wengine utaona Marumo walikuwa hatari kuliko wale wengine.

Lakini tukisema Yanga ipo vizuri tunaweza kukubaliana lakini pia kuna sehemu tutakwama.

Kwasababu Yanga ilianzia Club Bingwa, huko ilitolewa. Ilitolewa kwasababu ilikutan na timu iliyo bora

Sasa kama kipimo cha ubora ni Rivers na Marumo ambao wameshuka daraja, ni kweli Yanga ni bora.

Lakini naamini itafika wakati mashabiki ndio mtakaosema, hili nalifahamu maana ni desturi ya mashabiki wa hizi Club

Kile kipindi tulisema sana kuhusu maoungufu ya timu yenu, mkatubeza. Lakini mlivyopata sare na Club Africain nyinyi ndio mlikuja kuyasema yote yale tuliyokuwa tunayasema sisi.

Ni muda tu
Hua unatafuta beat kadri ya rhythm inavyokwenda ,mbona unajulikana
Haya matokeo yangekua kinyume haya maneno usingeyasema
Ndio ushabiki wenyewe huu
 
Tatizo
Siasa na wanasiasa wameingilia mechi.

Sijaona umuhimu wa kugawia watu mabango na Tshirt za Samia
Hakuna uhusiano wwte wa mabango na mpira ulochezwa,tafuta hoja nyngne ya maana mana bado kuna second leg
 
Hua unatafuta beat kadri ya rhythm inavyokwenda ,mbona unajulikana
Haya matokeo yangekua kinyume haya maneno usingeyasema
Ndio ushabiki wenyewe huu
Post in thread 'FT: CAFCC: USM ALGER 2 VS 0 ASEC MIMOSA | 17/05/2023' FT: CAFCC: USM ALGER 2 VS 0 ASEC MIMOSA | 17/05/2023


Screenshot_20230528-194407.png
 
There is something wrong na hii nchi.. kuona shabiki wa Ac milan au napoli publicly anaombea Inter Milan isishinde Fainali ya uefa ni mara chache sana, same goes for Man city... hua utani unaishia kwenye domestic cups au ukizidi labda hizi hatua za chini kwa robo au makundi lakin fainali, ndoo inakuja Kariakoo kwa wenzetu sijawahi kuona
Ko Simba wangeisupport Yanga kwny public ndo ingeongeza umakini wa mabek wa Yanga leo au sio,upinzan na utani wa jadi mpk sasa umechangia kukuza ubora wa ligi yetu kwa kias kikubwa kuliko kubomoa
 
There is something wrong na hii nchi.. kuona shabiki wa Ac milan au napoli publicly anaombea Inter Milan isishinde Fainali ya uefa ni mara chache sana, same goes for Man city... hua utani unaishia kwenye domestic cups au ukizidi labda hizi hatua za chini kwa robo au makundi lakin fainali, ndoo inakuja Kariakoo kwa wenzetu sijawahi kuona
Ali kamwe alijikaanga mwenyewe sasa ngoja wafe.
 
There is something wrong na hii nchi.. kuona shabiki wa Ac milan au napoli publicly anaombea Inter Milan isishinde Fainali ya uefa ni mara chache sana, same goes for Man city... hua utani unaishia kwenye domestic cups au ukizidi labda hizi hatua za chini kwa robo au makundi lakin fainali, ndoo inakuja Kariakoo kwa wenzetu sijawahi kuona
Huko ulaya sisi bongo Kwa matusi Yale siwi mnaafiki naiombea Yanga wafungwee
Potelea poteeee....wakifungwa ntaumia hasaaaa ..
Yanga Ndo mabingwa wa hizi mambo
 
Huko ulaya sisi bongo Kwa matusi Yale siwi mnaafiki naiombea Yanga wafungwee
Potelea poteeee....wakifungwa ntaumia hasaaaa ..
Yanga Ndo mabingwa wa hizi mambo
Asijisahaulishe viongozi wa yanga walipoenda airport mwaka jana
 
Ko Simba wangeisupport Yanga kwny public ndo ingeongeza umakini wa mabek wa Yanga leo au sio,upinzan na utani wa jadi mpk sasa umechangia kukuza ubora wa ligi yetu kwa kias kikubwa kuliko kubomoa
kimpira kweli USM Alger wako juu na yanga wameonyesha immaturity ya hali ya juu, huwezi kushinda goli dkka moja alafu ukarudishwa hiyo hiyo dkka.. ni ulimbukeni wa mpira
 
Ni matokeo ya mpira tu

Tukubali tumefungwa... tujipange kwao tukashinde mbili, ingawa ni mlima mkubwa mno
 
There is something wrong na hii nchi.. kuona shabiki wa Ac milan au napoli publicly anaombea Inter Milan isishinde Fainali ya uefa ni mara chache sana, same goes for Man city... hua utani unaishia kwenye domestic cups au ukizidi labda hizi hatua za chini kwa robo au makundi lakin fainali, ndoo inakuja Kariakoo kwa wenzetu sijawahi kuona
Wanafki sio watu wazuri
 
Nani mlimpiga kwao mkienda mnaambulia kupigwa tu Nani mtaje mwarabu mliempiga ? Ukiniambia Mimi nakutajia Yanga mwarabu aliempiga haya wewe taja Nani ?
Pambana na Yanga yako..sisi waarabu tushazoea kuwafunga..wametuotea tuu safari hii..nyie mmemfunga huyo monistr ndo umekuwa wimbo je mngemfunga Alhaily? Au wydad japo kamoja tuu??
 
Kuna kitu huwa namkubali kocha guadiola wa man city ni uwezo wa timu kumiliki mpira na kutopoteza ovyo mpira.
 
kimpira kweli USM Alger wako juu na yanga wameonyesha immaturity ya hali ya juu, huwezi kushinda goli dkka moja alafu ukarudishwa hiyo hiyo dkka.. ni ulimbukeni wa mpira
Mpira umeanza kufatilia lini Mkuu mbona hilo jambo la kawaida sana,kuna team bora zinafungwa ndan ya sekunde tano tu sembuse Yanga
 
Back
Top Bottom